Tetesi: Khalid Mish’al anaweza kuwa kiongozi anayefuata wa Hamas

Tetesi: Khalid Mish’al anaweza kuwa kiongozi anayefuata wa Hamas

Difference virgin mary is not there,

pole sana mwana hamas wa tandale kwa tumbo.
Upo bongo halaf unajidai kuijua hamas, pathetic
Unlike you, nafocus zaid kwenye field, tacticts,movements. Siko kwenye politics na propaganda kama wewe
Bikira Maria kama unaamini kama huamini basi utakubali Yesu baba yake ni Yusuph.
 
Huyu ndiyo muasisi wa Hamas aliuliwa mwaka 2004, baada ya kifo chake Hamas wanapambana Hamas ni ideology, siyo mtu huwezi kuwamaliza Hamas kwa kuuwa watu wao zadi ni kuwapa nguvu. Tofauti na nyie wagalatia mnaogopa kufa😀
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 
Kwani aliyepita kimemkuta nini tena, au ndio tayari analumbua ma-BK 72 na kudiba kwenye vijito vya pombe😂
Kawaida hiyo kwa mwanaume rijali kupenda mabikra labda mashoga ndiyo wataona jambo la ajabu. Kuna watu wanaamini kuna mtu alivalishwa nepi na kutandikwa msalabani ndiyo mungu wao Brian Deacon.
Nipe hiyo aya ya kupata mabikra naitafuta sijaipata nipate hamasa zaidi kuwatafuta.
 
Kawaida hiyo kwa mwanaume rijali kupenda mabikra labda mashoga ndiyo wataona jambo la ajabu. Kuna watu wanaamini kuna mtu alivalishwa nepi na kutandikwa msalabani ndiyo mungu wao Brian Deacon.
Nipe hiyo aya ya kupata mabikra naitafuta sijaipata nipate hamasa zaidi kuwatafuta.h
Hiyo aya hutaielewa, we inayokufaa ni surat-al-fataki ambayo inaelekeza vibabu visivyojielewa kulumbua vitoto vya miaka sita
 
Hiyo aya hutaielewa, we inayokufaa ni surat-al-fataki ambayo inaelekeza vibabu visivyojielewa kulumbua vitoto vya miaka sita
Leta aya acha janja wewe muabudu Brian Deacon aliyevalishwa nepi. Wanaume wanapenda mabikra kwa asili labda mashoga watashangaa.
 
Th
Wanaukumbi.

BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS

Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwT


Wanaukumbi.

BREAKING: KHALID MISH’AL ANAWEZA KUWA KIONGOZI ANAYEFUATA WA HAMAS

Kuna muundo wa uongozi uliowekwa
=========================

View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1846918165936091304?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

He will be signing his death sentence. They are dead walking.
 
Bikira Maria kama unaamini kama huamini basi utakubali Yesu baba yake ni Yusuph.
Sorry , unaweza kumu adress muhusika huko alipo ila si mimi. Sina hadhi hiyo
Watufute wenye mahusiano nae
 
Kwa Hamas ni tofauti ukiuwa kingozi Mmoja wanajitokeza miamoja kutaka nafasi ya uongozi.
Si kwa hamas tu, majeshi mengi ya replacement strategy, tatizo ni replacement inakuja na style nyingine na namna nyingine, but not effective kama alie pita

Sio swala la kureplace, anakuwa replaced na a right guy?
 
Kupewa uongozi wa kundi la kigaidi hakuna tofauti na kufungwa mabomu/vilipuzi mwilini ili ukajitoe muhanga.Huna hiyari hata ukilia na kutia huruma.Ukipewa tu wewe ni "the number one walking dead "!Alale pema peponi kamanda in advance!
Hahaha,
Kweli, Gaidi akipewa nafasi ya kuongoza kundi la magaidi wenzie maana yake ametolewa kafara tayari
 
Bikira Maria kama unaamini kama huamini basi utakubali Yesu baba yake ni Yusuph.
Mimi sitaki maneno mengi Bikira Maria lazima hawepo kwani akiwepo wewe unaumia nini?
 
Khalid Mashal Ki Rank alikuwa sawa na Ismail Haniyah,yeye alikuwa kiongozi wa Hamas,political wing. Aache kula bata huko Qatar kwenye 7 star hotels aende kuishi kwenye vifusi vya Gaza baadae aelekezwe Jongomeo?Jamaa mjanja anajifanya yeye ni political wing,mwanadiplomasia ili aendelee kula bata!
 
Back
Top Bottom