Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
So u mean tunahitaji revolution ipi sasa,agrarian,industrial au political revolution?
Mbona hutulinganishi ni inchi za Asia ambazo tulizizidi kiuchumi, leo hii ziko mbali zaidi yetu,Tatizo la viongozi wa Afrika Uwizi wa mali za uma, kupeana madaraka kindugu, kutokuachia madaraka kwa demokrasi, wizi wa kura mfano CCM, kutosimamia rasilimali zake ipasavyo, kugeuza misada kama mitaji binafsi na mengineyo mengi
Stori yako hii ni ya uongo, na ni ya kusikitisha sana kwa mtu wa aina yako kuwa na mawazo ya aina hii!Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Hao nao ni maskini tu Kama bongo
Tumeanza kule handeni tumepeleka wamasai soon utaona mji umekuwaNchi kama Sweden, Finland, Norway,China,India.
Kutawaliwa sio kisingizio cha kuwa masikini, USA,China,India, Uingereza zimeshawahi tawaliwa.
Mikoa yote mikubwa imejengwa imepangiliwa na wao chek mji wa Arusha,Dar, MWANZA,Mbeya, Ruvuma, Dodoma nk sisi hata tu kupanga miji hatuwezi.
Miundombinu inafata watu leo ni tabu ukitaka kujenga barabara ni lazima ulipe fidia watu.
Kwanini miji hata huko maporini wasipeleke miundombinu then watu ndio wafate miundombinu.
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Nakupata mkuu,kwa nondo hizi bila shaka we ni mwalimu wa history two,umechamvua vizuri ila hayo kutekelezeka ni ngumu sana viongozi wa afrika ni miungu watuHatuwez piga hatua kama hakutakua na political revolution wenzetu walipigana wakulima waligoma wanyakaz waligoma inch hazikukalika warafi kama kina king Luis na marry Antoinette hawakulindwa na jesh walipotezwa na inchi zikaendelea uku unakuta kiongoz wa serikali ana hekar Mia tano kila mkoa nyumba 8 kila mkoa shares kwenye kila kampun inchi itaendelea lin hapo na wananchi tupo kimya tu
Tuna akili za hovyo sana, mfano mzuri angalia town planer wanajua kabsa baada ya miaka 5 hapa patakuwa ni mafuriko ya wananchi lkn unakuta viwanja wanagawa kama kawaida pasipokuweka miundombinu ya kutosha miaka 10 baadae eti unabomolewa na fidia juu.Nchi kama Sweden, Finland, Norway,China,India.
Kutawaliwa sio kisingizio cha kuwa masikini, USA,China,India, Uingereza zimeshawahi tawaliwa.
Mikoa yote mikubwa imejengwa imepangiliwa na wao chek mji wa Arusha,Dar, MWANZA,Mbeya, Ruvuma, Dodoma nk sisi hata tu kupanga miji hatuwezi.
Miundombinu inafata watu leo ni tabu ukitaka kujenga barabara ni lazima ulipe fidia watu.
Kwanini miji hata huko maporini wasipeleke miundombinu then watu ndio wafate miundombinu.
Nyumbani ni nyumbani
Ndio maana tunaitwa Dunia ya 3, yaan sijui waliota nini hawa watu wa dunia ya kwanza wakatupachika hilo jinaSisi waafrica hatuna hata miaka mia tangu nchi zetu zianze kupata uhuru kwa hiyo kujifananisha na watu wao na kujiota tuna laana ni unfair kabisa..
Naam, maelezo murua sana. Naomba Source kama hutojali.kwanza unatakiwa ujue Christopher Columbus sio aliyevumbua bara la marekani,kwa mujibu wa Christopher Columbus anasema alipofika America aliambiwa kwamba kuna watu wageni walifika kabla yake hapo America na akasema alikubaliana na madai hayo baada ya kuona kuna aina za handkerchief walizokuwa wanatumia wahindi wekundu ni kama zile zilizokuwa zinatumiwa kwenye dola ya Timbuktu..
Again akadai tena kwamba kuna baadhi ya spears( mishale) iliyokuwa gold plated ambapo baadae baada ya kufanya uchunguzi ikagundulika ile dhahabu inatoka Africa Magharibi...
Twende taratibu kwanini dhahabu itoke Africa magharibi?!.Mfalme Abubakari wa pili ambaye ni kaka yake na Mansa Musa siku zote alikuwa na wish ya kutaka kujua mwisho wa Bahari ya Atlantic ni upi? Akakusanya crew ya mainjinia kutoka Lake Chad na kuwaambia watengeneze mashua strong sana zinazoweza kufika deep sea kabisa Atlantic..baada ya hizo process kukamilika akaandaa fleet iliyokusanya meli zaidi ya 200 iliyohusisha sailors, traders, engineers,builders, creative artists, brave warriors, na intellectuals. Na akawaambia muende huko mtagute mwisho wa hii bahari msirudi mpk muone chakula kimewaishia au kuna sababu ya lazima itakayowafanya mrudi..
Siku zikaenda miaka miwili ikapita ghafla wanaona kwa mbali kuna mashua moja inarudi kati ya zile mia mbili,mfalme Abubakar akauliza nini kimewakumba huko!? Wakamjibu bhana tumefika mbali kabisa ghafla tukakutana na mkondo mkali sana wa bahari kila aliyejaribu kupita hapo akazama sisi tulikuwa wa mwisho tulipoona hakuna uwezekano wa kurudi hapo tukaamua tugeuze turudi huku Mali..
Hii haikumfanya mfalme akate tamaa badala yake akaoda fleet yenye meli zaidi ya 1000 waambatane nae waende huko basi siku ya siku safari ikaanza kuelekea Mashariki mwa Atlantic Ocean..ingawa haijathibitika wazi kwamba safari yao iliwafikisha Marekani au vipi lakini kuna ushahidi wa wazi ambao unaonyesha Christopher Columbus sio wa kwanza kufika Marekani kama unavyoniambia hapa maana hata yeye kwenye maandiko yake alisema nanukuu "Black-skinned people had come from the south-east in boats, trading in gold-tipped spears The natives described the spearheads as “guanin”, a word for “gold” in the Mandinkan, the language of the Mali Empire"(Tafuta journal yake kama hakusema hivi mm najitoa Jf,hii iliwafanya mpaka westerners waedit machapisho na kusema kwamba Christopher Columbus hakuwa mgeni wa kwanza kuvumbua America bali ni mtu wa kwanza kutoka Ulaya kugundua bara la America..
Story hiyo ya mfalme Abubakari alisimulia Mansa mussa alipofika Misri kuelekea safar yake ya hijja ndipo akamua apumzike misri kwanzana mwenyeji wake akamuuliza ufalme wako uliupataje? Ndio akahadithia hayo kumbuka hayo yalitokea miaka zaid ya mia mbili kabla ya Christopher Columbus hajafika Hapo Marekani..
Christopher amefika hapo amekuta jamii ya hapo imeendelea waAztec walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa kabisa ya teknolojia ya chuma na walikuwa wanalima mashamba makubwa sana ya mahindi hawakuwa primitive kama unavyotaka kuaminisha hapa kwamba waingerrza walipoingia hapo America walikuta jamii iliyolala haijushugulishi kabisa..maendeleo yalikuwepo makubwa sana tangu enzi hizo lakini walipokuja wageni ndio yakazidi maradufu zaidi
Kujikwamua kwenye umasikini ni wajibu wako binafsi, serikali ina-play nafasi ndogo sana, if any.Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini
Serikali bila kuweka mazingira bora wataibuka wajanja wachache watakula keki yote peke yao.Kujikwamua kwenye umasikini ni wajibu wako binafsi, serikali ina-play nafasi ndogo sana, if any.
Naona unaitazama Tanzania ukiwa mtaroni.
Panda mlima wa mafanikio kwa kufanya kazi, na utaona jinsi Tanzania ilivyo nzuri kuliko ughaibuni.
Duniani kote wanaokula keki huwa ni wajanja wachache. Ni wajibu wako binafsi kufanya kazi kwa bidii uwe mmoja wao.Serikali bila kuweka mazingira bora wataibuka wajanja wachache watakula keki yote peke yao.
Ni sawa na mpira wa miguu kuchezwa bila refa kuna timu itashinda tu ila huo ushindi ni balaa,hakuna filimbi ya foul wala offside
huna akili.Sio kwamba wewe na Lema ndio mnalaana? Unaleta swaga za usa Afrika?
Wewe unazo? Au ndio hizo za Nakinabii fake?huna akili.