Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Kiasi chake Lema yuko sahihi, niliishi USA miaka kumi niliporudi nchini niliamini Watanzania tuna laana

Nimesoma HGL nilisoma sehemu kuwa karne ya 15 Africa na Europe zilikuwa almost the same,niko tayari kukosolewa

Wenzetu walikuja kutuzidia kwenye izi revolution...

Britain Revolution

French Revolution

German Revolution

USSR Revolution

Greece revolution

Kuleta zile agriculture revolution
Industrial revolution

Kuondoa mambo ya kina king Luis
 
Hivi mkuu umesema historia? Marekani haikujulikan hadi anafika West Indies Christopher Columbus na baadaye Amerigo Vespuchi.Baada ya hapo Marekani ilifanywa makoloni hadi 1776.Hapo ilifuata vita ya uhuru hadi 1783.Ikazaliwa USA.Kuanzia hapo ndiyo USA ikaanza kupata maendeleo.
kwanza unatakiwa ujue Christopher Columbus sio aliyevumbua bara la marekani,kwa mujibu wa Christopher Columbus anasema alipofika America aliambiwa kwamba kuna watu wageni walifika kabla yake hapo America na akasema alikubaliana na madai hayo baada ya kuona kuna aina za handkerchief walizokuwa wanatumia wahindi wekundu ni kama zile zilizokuwa zinatumiwa kwenye dola ya Timbuktu..

Again akadai tena kwamba kuna baadhi ya spears( mishale) iliyokuwa gold plated ambapo baadae baada ya kufanya uchunguzi ikagundulika ile dhahabu inatoka Africa Magharibi...

Twende taratibu kwanini dhahabu itoke Africa magharibi?!.Mfalme Abubakari wa pili ambaye ni kaka yake na Mansa Musa siku zote alikuwa na wish ya kutaka kujua mwisho wa Bahari ya Atlantic ni upi? Akakusanya crew ya mainjinia kutoka Lake Chad na kuwaambia watengeneze mashua strong sana zinazoweza kufika deep sea kabisa Atlantic..baada ya hizo process kukamilika akaandaa fleet iliyokusanya meli zaidi ya 200 iliyohusisha sailors, traders, engineers,builders, creative artists, brave warriors, na intellectuals. Na akawaambia muende huko mtagute mwisho wa hii bahari msirudi mpk muone chakula kimewaishia au kuna sababu ya lazima itakayowafanya mrudi..

Siku zikaenda miaka miwili ikapita ghafla wanaona kwa mbali kuna mashua moja inarudi kati ya zile mia mbili,mfalme Abubakar akauliza nini kimewakumba huko!? Wakamjibu bhana tumefika mbali kabisa ghafla tukakutana na mkondo mkali sana wa bahari kila aliyejaribu kupita hapo akazama sisi tulikuwa wa mwisho tulipoona hakuna uwezekano wa kurudi hapo tukaamua tugeuze turudi huku Mali..

Hii haikumfanya mfalme akate tamaa badala yake akaoda fleet yenye meli zaidi ya 1000 waambatane nae waende huko basi siku ya siku safari ikaanza kuelekea Mashariki mwa Atlantic Ocean..ingawa haijathibitika wazi kwamba safari yao iliwafikisha Marekani au vipi lakini kuna ushahidi wa wazi ambao unaonyesha Christopher Columbus sio wa kwanza kufika Marekani kama unavyoniambia hapa maana hata yeye kwenye maandiko yake alisema nanukuu "Black-skinned people had come from the south-east in boats, trading in gold-tipped spears The natives described the spearheads as “guanin”, a word for “gold” in the Mandinkan, the language of the Mali Empire"(Tafuta journal yake kama hakusema hivi mm najitoa Jf,hii iliwafanya mpaka westerners waedit machapisho na kusema kwamba Christopher Columbus hakuwa mgeni wa kwanza kuvumbua America bali ni mtu wa kwanza kutoka Ulaya kugundua bara la America..

Story hiyo ya mfalme Abubakari alisimulia Mansa mussa alipofika Misri kuelekea safar yake ya hijja ndipo akamua apumzike misri kwanzana mwenyeji wake akamuuliza ufalme wako uliupataje? Ndio akahadithia hayo kumbuka hayo yalitokea miaka zaid ya mia mbili kabla ya Christopher Columbus hajafika Hapo Marekani..

Christopher amefika hapo amekuta jamii ya hapo imeendelea waAztec walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa kabisa ya teknolojia ya chuma na walikuwa wanalima mashamba makubwa sana ya mahindi hawakuwa primitive kama unavyotaka kuaminisha hapa kwamba waingerrza walipoingia hapo America walikuta jamii iliyolala haijushugulishi kabisa..maendeleo yalikuwepo makubwa sana tangu enzi hizo lakini walipokuja wageni ndio yakazidi maradufu zaidi
 
kwanza unatakiwa ujue Christopher Columbus sio aliyevumbua bara la marekani,kwa mujibu wa Christopher Columbus anasema alipofika America aliambiwa kwamba kuna watu wageni walifika kabla yake hapo America na akasema alikubaliana na madai hayo baada ya kuona kuna aina za handkerchief walizokuwa wanatumia wahindi wekundu ni kama zile zilizokuwa zinatumiwa kwenye dola ya Timbuktu..

Again akadai tena kwamba kuna baadhi ya spears( mishale) iliyokuwa gold plated ambapo baadae baada ya kufanya uchunguzi ikagundulika ile dhahabu inatoka Africa Magharibi...

Twende taratibu kwanini dhahabu itoke Africa magharibi?!.Mfalme Abubakari wa pili ambaye ni kaka yake na Mansa Musa siku zote alikuwa na wish ya kutaka kujua mwisho wa Bahari ya Atlantic ni upi? Akakusanya crew ya mainjinia kutoka Lake Chad na kuwaambia watengeneze mashua strong sana zinazoweza kufika deep sea kabisa Atlantic..baada ya hizo process kukamilika akaandaa fleet iliyokusanya meli zaidi ya 200 iliyohusisha sailors, traders, engineers,builders, creative artists, brave warriors, na intellectuals. Na akawaambia muende huko mtagute mwisho wa hii bahari msirudi mpk muone chakula kimewaishia au kuna sababu ya lazima itakayowafanya mrudi..

Siku zikaenda miaka miwili ikapita ghafla wanaona kwa mbali kuna mashua moja inarudi kati ya zile mia mbili,mfalme Abubakar akauliza nini kimewakumba huko!? Wakamjibu bhana tumefika mbali kabisa ghafla tukakutana na mkondo mkali sana wa bahari kila aliyejaribu kupita hapo akazama sisi tulikuwa wa mwisho tulipoona hakuna uwezekano wa kurudi hapo tukaamua tugeuze turudi huku Mali..

Hii haikumfanya mfalme akate tamaa badala yake akaoda fleet yenye meli zaidi ya 1000 waambatane nae waende huko basi siku ya siku safari ikaanza kuelekea Mashariki mwa Atlantic Ocean..ingawa haijathibitika wazi kwamba safari yao iliwafikisha Marekani au vipi lakini kuna ushahidi wa wazi ambao unaonyesha Christopher Columbus sio wa kwanza kufika Marekani kama unavyoniambia hapa maana hata yeye kwenye maandiko yake alisema nanukuu "Black-skinned people had come from the south-east in boats, trading in gold-tipped spears The natives described the spearheads as “guanin”, a word for “gold” in the Mandinkan, the language of the Mali Empire"(Tafuta journal yake kama hakusema hivi mm najitoa Jf,hii iliwafanya mpaka westerners waedit machapisho na kusema kwamba Christopher Columbus hakuwa mgeni wa kwanza kuvumbua America bali ni mtu wa kwanza kutoka Ulaya kugundua bara la America..

Story hiyo ya mfalme Abubakari alisimulia Mansa mussa alipofika Misri kuelekea safar yake ya hijja ndipo akamua apumzike misri kwanzana mwenyeji wake akamuuliza ufalme wako uliupataje? Ndio akahadithia hayo kumbuka hayo yalitokea miaka zaid ya mia mbili kabla ya Christopher Columbus hajafika Hapo Marekani..

Christopher amefika hapo amekuta jamii ya hapo imeendelea waAztec walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa kabisa ya teknolojia ya chuma na walikuwa wanalima mashamba makubwa sana ya mahindi hawakuwa primitive kama unavyotaka kuaminisha hapa kwamba waingerrza walipoingia hapo America walikuta jamii iliyolala haijushugulishi kabisa..maendeleo yalikuwepo makubwa sana tangu enzi hizo lakini walipokuja wageni ndio yakazidi maradufu zaidi
Safii,hiyo stori ya mfalme abubakar niliisoma mtandaoni kitambo,mpaka leo haijulikani hiyo fleet iliishia wapi,nilipenda ujasiri wake wa kutaka kuexplore dunia,
 
Wenzetu walikuja kutuzidia kwenye izi revolution...

Britain Revolution

French Revolution

German Revolution

USSR Revolution

Greece revolution

Kuleta zile agriculture revolution
Industrial revolution

Kuondoa mambo ya kina king Luis
So u mean tunahitaji revolution ipi sasa,agrarian,industrial au political revolution?
 
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.

Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.

Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.

Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.

Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.

Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.

Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.

Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!

Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke

ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Hatutaki masimango atuache na umaskini wetu vinginevyo aje na njia ya kututoa katika umaskini otherwise ni mashauzi tu ya kisiasa. Lem anakaa wapi huko Arusha, tuanzie hapo
 
Ulipovunjika mguu USA ukarudi Tanzania ukagundua tuna laana? Sisi ndo tulikuvunja mguu? 🤷🏽‍♀️

Kuna watu tangu nchi inapata uhuru yeye anailaumu serikali, kila rais akija yeye analaumu, muulize una hobby gani anakwambia kucheza bao/draft.

Anapandikiza chuki ya kuilaumu serikali kwa vizazi vyake vyote. Hiyo ndo laana. Jitumeni
 
Ulipovunjika mguu USA ukarudi Tanzania ukagundua tuna laana? Sisi ndo tulikuvunja mguu? 🤷🏽‍♀️

Kuna watu tangu nchi inapata uhuru yeye anailaumu serikali, kila rais akija yeye analaumu, muulize una hobby gani anakwambia kucheza bao/draft.

Anapandikiza chuki ya kuilaumu serikali kwa vizazi vyake vyote. Hiyo ndo laana. Jitumeni
Soma vizuri uelewe,nulivunjika mguu nikiwa USA
 
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.

Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.

Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.

Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.

Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.

Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.

Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.

Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!

Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke

ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
 
Kinachokukalisha TZ ni Nini wakati unajua ni taifa la watu waliolaaniwa.
.
Mbona usirudi huko USA kwenye maisha mazuri na raha
Huwezi kunipangia pa kuishi.
Hapa tutaishi tu hata kama kuna laana
 
Mimi naona tupambane kwa uwezo wetu tu tusijilinganishe na mtu.

Kufikia karne ya 15 Marekani ilikuwa tayari imepiga hatua katika nyanja kadhaa kiuchumi,kijamii na kisiasa wakati huo mababu zetu wanavaa vibwaya na kuvuta kinyesi cha ng'ombe..

Kutoka karne ya 15 ambapo Marekani ilikuwa active mpk karne ya 21 ni miaka mia 6 hiyo na katika kipindi hicho mababu zetu wamepitia vipindi vigumu vya biashara za utumwa mara ghafla ukoloni huu hapa tunakuja kuachiwa huru mpaka sasa ni miaka 60 tu tangu tuanze kujitegemea..

Hivi mnaona ni sahihi kujilinganisha na watu ambao wameendelea tangu katne ya 15? Yaani wana miaka zaidi ya mia tano kwenye game!?...Hatuna laana balu mazingira yametuforce kuwa hivi
Mbona hutulinganishi ni inchi za Asia ambazo tulizizidi kiuchumi, leo hii ziko mbali zaidi yetu,Tatizo la viongozi wa Afrika Uwizi wa mali za uma, kupeana madaraka kindugu, kutokuachia madaraka kwa demokrasi, wizi wa kura mfano CCM, kutosimamia rasilimali zake ipasavyo, kugeuza misada kama mitaji binafsi na mengineyo mengi
 
Mimi naona tupambane kwa uwezo wetu tu tusijilinganishe na mtu.

Kufikia karne ya 15 Marekani ilikuwa tayari imepiga hatua katika nyanja kadhaa kiuchumi,kijamii na kisiasa wakati huo mababu zetu wanavaa vibwaya na kuvuta kinyesi cha ng'ombe..

Kutoka karne ya 15 ambapo Marekani ilikuwa active mpk karne ya 21 ni miaka mia 6 hiyo na katika kipindi hicho mababu zetu wamepitia vipindi vigumu vya biashara za utumwa mara ghafla ukoloni huu hapa tunakuja kuachiwa huru mpaka sasa ni miaka 60 tu tangu tuanze kujitegemea..

Hivi mnaona ni sahihi kujilinganisha na watu ambao wameendelea tangu katne ya 15? Yaani wana miaka zaidi ya mia tano kwenye game!?...Hatuna laana balu mazingira yametuforce kuwa hivi
Ukitoa mfano wa marekani toa mfano na nchi km singapore, malaysia na Indonesia ambao wakati tunapata uhuru tulikuwa nao sawa kiuchumi.
 
Madhira ninayopata Tanzania toka nirudi kutoka masomoni na kuanza kuishi rasmi nchini kwangu uwa naishia kumkumbuka baba yangu na huu uzee wangu ila laiti baba angelikuwa hai nisingeishi kwenye hili jangwa .

Allah aendelee kumrehemu tu mzee wangu .

Tanzania bado sana ni ujinga mtupu.
 
Madhira ninayopata Tanzania toka nirudi kutoka masomoni na kuanza kuishi rasmi nchini kwangu uwa naishia kumkumbuka baba yangu na huu uzee wangu ila laiti baba angelikuwa hai nisingeishi kwenye hili jangwa .

Allah aendelee kumrehemu tu mzee wangu .

Tanzania bado sana ni ujinga mtupu.
Asa kwa nn ulikubali kurudi mkuu!?
 
Back
Top Bottom