Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

What is a rapper ? A rapper is any person who does not have a real talent.


# that's why every one else can be a rapper.
 
Kenya hawana mziki wa njaa... Kenya wasanii ni real talents na si wachimba chumvi kama huku bongo.

Wasanii wa Kenya Wamesoma..wana medegree yao. Hawatoki majalalani kama huku bongo.. ambao mnashikwa na media.

Acheni ujinga wasanii wa TZ.. grow up..
Media za bongo acheni ujinga ...acheni kuwa setbacks.

Record labels za bongo acheni upumbavuu..
 
Na ndio maana Wakenya wanawatukana kila siku. Hamna uwezo wa ku urgue..

Yani thinking yenu waTZ ni fukk..asa hao ulowataja hapo wanaijulikana wapi!?? Au huko kwa Birthday parties
 
Tizameni
🤣🤣👇👇
Your browser is not able to display this video.
 
Na ndio maana Wakenya wanawatukana kila siku. Hamna uwezo wa ku urgue..

Yani thinking yenu waTZ ni fukk..asa hao ulowataja hapo wanaijulikana wapi!?? Au huko kwa Birthday parties
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kenya ni masikini wa kutupwa Tanzania tumeiacha mbali mno ila Ina watu wenye kujiamini sana Kwa vitu vingi.
 
Na ndio maana Wakenya wanawatukana kila siku. Hamna uwezo wa ku urgue..

Yani thinking yenu waTZ ni fukk..asa hao ulowataja hapo wanaijulikana wapi!?? Au huko kwa Birthday parties

Sasa hapo ume argue kitu gani?? Kinachopambanishwa ni kujulikana ama uwezo wa kuchana?? Katika hili naamua kukupuuza tu inaonekana uko mweupe. Inawezekana hauna data au ume data au vyote kwa pamoja.
 
Kama kuwa na degree ndio kujua muziki ama kuwa mwanamuziki bora basi tuzo za grammy wangekuwa wanashinda wasanii wenye degree tu.
 

Unajua kinachozungumziwa au unakurupuka tuu kucomment kenge wewe? mambo ya elimu yatoka wapi kwenye kipaji??
 
Unajua kinachozungumziwa au unakurupuka tuu kucomment kenge wewe? mambo ya elimu yatoka wapi kwenye kipaji??
Nyinyi Elimu hamna ndo maana mnaishia kufeli kila mnapo ng'aa na kuwa wala unga .
 
Tuwape kazi wakina kado kitengo?
Kwangu Kado Kitengo lianapokuja swala la Freestyle Battle sioni wa kushindana nae hapa Africa jamaa hua ananimalizia bundle huko You Tube... Ayeeeeeeeee ayeaaaaa......

Hahahahhaha
 
USINI-DISS KWA KISWAHILI KAMA HUJUI HATA KUKITAMKA... [emoji28]
 
Kwa Sasa Khali ni greatest, huyo Niki like Baki jina na sifa tu.
👉 Kumbuka Khali kaforce kupenya Kwenye soko sio Leo tu.
👉Ngoma Kama wanaona haya, aliyo shirikishwa na country.
👉Shot- kapewa shavu na killer
👉Kuna I'll aliyo washirikisha rostam- na bado kaua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…