Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hua mnakanusha hivi hivi halafu baadae mnatoa Macho kama profesa kutoka jalalani.Ile page ya twitter ni fake sio yake.
Wasiwe wanatumia majukwaa ya chama kuwasilisha Mambo binafsi huko ni kutumia vibaya fedha za chama.Kaandika hiv kupitia Twitter:
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Hata mimi nilielewa hivyo!Kaandika hiv kupitia Twitter:
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Nani muitishaji wa vikao?Hata mimi nilielewa hivyo!
Hakuna kikao cha UVCCM kiliketi na kumtuma aombe radhi!
Kaandika hiv kupitia Twitter:
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Kazi ndiyo imeanza bwashee! 😇Mtalaumiana na kupoteana sana kuanzia sasa! Aliyewadhibiti, ndiyo hivyo tena! ameshatangulia mbele za haki.Hata mimi nilielewa hivyo!
Hakuna kikao cha UVCCM kiliketi na kumtuma aombe radhi!
Huyu MTU hata Mie namtafuta ukimpata niite . Tangu Mambo ya VPN yalivyoanza nanyanyasika.Iv aliyetufungia twitter ni nan mbn wenzetu wanatumia
Life bila vpn matters bana