Kasunguranyama
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 499
- 368
Kanyaru /rundi haka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanyaru /rundi haka
Hivi huyu Prof Majalala juu ana suti chini ana ndala yupo?Hua mnakanusha hivi hivi halafu baadae mnatoa Macho kama profesa kutoka jalalani.
We nae unahangaikaaaaaaaaaaaa!!Hata mimi nilielewa hivyo!
Hakuna kikao cha UVCCM kiliketi na kumtuma aombe radhi!
Nani muitishaji wa vikao?
Anyway nauliza kwa kuwa kuna clip zinasambaa zikionesha akitumia jukwaa la Chama (dress code & like)
Au hii ni hatari kuweka karibu na watoto????
Mimi ni mume wa mama yako.Kwahiyo wewe ndiyo KHERI James?au NI mkewe mpaka useme kwa niaba yake..
Nani muitishaji wa vikao?
Anyway nauliza kwa kuwa kuna clip zinasambaa zikionesha akitumia jukwaa la Chama (dress code & like)
Au hii ni hatari kuweka karibu na watoto????
Sawasawa,kwahiyo nianze kukuita Mrs kher James?Mimi ni mume wa mama yako.
Anza kuniita baba kwa sababu mimi ndio namvua mama yako chupi, namyoa mavuzi binti. Kua na heshima na baba yako wewe binti.Sawasawa,kwahiyo nianze kukuita Mrs kher James?
Kabla ya yote mwambieni ulimi wake usiwe na kigugumizi. Aeleze bayana mswamaha anataka wa nini? alikosa nini, alikosa lini, na kwa nini autake mswamaha leo?Kaandika hivi kupitia Twitter:
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Pia soma > UVCCM yaomba radhi vijana, yaahidi kumpa ushirikiano Rais Samia Suluhu Hassan