Umoja wa kitaifa huo kwiooooo??? Ulivyosema kwamba mtamuua lissu kwa sumu ndio umoja wa kitaifa? kwanini sasa baada ya jiwe kuondoka? Tulia tulia mtemeshwe viazi vya moto,mbuyu mliokuwa mnautegemea umedondoka.
Kama siku Ile pale Arusha alisimama kama yeye na sio cheo chake tutamsamehe, tunachojua alikiri kuwa walihusika na jaribio la risasi na safari hii wanabakusha mtindo WA mauaji. Nchi ya Mjomba.Hata mimi nilielewa hivyo!
Hakuna kikao cha UVCCM kiliketi na kumtuma aombe radhi!
Mitano iliyopita mjomba alitoa amri aletewe Kheri James kama ike amri ya nileteeni Gwajima.Huyo jamaa,muda wake ukiisha kikatiba hatarudi tena madarakani
Daah amesisitiza kabisa safari hii safari hii yaani ni sindano tu pyaaaaaaa.
Kwamba Sisi hatujui Kiswahili ?!. Au hatuna masikio ya kusikiliza clip yake ?!.Kaandika hiv kupitia Twitter:
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi ni Taasisi, napenda kuweka kumbukumbu sawa kuwa nimeomba radhi mimi binafsi na isihusishwe na Jumuiya, Chama au Taasisi nyingine yoyote. Nitaendelea kuhimiza umoja wa kitaifa siku zote.
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Erick Ngambeki.
Ni Lameck MadeluErick Ngambeki
Lameck Madilu
Hamis Bagaile
Daudi Albert Bashite.
Hahahaaa Madilu System ---- Lameck Madelu Roger Dat ......Yaani hawa majamaa yakishabadilisha majina yanakuwa ya ajabu sana.Ni Lameck Madelu
These may make strong circumstantial evidences that even the last attempt was masterminded by them, including the speaker of that kind of hatred speech. He shall be called upon to prove otherwise!Daah amesisitiza kabisa safari hii safari hii yaani ni sindano tu pyaaaaaaa.
Ulitumwa? lakini huyu kijana anatungo tata tena anapenda kukaa nyuma ya mikameraUmeomba samahani kwani umekosa Nini? Na kwanini unaomba radhi Leo na isiwe mwezi uliopita? Kwani hayo makosa uliyatenda lini?
That was the order of the day to victimize peopleThese may make strong circumstantial evidences that even the last attempt was masterminded by them, including the speaker of that kind of hatred speech. He shall be called upon to prove otherwise!