MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Mimi na zungumzia kwa sasa. Bamboo kweli mzuri ila kwa Khaligraph bado,Bamboo hata Collo wa Klepto ana mkalisha.
Okay.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na zungumzia kwa sasa. Bamboo kweli mzuri ila kwa Khaligraph bado,Bamboo hata Collo wa Klepto ana mkalisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi wakenya watamleta yule kaveve kazoze.
Sure...All due respect kwa OG ila kaishiwa. Hana ngoma zinazovuma bongo sa ivi. Clout chasing at its very best
We ni mpuuzi kabisa..One incredible
Wakazi
Dizasta
Mawenge
Fid Q
Joe makini
Jay mo
Kwenye hilo list, Khali lazima akae
Safi..Rosaree tu kamaliza kesi. Kucompare mziki wa bongo na Kenya ni tusi in itself.
View attachment 2728317
Safi..
This is want we want..
Ngoja tusubiri...counter
Hivi hao wasanii mnaowataja wako wapi... !?Khaligraph Jones tunampa Wakazi tu size yake.
Mkuu,Hivi hao wasanii mnaowataja wako wapi... !?
Acheni upumbavu. Mnawataja watu ambao hawajawahi hata ku stream..
Huyu wakazi mtema taarabu tu..mitandaoni.
Hapa tupo kwenye battle..Mkuu,
Muziki ni kitu subjective. Kuna mtu kani tag kutaka maoni yangu, nimempa.
Povu la nini?
Khaligraph Jones tunampa Wakazi tu size yake.
Naah son. I am not the oneHapa tupo kwenye battle..
Hakuna subjectivity hapa..
Either unaweka ☑️ au ❎
Mkuu, kwanini umebadilisha ID yako!?Shida ni kwamba Rappers wa TZ wa miaka 1995-2006 wengi walikuwa way ahead of their time. Watu kama kina Steve Kafire, J-Moe, Solo Thang, Fid Q walikuwa na nyimbo ambazo ulikuwa ukizisikiliza unaweza kubaki mdomo wazi tu. Kilichoharibu muziki wa Rap Tanzania ni kitendo cha kubadilisha muziki wa Tanzania usiwe Label Based, bali Media Based ili kupiga pesa, michezo ambayo iliasisiwa na Marehemu Ruge Mutahaba.
Media ilikuwa inaangalia impigie nani chapuo ili avume na wapige hela. Tofauti na Label ambako walikuwa wanakucheki na kukufunda mtu kabla ya kutoa kazi. Kiuhalisia hili la Media Base Rappers ndiyo limechangia sehemu kubwa kwa wasanii wengi wa siku hizi kutokuvuma. Redio kubwa ilikuwa ni Clouds, na isipokupa time basi imekula kwako. Walau kipindi Kiss-FM miaka ya 2005, 2006, 2007 ilijitahidi kupiga wasanii wapya wengi. Mimi niliwafahamu Mapacha kupitia African Beats ya Kiss-FM.
Hivyo upande mmoja anaposema Kaligraph Jones kwamba HipHop in Tanzania is dead yuko sahihi, kwasababu Rappers wetu wa kizazi hiki ambao ni wakali kama Mex Cortez, One The Incredible, Nikki Mbishi, P Mawenge bado wako kwenye Underground Zone hawajatoboa Mainstream kiasi cha kuwafanya hata wapate wafuasi wengi hapa TZ. Talent Wise, Kaligraph anajiweza mno, I give him that, ila kushindana na watu kama Nikki Mbishi, One na Mex hawezi, lyrically and poetically.
Mkuu, kwanini umebadilisha ID yako!?
Aisee, kuna sehemu nimekuchallenge hapo juu, ngoja nifute comment yangu.
😂😂😂😂
🤣Naah son. I am not the one
We ni nani..!? mana inaonekana una AKILI..Shida ni kwamba Rappers wa TZ wa miaka 1995-2006 wengi walikuwa way ahead of their time. Watu kama kina Steve Kafire, J-Moe, Solo Thang, Fid Q walikuwa na nyimbo ambazo ulikuwa ukizisikiliza unaweza kubaki mdomo wazi tu. Kilichoharibu muziki wa Rap Tanzania ni kitendo cha kubadilisha muziki wa Tanzania usiwe Label Based, bali Media Based ili kupiga pesa, michezo ambayo iliasisiwa na Marehemu Ruge Mutahaba.
Media ilikuwa inaangalia impigie nani chapuo ili avume na wapige hela. Tofauti na Label ambako walikuwa wanakucheki na kukufunda mtu kabla ya kutoa kazi. Kiuhalisia hili la Media Base Rappers ndiyo limechangia sehemu kubwa kwa wasanii wengi wa siku hizi kutokuvuma. Redio kubwa ilikuwa ni Clouds, na isipokupa time basi imekula kwako. Walau kipindi Kiss-FM miaka ya 2005, 2006, 2007 ilijitahidi kupiga wasanii wapya wengi. Mimi niliwafahamu Mapacha kupitia African Beats ya Kiss-FM.
Hivyo upande mmoja anaposema Kaligraph Jones kwamba HipHop in Tanzania is dead yuko sahihi, kwasababu Rappers wetu wa kizazi hiki ambao ni wakali kama Mex Cortez, One The Incredible, Nikki Mbishi, P Mawenge bado wako kwenye Underground Zone hawajatoboa Mainstream kiasi cha kuwafanya hata wapate wafuasi wengi hapa TZ. Talent Wise, Kaligraph anajiweza mno, I give him that, ila kushindana na watu kama Nikki Mbishi, One na Mex hawezi, lyrically and poetically.