Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

One incredible
Wakazi
Dizasta
Mawenge
Fid Q
Joe makini
Jay mo

Kwenye hilo list, Khali lazima akae
 
Jamaa naona kama anataka kuichangamsha game ya HipHop iloyo lala kwa upande wa East Africa, kwani ki ukweli kwa EA mwamba hamna anaye mkaribia. Hata nyimbo zake zinapata rotational mpaka kwenye media za kimataifa na mwaka juzi tu alikuwa nominated kwenye BET Hip Hop Award.

So mwamba hajivuni ila kiukweli ni mkali.
 
ASINGEWEZA hata kidogo
Shida ni kwamba Rappers wa TZ wa miaka 1995-2006 wengi walikuwa way ahead of their time. Watu kama kina Steve Kafire, J-Moe, Solo Thang, Fid Q walikuwa na nyimbo ambazo ulikuwa ukizisikiliza unaweza kubaki mdomo wazi tu. Kilichoharibu muziki wa Rap Tanzania ni kitendo cha kubadilisha muziki wa Tanzania usiwe Label Based, bali Media Based ili kupiga pesa, michezo ambayo iliasisiwa na Marehemu Ruge Mutahaba.

Media ilikuwa inaangalia impigie nani chapuo ili avume na wapige hela. Tofauti na Label ambako walikuwa wanakucheki na kukufunda mtu kabla ya kutoa kazi. Kiuhalisia hili la Media Base Rappers ndiyo limechangia sehemu kubwa kwa wasanii wengi wa siku hizi kutokuvuma. Redio kubwa ilikuwa ni Clouds, na isipokupa time basi imekula kwako. Walau kipindi Kiss-FM miaka ya 2005, 2006, 2007 ilijitahidi kupiga wasanii wapya wengi. Mimi niliwafahamu Mapacha kupitia African Beats ya Kiss-FM.

Hivyo upande mmoja anaposema Kaligraph Jones kwamba HipHop in Tanzania is dead yuko sahihi, kwasababu Rappers wetu wa kizazi hiki ambao ni wakali kama Mex Cortez, One The Incredible, Nikki Mbishi, P Mawenge bado wako kwenye Underground Zone hawajatoboa Mainstream kiasi cha kuwafanya hata wapate wafuasi wengi hapa TZ. Talent Wise, Kaligraph anajiweza mno, I give him that, ila kushindana na watu kama Nikki Mbishi, One na Mex hawezi, lyrically and poetically.
 
Well,Kuna msanii Kenya aliwananga wanamziki wa Hipo Hop kua hamna kitu na yeye ndio namba moja kwa Kenya,Tanzania mpaka nijeria, anaitwa Khaligrphy Jones.

Tayari the godess Rosa Ree ameshamtwanga round one!!

Rosa Ree- Mama Emolo ni suicide kwa the OG na Kenya nzima kwenye hip hop!!
 
Jamaa naona kama anataka kuichangamsha game ya HipHop iloyo lala kwa upande wa East Africa, kwani ki ukweli kwa EA mwamba hamna anaye mkaribia. Hata nyimbo zake zinapata rotational mpaka kwenye media za kimataifa na mwaka juzi tu alikuwa nominated kwenye BET Hip Hop Award.

So mwaba hajivuni ila kiukweli ni mkali.
Tuache umaarufu wa kupigwa kwenye Media za kimataifa au kugombania Tuzo kubwa. Ndiyo nakubali Kaligraph Jones ana flow nzuri na anaweza kuchana kiingereza, ila kama ni kipaji cha kuchana (Poetically + Lyrically) kusema kwamba hakuna wa kumfikia hapa Africa Mashariki napata wasiwasi sana. Tena sanaa hasahasa kwa wengi ambao tulianza kusikiliza Rap ya East Afrika tokea miaka ya 90's. Hivi uwezo wa kimashairi aliokuwa nao Bamboo unaweza kuufananisha na huu wa Kaligraph Jones, ?
 
Jones ni mkali achen uswahili, mnataka kumfananisha na kado kitengo, sijuo P the Mc, hapa bongo wanahiphop wanaoweza kumkalisha jamaa..

1. Roma
2. Prof J
3. Stamina
4. Dizasta
5. Fid Q

Wengine hao hamna kitu, achen porojo
Wewe ndiyo hujui hip hop maana ata ROMA mwenyewe hajashobokea kabisa dundo
 
Hakuna Nikki mbishi
Yeah, Nikki anaingia hapo kwenye list
Bongo rappers wapo vyema sana, na katika east Africa in Tz ndio game ya mziki imechangamka Sana. Sio Kenya Wala ug
 
Tuache umaarufu wa kupigwa kwenye Media za kimataifa au kugombania Tuzo kubwa. Ndiyo nakubali Kaligraph Jones ana flow nzuri na anaweza kuchana kiingereza, ila kama ni kipaji cha kuchana (Poetically + Lyrically) kusema kwamba hakuna wa kumfikia hapa Africa Mashariki napata wasiwasi sana. Tena sanaa hasahasa kwa wengi ambao tulianza kusikiliza Rap ya East Afrika tokea miaka ya 90's. Hivi uwezo wa kimashairi aliokuwa nao Bamboo unaweza kuufananisha na huu wa Kaligraph Jones, ?
Mimi na zungumzia kwa sasa. Bamboo kweli mzuri ila kwa Khaligraph bado,Bamboo hata Collo wa Klepto ana mkalisha.
 
Back
Top Bottom