Ndio usingizi wao hauna raha, kuliko yule anaegongwa na mbu kule Mbagara KibondemajiYaani wanaolala Masaki wanaolala Kwa mashaka kuliko wa Mbagala??
Sio kwa dunia ya leo ambayo pesa ndio silaha, kila unachogusa ni pesa, hapa lazima maskini aumieTajiri sehemu kubwa ya maisha yake anawaza kutafuta na kulinda alichonacho.
Masikini hana cha kulinda anawaza kutafuta chakula na kulala.
Ukiachana na nature masikini yu salama sana wakati tajiri usalama wake umejaa mashaka, ndio maana ulinzi ni wa kutosha.
Masikini mna tabu sanaTajiri sehemu kubwa ya maisha yake anawaza kutafuta na kulinda alichonacho.
Masikini hana cha kulinda anawaza kutafuta chakula na kulala.
Ukiachana na nature masikini yu salama sana wakati tajiri usalama wake umejaa mashaka, ndio maana ulinzi ni wa kutosha.
Kwa hiyo unataka kusema masikini hana akili!?Maskini apumzishe akili zipi?
Tajiri asiyeridhika na alichonacho ndio hupata tabu zaidiTajiri sehemu kubwa ya maisha yake anawaza kutafuta na kulinda alichonacho.
Masikini hana cha kulinda anawaza kutafuta chakula na kulala.
Ukiachana na nature masikini yu salama sana wakati tajiri usalama wake umejaa mashaka, ndio maana ulinzi ni wa kutosha.
😂😂 Mwenyewe namshangaaYaani wanaolala Masaki wanaolala Kwa mashaka kuliko wa Mbagala??
Don't stop till you get enough....!!! (How much is enough?)Hakuna tajiri aliyeridhika.
Utajiri ni nini ?Tajiri sehemu kubwa ya maisha yake anawaza kutafuta na kulinda alichonacho.
Masikini hana cha kulinda anawaza kutafuta chakula na kulala.
Ukiachana na nature masikini yu salama sana wakati tajiri usalama wake umejaa mashaka, ndio maana ulinzi ni wa kutosha.