Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?

Mimi nimewahi kulipa loji 80,000 niko na manzi, ananiona nikilipa, tumefika mlango wa chumbani dem kagoma kuingia ndani, mbele ya wahudumu!

Ilikua hivi.. huyu dem nilimuomba namba akanipa tukaanza kuchati kwingi mpaka night kali. Basi stori zikawa zinahama kuelekea upande wa mahaba, tukaanza kuitana baby baby mara gudnite gudmorning nyingi baby umeshindaje n.k. Mzee baba mi nikajua mtoto ameshasomeka kilichofuata nikamuomba siku moja tuwe pamoja mtoto akakubali kiroho safi kabisa. Nikaona hakuna haja ya kupoteza hii nafasi, so nilivyomchukua tu nikanyoosha mpaka kwenye hoteli moja kali na kulipia chumba na kuagiza vinywaji. Sasa room ziko juu ghorofani so tunapanda ngazi tumeshikana mikono stori za hapa na pale na vicheko vingi mimi hapo tayari nashangilia ushindi. Ghafla ile tumefika mlangoni ndio nafungua tuingie ndani na mhudumu yuko nyuma yetu na vinywaji na kuna wahudumu wengine kama wawili wanaendelea na shughuli, mara demu kafunga breki kali na kumaka huku amekunja sura "Unanipeleka wapi huku..?!!!" Aisee ilikua mshike mshike dem kagoma kabisa ikabidi nimshike mikono nianze kumvutia ndani kwa nguvu, huku wahudumu wameacha shughuli zao wanatushangaa. Baadae aliingia kishingo upande ila akaanza kunilaum saana na kunihubiria akisema hakutegemea kabisa kama niko vile. Akasema yeye alidhani mle ndani kuna restaurant ndio maana akaingia.. na mambo mengi. Siku ile niliambulia patupu japo baadae nilikuja kumtafuna saana yule binti akawa kama mke wangu kwa muda.
 
Mimi nipo Mwanza Magu, nilienda pale UDOM kwenye semina nikakutana na mtoto wa kimeru tuka badilishana namba, nikamuomba aje hotelini niliko fikia hakuweza kuja, mwisho wa siku niliondoka bila kumla. Juzi kati hapa wakiwa wamefunga chuo ndo kanitafuta nikamwambia aje Mwanza, kakubali kaja zake na Isamilo katinga Mwanza mjini saa kumi na mbili na nusu, nikamwambia achukue [emoji596] aje Mangu garama ya tax ni 90000+50000 niliyo tuma kwa ajili ya Bus inakua 140000+na yakurudi 140000+ posho ya kujikim huko mbele ya safari, 200000. Siwezi kuandika kila kitu, hapa na ame kaa hapa wiki moja tuka anza kula viwaja mbali mbali mara Serengeti mbugani tukaja Mwanza mjini , kifupi ni zaidi ya mahari.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mtoto wa kiume gharamika weee

Chukua room 5 star hotel

Unatulia ndani unakula AC machakula mazaga zaga yoteee

unamuuliza "umefika wapi beib"

akanijibu "sorrie beib nimepata dharura huwezi amini mume wangu tufanye siku ingne,soriie hun"

Aseeee nilishikwa na ganzi ikawa ndio mara yangu ya kwanza kujilaza 5star hotel peke yangu

Hadi leo sitosahau lile tukio gumu na la kuumiza.
Kosa kubwa la kiufundi ulilofanya kuwahi eneo la tukio kabla ya manzi. Ila poleee
 
Kosa kubwa la kiufundi ulilofanya kuwahi eneo la tukio kabla ya manzi. Ila poleee
nilipewa uhakika wa asilimia 300 kua atakuja

na zaidi yeye ndo alikua akinipa mori kwa kuniambia "baby usisahau ninunulia wine flani"

basi zile mori ndo zikanfanya nipate moto kwenda kujilia vyangu sehemu nzuri kabisa
 
Nimewahi kutumia laki 3,

Nakumbuka siku hyo tulipanga na demu tukale bata,ila akachagua sehemu tutakayo enda,akanambia atatangulia ili nimkute huko,Mimi nikaandaa laki coz nilijua tutakuwa wawili,Eee bwanaee ile nafika tu nikakuta yuko na best zake wanne,nilitamani kukimbia sema ndo hivo walikuwa washaniona,Ikabidi niende hvo hvo ila kiunyonge,

Nilivo fika kwenye meza nikahisi kichwa kupata moto,savanna ziko sita pale mezani,Ikabidi me niagize nyama tu,sasa kadri time ilivyo kuwa inaenda wakawa wana agiza vinywaji mpaka ambavyo sijawahi ona,cha ajabu mademu wako normal ile mbaya,nililetewa bill mida ya saa6 ikawa inasoma 340000,Ikabidi nikadroo tu ila hamu na yule demu ilikuwa ishapotea cz sikufikiria atakuwa wa aina ile.

Sikuwa na hamu tena ya kuchukua room ilibidi twende parking tu nikawapakiza kwenye gari mana cku hiyo ilibidi niazime na ndinga ili kujimwambafai,ile nimewafikisha hom wakat narud hom nikawa nawaza hela yangu tu,yan nilipatwa na hasira mpaka nikawa Nahisi roho yangu inakata mana katika life Langu sikuwahi kupoteza Hata 50k kwa manzi,

Wahenga bwana hawakukosea kusema jasho la mtu halipotei bure,kesho yake wale mademu wakaanza shobo za text kila muda,nikasema hawa wote lazima walipe jasho Langu,Hao mademu nimewachapa ndani ya mwaka mzima huku hawajuani,Wame kuja kujuana ndo nakaribia kwenda chuo kuendeleza maujuzi,walitukana mpaka basi nikawa siwajibu tena,ila saivi kuna wawili tena kati yao naona wanarudisha shobo tena.
Pumbavu . Mbwa kala mbwa![emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilipewa uhakika wa asilimia 300 kua atakuja

na zaidi yeye ndo alikua akinipa mori kwa kuniambia "baby usisahau ninunulia wine flani"

basi zile mori ndo zikanfanya nipate moto kwenda kujilia vyangu sehemu nzuri kabisa
Duh basi ana roho mbaya sana. Siku nyengine panga mkutane kwanza ndo muelekee room usipende kutangulia hata iweje maana kuna ishu za kiusalama pia
 
Yeah, ila kwa gharama zangu. Tiketi ya kwenda na kurudi gharama za hoteli na kula. Visa na zawadi nilizojinunulia zote gharama yangu.
Afanaaaleki!

Naishia hapahapa kusoma hii thread...

Japo mi ni bingwa wa kutokuwa na wivu lakini ni mnyonge wa kudedi na presha.

Kwa hili acha nimwachie ibilisi aamue la kufanya...

Nyambaf zake mia nane na malabuku robo tatu sheitwain huyu aliyepakua asali ya ODM kwa gharama za mchuchu wa ODM...

Kojoleo lake na libadilike jinsia kisha lihamie kisogoni liwe chakula cha nzi

Nimemaliza kwa hasira kudadadadeki
 
Mimi nipo Mwanza Magu, nilienda pale UDOM kwenye semina nikakutana na mtoto wa kimeru tuka badilishana namba, nikamuomba aje hotelini niliko fikia hakuweza kuja, mwisho wa siku niliondoka bila kumla. Juzi kati hapa wakiwa wamefunga chuo ndo kanitafuta nikamwambia aje Mwanza, kakubali kaja zake na Isamilo katinga Mwanza mjini saa kumi na mbili na nusu, nikamwambia achukue [emoji596] aje Mangu garama ya tax ni 90000+50000 niliyo tuma kwa ajili ya Bus inakua 140000+na yakurudi 140000+ posho ya kujikim huko mbele ya safari, 200000. Siwezi kuandika kila kitu, hapa na ame kaa hapa wiki moja tuka anza kula viwaja mbali mbali mara Serengeti mbugani tukaja Mwanza mjini , kifupi ni zaidi ya mahari.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu naona umeamua uwe Loan board umempa boom kabisa hapo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vinywaji + hotel ilitumika TZS 250,000/= kwa mara ya kwanza tena tukiwa wawili tu baadae roho iliniuma sana.

Ila sasa hivi nikitoka na familia weekend huwa tunatumia mara mbili au mara tatu ya hiyo ni kitu cha kawaida.
 
Mimi nipo Mwanza Magu, nilienda pale UDOM kwenye semina nikakutana na mtoto wa kimeru tuka badilishana namba, nikamuomba aje hotelini niliko fikia hakuweza kuja, mwisho wa siku niliondoka bila kumla. Juzi kati hapa wakiwa wamefunga chuo ndo kanitafuta nikamwambia aje Mwanza, kakubali kaja zake na Isamilo katinga Mwanza mjini saa kumi na mbili na nusu, nikamwambia achukue [emoji596] aje Mangu garama ya tax ni 90000+50000 niliyo tuma kwa ajili ya Bus inakua 140000+na yakurudi 140000+ posho ya kujikim huko mbele ya safari, 200000. Siwezi kuandika kila kitu, hapa na ame kaa hapa wiki moja tuka anza kula viwaja mbali mbali mara Serengeti mbugani tukaja Mwanza mjini , kifupi ni zaidi ya mahari.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Hatari Sana
Aliporudi Chuo nahisi alikuwa anawaangalia wale Boys wa Chuo kama Faru maana ulimuweka kwenye Levels
 
Afanaaaleki!

Naishia hapahapa kusoma hii thread...

Japo mi ni bingwa wa kutokuwa na wivu lakini ni mnyonge wa kudedi na presha.

Kwa hili acha nimwachie ibilisi aamue la kufanya...

Nyambaf zake mia nane na malabuku robo tatu sheitwain huyu aliyepakua asali ya ODM kwa gharama za mchuchu wa ODM...

Kojoleo lake na libadilike jinsia kisha lihamie kisogoni liwe chakula cha nzi

Nimemaliza kwa hasira kudadadadeki


Aaaahahahahahahahhahahahahaa babuuuuuuu

Do you know that I love you so much....

Do you know that I miss you so much.....

To the way that I feel like I have FLU kumbe sina ni homa ya Mahaba ya Babu ODM....

Babu njoo basi uniteke, nasikia baridii, halafu leo nimesahau kuchukua sweta langu....

Mahabuba wangu wa pekee, ni wewe joto la mwilini mwangu....

Unipaye tabasamu, la kukoleza huba moyonii

Tulia wangu mpenzi tulia, tulia nami nipate tulia

Tulia wangu ODM tulia, tulia nami nipate tulia.

Malabuku zetu nusu na robo ndani ya mzani wa Mahaba aahahahahahaaa


Mmmmuuuahhhh!!!
 
Aaaahahahahahahahhahahahahaa babuuuuuuu

Do you know that I love you so much....

Do you know that I miss you so much.....

To the way that I feel like I have FLU kumbe sina ni homa ya Mahaba ya Babu ODM....

Babu njoo basi uniteke, nasikia baridii, halafu leo nimesahau kuchukua sweta langu....

Mahabuba wangu wa pekee, ni wewe joto la mwilini mwangu....

Unipaye tabasamu, la kukoleza huba moyonii

Tulia wangu mpenzi tulia, tulia nami nipate tulia

Tulia wangu ODM tulia, tulia nami nipate tulia.

Malabuku zetu nusu na robo ndani ya mzani wa Mahaba aahahahahahaaa


Mmmmuuuahhhh!!!
Iko siku nakwambia. Iko siku utajua wivu sio dawa.

Ngoja kwanza ninyoe hizi nywele za chini. Ni siku nyingi sana hujaninyoa. Najiuliza basi nabaki nikicheka tu nhi nhi nhi
 
Hongera sana naona hali yako alikukubali sana
Bado mpo nae Au mmeachana

Mkuu tuliachana na yule mwanamke kwa sababu alikuwa anapenda sana starehe yeye mkikutana anapanga mambo ya kula bata tu hajui kama kuna maisha baada ya starehe. Nahisi hata yeye hakuwa na future na mimi kwa sababu alikuwa hana muda wa kujadili mipango ya kujenga familia na mimi.

Hivyo tuliachana in a good way bila kukwazruzana ingawa sometimes huwa tunaonana na kula happy japo ameshaolewa mafano juma mosi iliyopita nilikuwa naye sehemu nilichange Dollar 100/2280 tulispend for sometimes nilivyofika home nilijikuta nimebaki na 50K tu kwenye wallet yangu.

Ila sijui mume wake alimdanganyaje siku ile maana tuliachana muda umeshaenda sana mida ya saa nne usiku na alikuwa amelewa si kidogo.
 
Mim gharama kubwa nilowahi tumia kwa mwanamke ilikuwa 2015 maeneo ya kibamba pana mahali panaitwa bonagi nilienda na manzi fulan chumba 50000 na gharama kadhaaa za msosi na vinywaji ilikata kama 180000 hata mim siku enjoy mana nilipiga bao moja bada ya hapo Mashine ikagoma kukojoa iliniuma sana
 
Si afadhali pesa mimi huyo demu babaake alitumwa na mganga yai la kenge na mafuta ya simba... Sio utani ni kweli kanisa.. Nilivipata kwa gharama kubwa sana halafu kumbe feki
Mganga ulitapeliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom