Na hicho ndichi kenachotokea upo sahihi kabisa, kuna mama alikua analalamika bungeni nisikitika sana, anasema Serikali ilitoa Pesa kwa ajili ya vijana wajasiriamali na wamama lishe wanaounda vikundi, wale jamaa walioomba Pesa bungeni wakapewa zile Pesa walichofanya wakaunda vikundi bubu (hewa) na majina fake kisha wakaenda kuchukua zile Pesa kwa kutumia hivyo vikundi bubu (hewa) wakazila wenyewe Pesa zote almost 89%, nilichoka vibaya na mbaya zaidi zile Pesa hawakurudisha hadi leoSerikali bila kuweka mazingira bora wataibuka wajanja wachache watakula keki yote peke yao.
Dah Mungu atusaidie hizo nchi za Africa zote zinafanana ndio maana hatuendelei,tunafeli kwenye nanagement and administrationNa hicho ndichi kenachotokea upo sahihi kabisa, kuna mama alikua analalamika bungeni nisikitika sana, anasema Serikali ilitoa Pesa kwa ajili ya vijana wajasiriamali na wamama lishe wanaounda vikundi, wale jamaa walioomba Pesa bungeni wakapewa zile Pesa walichofanya wakaunda vikundi bubu (hewa) na majina fake kisha wakaenda kuchukua zile Pesa kwa kutumia hivyo vikundi bubu (hewa) wakazila wenyewe Pesa zote almost 89%, nilichoka vibaya na mbaya zaidi zile Pesa hawakurudisha hadi leo
Sio unajua tena habari za njoo upate ajira nikaja .Asa kwa nn ulikubali kurudi mkuu!?
Msomi ulikua deported nini kama O.Njaidi????Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Kama lema yupo sahihi kwanini alimpiga vita jpm aliye kuwa analeta hayo maendeleo kwa ujenzi wa kila kitu ....umesema mwenyewe kuwa Mandela alilia sasa jiulize alililia nini ? Kama ni umasikini basi akina lema ndiyo wahuni maana wao walishangilia kifo cha mtu aliye kuwa anapambana na umasikini kwa vitendo , wao wakampinga na kumlaani usiku na mchana kwa kuwa alifufua mashirika na kujenga nchi kila konaMwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Kama lema yupo sahihi kwanini alimpiga vita jpm aliye kuwa analeta hayo maendeleo kwa ujenzi wa kila kitu ....umesema mwenyewe kuwa Mandela alilia sasa jiulize alililia nini ? Kama ni umasikini basi akina lema ndiyo wahuni maana wao walishangilia kifo cha mtu aliye kuwa anapambana na umasikini kwa vitendo , wao wakampinga na kumlaani usiku na mchana kwa kuwa alifufua mashirika na kujenga nchi kila kona
Tuliingia uchumi wa kati sasa tumeshuka...watz hatutaki porojo za machoko ya sisiemuKwan ya jpm mpka leo hujayasikia mzee?
Madin kwenda Rwanda Ilikua sawa
Fedha kufichwa uko magharibi je
Fedha kukutwa nyumban je
Madin kukutwa nyumban
Africa bado wabinafsi sana mkuu
Nyie wavivu wa kufikiri na kufanya kazi, hapo hapo mna tegemea mjomba wa kuwaletea neema , ruksa kwenda kujiuza Ulaya.Porojo za watz bana hadi unacheka!
Wanao iona TZ nzuri ni hawa corrupt wanao karabati kivuko kwa bei ya kivuko kipya!
Mm na ww tunapigika tu
Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
We are useful idiots !Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Unaona ulivyo fala...suala la maendeleo unaita swaga....watanzania wana safari ndefu sana....Sio kwamba wewe na Lema ndio mnalaana? Unaleta swaga za usa Afrika?
Unaona ulivyo fala....suala la maendeleo unaita swaga...bogus kweli kweliSio kwamba wewe na Lema ndio mnalaana? Unaleta swaga za usa Afrika?
Hakunaga maendeleo ya kuruka stage wewe fala,no way stage utaifikia level za hao wa USA bila Kupitia humu tunamopita Sasa hivUnaona ulivyo fala...suala la maendeleo unaita swaga....watanzania wana safari ndefu sana....
Kwa akili yako unahisi upo kwenye process ya kuifikia USA?....ndio maana nakuambia wewe ni mpuuzi....Hakunaga maendeleo ya kuruka stage wewe fala,no way stage utaifikia level za hao wa USA bila Kupitia humu tunamopita Sasa hiv
Lema ajipange,ukiwabeza wenzio wanawatumia KisiasaKwa akili yako unahisi upo kwenye process ya kuifikia USA?....ndio maana nakuambia wewe ni mpuuzi....
Peleka hii kwa wenzio Lumumba...sisi wengine hatuna upande...Lema ajipange,ukiwabeza wenzio wanawatumia Kisiasa
Hiyo ni scam. ShtukaNimesoma HGL nilisoma sehemu kuwa karne ya 15 Africa na Europe zilikuwa almost the same,niko tayari kukosolewa
Ndugu yangu haya mambo ya maendeleo inategemea unatumia vigezo gani. Mimi pia niliwahi kwenda Afrika kusini ya Mandela mwaka 1995, 1996 na 1997 kwenye mikutano siku moja nikisafiri kwa treni nilishangaa na kusonononeka sana kupitia dirisha la treni ilikuwa alfajiri saa 11 niliona familia moja ya kiafrika baba, mama na watoto watano ikinyeshewa na mvua kwenye nyumba yao iliyojengwa kwa maboksi na kuezekwa na katarasi ya plastiki bahati mbaya kulikuwa na baridi kweli nilitamani kulia. Nitakuja kukueleza mengi niliyoyashuhudia nchi ya Mandela huyo unayemsifia.Mwaka 1990 au 91 kama sikosei Nelson Mandela alifanya ziara nchini Tanzania, watu walijipanga kuanzia Pugu Road, Buguruni, Ilala, Kariakoo, Mnazi Mmoja, Posta mpaka Ikulu.Akiwa kwenye gari ya wazi akiwaoungia mkono maekfu kwa maelfu WanaDares salaam waliouja kumlaki,akiwa na Winnie Mandela na Mwalimu Nyerere kwenye hilo gari aina ya Rolls Roys
Kufika Ikulu naambiwa alimwaga machozi hatari maana wakati anafungwa jela alikokaa miaka zaidi ya 26 alipotoka alikuta maendeleo makubwa sana nchini kwake chini ya Makaburu. Akawa kama mshamba anashangaa shangaa tu maghorofa na mabarabara. Sasa akawaza kuwa kama Makaburu wameweza haya vipi Tanzania ambayo inajitawala chini ya Mwanajumuni wa Africa JK Nyerere.
Alichokikuta sasa, slums za Buguruni kwa Mnyamani, Malapa, Ilala, Posta ilikuwa ile aliyoiacha, ndio kisa cha kulia. Aliona Uhuru haujamkomboa Mtanzania.
Haya maneno sijayatunga, niliambiwa na mzee wangu aliyekuwa kiongozi mwandamizi kipindi hicho.
Sasa baada ya mimi kumaliza kidato cha sita nilienda USA nikatelekezwa New York na rafiki yangu wa high school. Nilikuja kuokolewa na Babu Sikare naarufu kama Albino Fulani (RIP)a mbaye pia nilisoma nae Dakawa High School na kukulia pamoja mitaa ya Oysterbay. Yeye akiishi Namanga flats za Tanesco na mimi nikiishi Chole.
Siku moja nikifanya mazoezi niliteguka mguu nikapiga simu ikaja ambulance mpaka hospital nikatibiwa nikapona hapo nilikuwa USA kumbuka. Baada ya kurudi nchini nilipitia msoto kwa miezi kadhaa, kuna siku niliumwa nikakosa hata Panadol, nikahitimisha kuwa tumerogwa au tuna laana.
Mnaompinga Lema mjitafakari, wenzetu wako mbali, mnapoendesha hizo crown zenu mnajiona maisha mmeyapatia.
Viongozi wetu bado wana kazi ya kututoa kwenye umasikini, tuko nyuma sana. Lema hakuyajua hayo maana alikuwa hajawahi kufika Duniani!
Lema yuko sahihi sema uwasilishaji wake una ukakasi,hakujua kuchagua maneni kwa audience iliyokuwepo,watanzania wengi tunajivunia umasikini wetu na tunaridhika nao,tunapenda kuonewa huruma na sio kuamshwa,viongozi waafrica wanafaidika sana na umadikini wetu kisiasa.hao mabepari wa ulaya pia wanafaidika na umasikini wetu kiuchumi,tuamke
ni muda sahihi wa kupigania maendeleo ya vitu bila kutekana au kuuana.
Hatuwezi hata makanisa tu mfano wazungu walikuwa wanakamata mapori makubwa tena bure KWA ajili ya vizazi vijavyo chek pugu,leo mswahili anashindwa tambua miaka 20 ijayo Dar chalinze hakutakuwa hata na nyasi wawahi kushika mapori.Tuna akili za hovyo sana, mfano mzuri angalia town planer wanajua kabsa baada ya miaka 5 hapa patakuwa ni mafuriko ya wananchi lkn unakuta viwanja wanagawa kama kawaida pasipokuweka miundombinu ya kutosha miaka 10 baadae eti unabomolewa na fidia juu.
Wewe mpumbavu kweli. Una mawazo na akili zilizile za laana na za kimaskini...Sio kwamba wewe na Lema ndio mnalaana? Unaleta swaga za usa Afrika?