Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

Khaligraph Jones vs Tanzania rappers, Je Khaligraph atawaweza Wabongo?

Kwa Sasa Khali ni greatest, huyo Niki like Baki jina na sifa tu.
[emoji117] Kumbuka Khali kaforce kupenya Kwenye soko sio Leo tu.
[emoji117]Ngoma Kama wanaona haya, aliyo shirikishwa na country.
[emoji117]Shot- kapewa shavu na killer
[emoji117]Kuna I'll aliyo washirikisha rostam- na bado kaua
Kwani Kali Hana ngoma na Nikki?
 
Kwangu Kado Kitengo lianapokuja swala la Freestyle Battle sioni wa kushindana nae hapa Africa jamaa hua ananimalizia bundle huko You Tube... Ayeeeeeeeee ayeaaaaa......

Hahahahhaha
Kado ni Jambazi sio msanii
 
Vyuma vya Moto, kutoka kwa Papa Jones.
👉 Hiroshima ft day
👉 Lwanda magere
👉Khali cartel 1 2 3 4,
👉 Wavy ft Sarkodie
👉 leave me alone
 
Bro nime sikiliza uwasilishaji wake ana weza kimtindo.
[emoji117] Una mzungunzia Khali ambaye kawa best rapper Africa ×3
[emoji117]Jamaa ana tokea afrika masgariki, ila kwa Sasa afrika nzima Ina mpata.
[emoji117]Taka ngoma 5 za kitengo, zinazo weza ku compete na za Khali Jones.
Mimi nipo kwenye angles tofauti
Freestyle battle; Kaligraph vs kitengo

Diss track; Kaligraph vs Dizasta vina

..... . ....... . Kaligraph vs mawenge

Hakuna sehemu Kaligraph atatoka hai hapo
 
Mimi nipo kwenye angles tofauti
Freestyle battle; Kaligraph vs kitengo

Diss track; Kaligraph vs Dizasta vina

..... . ....... . Kaligraph vs mawenge

Hakuna sehemu Kaligraph atatoka hai hapo
Mzee una mu underate Khali kirahisi hivyo, Khali huwa una msikiliza kwanza???
👉Ume sikiliza freetyle zake Mara ya mwisho lini???
👉Nyimbo zake je???
 
Mzee una mu underate Khali kirahisi hivyo, Khali huwa una msikiliza kwanza???
[emoji117]Ume sikiliza freetyle zake Mara ya mwisho lini???
[emoji117]Nyimbo zake je???
Mkuu wewe ndio naona unamu-underate kado
Why kado of all rappers in freestyle battle?

Khali ni mc mzuri, best rappers, ana uandishi mzuri
ila hizo namba ni tata

On the stage, freestyle battle, kado Hana mpinzani

So far kwenye uandishi wa dis track, Dizasta vina na mawenge nimewanyoshea mikono[emoji119]
 
Kwenye flow na kingereza Cha kikenya, Basi Khali tumuweke na wakazi

Kwa Africa muziki wetu ni mkubwa Sana, mifumo na mentality za wabongo ndio zinawaangusha wasanii
 
Wack asf!
Hapa jukwaani kuna watu walishadiriki kusema kwamba Eminem ni mkali kuliko hata kina LL Cool J, Rakim, KRS-One, BIGGIE na BIG DADDY Kane. Kuna wengine waliwahi hadi kudiriki kusema Kendrick Lamar ni mkali kuliko PAC. Wengine huwa wanaamini kwamba Lucky Dube ni mkali kuliko Bob Marley. Hivi tukisema ukweli, Saigon wa enzi zile anaweza kufananishwa na Kaligraph Jones kwa lolote lile, ?
 
Jones ni mkali achen uswahili, mnataka kumfananisha na kado kitengo, sijuo P the Mc, hapa bongo wanahiphop wanaoweza kumkalisha jamaa..

1. Roma
2. Prof J
3. Stamina
4. Dizasta
5. Fid Q

Wengine hao hamna kitu, achen porojo
 
Back
Top Bottom