Kiasi gani kikubwa kabisa cha fedha ulichowahi kutumia kwenye kula au kuliwa tunda?


Ulilipia sh ngapi kiongozi
 
Si afadhali pesa mimi huyo demu babaake alitumwa na mganga yai la kenge na mafuta ya simba... Sio utani ni kweli kanisa.. Nilivipata kwa gharama kubwa sana halafu kumbe feki
 
Si afadhali pesa mimi huyo demu babaake alitumwa na mganga yai la kenge na mafuta ya simba... Sio utani ni kweli kanisa.. Nilivipata kwa gharama kubwa sana halafu kumbe feki
Dadavua mkuu
 
Dadavua mkuu
Sikuwa na uwezo wa kuvipata ila kuna mtu akaniambia atavipata kwa shilingi elfu 30 tasilimu... Wakati huo hiyo pesa ilikuwa kubwa sana
Nikampelekea demu akampelekea babaake naye akapeleka kwa mganga akaaguliwa akapona nikapewa papuchi
Siku moja yule aliyeniuzia akaropoka kuwa yai lilikuwa la kanga na mafuta yalikuwa ya kondoo
 
Kuwa baharia sio kitu kizuri maana asilimia 90 ya nyuzi zinazoanzishwa humu utakuta zinakuhusu. Kama huu uzi unanihusu kabisa. Nitarejea....
 
Mimi mwanaume akinipa pesa baada ya kupigwa ukuni sipogo comfortable kabisa.

Naona kama ananilipa malipo ya service, yaani maana yake nilikua najiuza kwake.

Sipokeagi. Bora unipe another day nikiwa fresh minded.
Watu kama ninyi ndio tunaita mirupo material[emoji23][emoji23]
 
Hahahah
mkuu uliweka uwekezaji wa 340k ukavuna papuchi mwaka mzima uliofuata.
 
Sawa bro nayo kali japo haiipiti ile ya kugegeda mochwari na ile yule manz alijifanya mwamba wa kula na kunywa vya watu eti kuna siku ulimuwekea joka feki akazimia kuja kushtuka anapigwa penalty ya tatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah una data zangu kama zote loh
Sawa bro nayo kali japo haiipiti ile ya kugegeda mochwari na ile yule manz alijifanya mwamba wa kula na kunywa vya watu eti kuna siku ulimuwekea joka feki akazimia kuja kushtuka anapigwa penalty ya tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…