Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Lakini Job hutumia high grade tyu
 
Mkuu inachukua muda gan mpaka miche kuwa tayari kuvunwa
kwa matumizi?
 

Binafsi nimekusamehe bure.hivi ushapiga inatotoka oldinyo sambo au kisimiri kule wewe!!
Ngoja ninyamaze tu
 
Mawenge ya hii kitu huletwa na njaa mkuu,mtu kama hana uhakika wa Milo miwili asivute ndumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…