Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

sijawahi kwenda guest wala hotelini kugonga demu , geto lipo la bro ndo lakufanyia mauajia au home kabisa kama hukuna watu mida ya mchana hiyo....
Actually demu wangu huwa nampoza kwa 20k kwa ajili ya usafiri na kaz nzur anayonipa maana anajua mambo mpaka sio poa yaani na mambo mengine ya kwake binafsi. Na ukiona demu haridhiki na kiwango unachompa Jua kabisa kuna sehemu anapewa zaidi ya hapo so vijana muwe makini... uzur demu wangu huwa muelewea pesa kwake anaona kawaida cha msingi tu huwa ananisihi nimkune vizuri nisimuache juu juu!!
 
Weee jamaa boya sana yani kula papuchi tu tena kwa Mara ya kwanza unatumia pesa yote hiyo nyie ndio mnauziwa mbuzi kwenye gunia,inafaa unampeleka lodge ya kawaida kama ya 20 hivi kuchek upepo kama demu anajua mambozi papuchi mnato hapo unakua na morali ya kutumia pesa ndefu next time coz unajua utamu wake
 
Ulikuwa na akili za kitoto sana, aliyekuambia kwenda hotel kali ndo na mechi inakuwa kali ni nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pia show kali haina cha huyu demu bado bikra au huyu demu kashakuwa bwawa, mwanaume ukiwa fundi unapenya popote na mechi inakuwa kali balaa, wewe kiwango kidogo sana dogo, kazana angalau utoke ndondo cup uende ligi daraja la 2.

Unforgetable

Sasa demu kama bikra huo ufundi anautoa wapi?
 
Nimewahi kutumia laki 3,

Nakumbuka siku hyo tulipanga na demu tukale bata,ila akachagua sehemu tutakayo enda,akanambia atatangulia ili nimkute huko,Mimi nikaandaa laki coz nilijua tutakuwa wawili,Eee bwanaee ile nafika tu nikakuta yuko na best zake wanne,nilitamani kukimbia sema ndo hivo walikuwa washaniona,Ikabidi niende hvo hvo ila kiunyonge,

Nilivo fika kwenye meza nikahisi kichwa kupata moto,savanna ziko sita pale mezani,Ikabidi me niagize nyama tu,sasa kadri time ilivyo kuwa inaenda wakawa wana agiza vinywaji mpaka ambavyo sijawahi ona,cha ajabu mademu wako normal ile mbaya,nililetewa bill mida ya saa6 ikawa inasoma 340000,Ikabidi nikadroo tu ila hamu na yule demu ilikuwa ishapotea cz sikufikiria atakuwa wa aina ile.

Sikuwa na hamu tena ya kuchukua room ilibidi twende parking tu nikawapakiza kwenye gari mana cku hiyo ilibidi niazime na ndinga ili kujimwambafai,ile nimewafikisha hom wakat narud hom nikawa nawaza hela yangu tu,yan nilipatwa na hasira mpaka nikawa Nahisi roho yangu inakata mana katika life Langu sikuwahi kupoteza Hata 50k kwa manzi,

Wahenga bwana hawakukosea kusema jasho la mtu halipotei bure,kesho yake wale mademu wakaanza shobo za text kila muda,nikasema hawa wote lazima walipe jasho Langu,Hao mademu nimewachapa ndani ya mwaka mzima huku hawajuani,Wame kuja kujuana ndo nakaribia kwenda chuo kuendeleza maujuzi,walitukana mpaka basi nikawa siwajibu tena,ila saivi kuna wawili tena kati yao naona wanarudisha shobo tena.
 
Sema nini mzee hpo ulitisha kwa sana

Kuna Mzee mmoja ashatukuta vijana tunapiga story moja mbili tatu

Mzee akatupanga kwamba vijana tunafeli sana hatuna ka ubunifu fulani hiv sio kila siku unapiga mama hpo geto rangi ya ukuta ashaizoea

Siku nyingine unalipuka na lodge kali unabadilisha ukuta kidogo
 
hahaha mzee noma sana hao wawili we wapige tu hakuna namna c wamependa wenyewe
Nimewahi kutumia laki 3,

Nakumbuka siku hyo tulipanga na demu tukale bata,ila akachagua sehemu tutakayo enda,akanambia atatangulia ili nimkute huko,Mimi nikaandaa laki coz nilijua tutakuwa wawili,Eee bwanaee ile nafika tu nikakuta yuko na best zake wanne,nilitamani kukimbia sema ndo hivo walikuwa washaniona,Ikabidi niende hvo hvo ila kiunyonge,

Nilivo fika kwenye meza nikahisi kichwa kupata moto,savanna ziko sita pale mezani,Ikabidi me niagize nyama tu,sasa kadri time ilivyo kuwa inaenda wakawa wana agiza vinywaji mpaka ambavyo sijawahi ona,cha ajabu mademu wako normal ile mbaya,nililetewa bill mida ya saa6 ikawa inasoma 340000,Ikabidi nikadroo tu ila hamu na yule demu ilikuwa ishapotea cz sikufikiria atakuwa wa aina ile.

Sikuwa na hamu tena ya kuchukua room ilibidi twende parking tu nikawapakiza kwenye gari mana cku hiyo ilibidi niazime na ndinga ili kujimwambafai,ile nimewafikisha hom wakat narud hom nikawa nawaza hela yangu tu,yan nilipatwa na hasira mpaka nikawa Nahisi roho yangu inakata mana katika life Langu sikuwahi kupoteza Hata 50k kwa manzi,

Wahenga bwana hawakukosea kusema jasho la mtu halipotei bure,kesho yake wale mademu wakaanza shobo za text kila muda,nikasema hawa wote lazima walipe jasho Langu,Hao mademu nimewachapa ndani ya mwaka mzima huku hawajuani,Wame kuja kujuana ndo nakaribia kwenda chuo kuendeleza maujuzi,walitukana mpaka basi nikawa siwajibu tena,ila saivi kuna wawili tena kati yao naona wanarudisha shobo tena.
 
Ha haha ha ha ha kwan Dengue bado iko mjini mbona kama inataka kukuanza Kasie matata?
Yaani wewe hebu fanya urudi nyumbani haraka maana na hii mvua mbu wa Dengue wanakuathiri hata mchana.

Umesahau Dengue uliniambukiza wewe, fanya uje kunywa dawa kabla haijapanda kichwa cha .....
 
Nimewahi kutumia laki 3,

Nakumbuka siku hyo tulipanga na demu tukale bata,ila akachagua sehemu tutakayo enda,akanambia atatangulia ili nimkute huko,Mimi nikaandaa laki coz nilijua tutakuwa wawili,Eee bwanaee ile nafika tu nikakuta yuko na best zake wanne,nilitamani kukimbia sema ndo hivo walikuwa washaniona,Ikabidi niende hvo hvo ila kiunyonge,

Nilivo fika kwenye meza nikahisi kichwa kupata moto,savanna ziko sita pale mezani,Ikabidi me niagize nyama tu,sasa kadri time ilivyo kuwa inaenda wakawa wana agiza vinywaji mpaka ambavyo sijawahi ona,cha ajabu mademu wako normal ile mbaya,nililetewa bill mida ya saa6 ikawa inasoma 340000,Ikabidi nikadroo tu ila hamu na yule demu ilikuwa ishapotea cz sikufikiria atakuwa wa aina ile.

Sikuwa na hamu tena ya kuchukua room ilibidi twende parking tu nikawapakiza kwenye gari mana cku hiyo ilibidi niazime na ndinga ili kujimwambafai,ile nimewafikisha hom wakat narud hom nikawa nawaza hela yangu tu,yan nilipatwa na hasira mpaka nikawa Nahisi roho yangu inakata mana katika life Langu sikuwahi kupoteza Hata 50k kwa manzi,

Wahenga bwana hawakukosea kusema jasho la mtu halipotei bure,kesho yake wale mademu wakaanza shobo za text kila muda,nikasema hawa wote lazima walipe jasho Langu,Hao mademu nimewachapa ndani ya mwaka mzima huku hawajuani,Wame kuja kujuana ndo nakaribia kwenda chuo kuendeleza maujuzi,walitukana mpaka basi nikawa siwajibu tena,ila saivi kuna wawili tena kati yao naona wanarudisha shobo tena.
Hahaha ndo dawa yao, cku nyingine akileta rafiki zake fanya kma una haraka muite muhudumu lipia vile wanavyokunywa mda huo unasepa,
 
Yeah, ila kwa gharama zangu. Tiketi ya kwenda na kurudi gharama za hoteli na kula. Visa na zawadi nilizojinunulia zote gharama yangu.
total cost ilikuwa kiasi gani?
 
Mtoto wa kiume gharamika weee

Chukua room 5 star hotel

Unatulia ndani unakula AC machakula mazaga zaga yoteee

unamuuliza "umefika wapi beib"

akanijibu "sorrie beib nimepata dharura huwezi amini mume wangu tufanye siku ingne,soriie hun"

Aseeee nilishikwa na ganzi ikawa ndio mara yangu ya kwanza kujilaza 5star hotel peke yangu

Hadi leo sitosahau lile tukio gumu na la kuumiza.
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
Hongera sana. Kumbe ndio maana V naye alikuwa hapokei hela.
 
Mtoto wa kiume gharamika weee

Chukua room 5 star hotel

Unatulia ndani unakula AC machakula mazaga zaga yoteee

unamuuliza "umefika wapi beib"

akanijibu "sorrie beib nimepata dharura huwezi amini mume wangu tufanye siku ingne,soriie hun"

Aseeee nilishikwa na ganzi ikawa ndio mara yangu ya kwanza kujilaza 5star hotel peke yangu

Hadi leo sitosahau lile tukio gumu na la kuumiza.
Hahaha.. Dah pole mkuu
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
ni kweli huwa hata mimi spendi kabisa mpa mtoto wa watu hela ile day kanipa utramuu

ntasubiri hata zipite siku mbili tatu ndipo nikupe

na huwa automatical mwanamke ataeniomba hela day alonipa utramu (namchukulia kama maraya)
 
Back
Top Bottom