Bob Dembe
Member
- Oct 7, 2021
- 5
- 3
Sheria [emoji110]Jifunze kunyonga mwenyewe ukizoea kutolewa kitu siku utavutishwa unga bila kujuaa na usizoee kugongea kitu kwa usiowajuaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria [emoji110]Jifunze kunyonga mwenyewe ukizoea kutolewa kitu siku utavutishwa unga bila kujuaa na usizoee kugongea kitu kwa usiowajuaa
Nimejifunza sana lizra lazima itoboke nikaona nisilazimishe, kuhusu kuchanganyiwa madawa hiyo hainistui hata uniwekee unga mimi siwezi kupoteza network hasara utapata wewe...!!!Jifunze kunyonga mwenyewe ukizoea kutolewa kitu siku utavutishwa unga bila kujuaa na usizoee kugongea kitu kwa usiowajuaa
Oya nko mtwar skank high grade zinaptkn wap wale wahindi maduka makubwa pale wanakul mjanj kutok wapi?Ungekuwa mtwara ningekurengesha kwa mhindi fulani
uyo mwamba kashavuta....R.I.P pusha wa mastaakimya kimya we msomeshe kapachino kwenye kona akupe kitu cha ... mi nnacho cha ...
Utakuwa unazungumzia r.... bar kama sikosei. Ile kitu yao ni hatari unapokuwa unapiga huisikii subiri sasa zipite dakika 10 ndio utajua hujuiMkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
Mkuu unachoma moto kambi futa hiyoUtakuwa unazungumzia ***** bar kama sikosei. Ile kitu yao ni hatari unapokuwa unapiga huisikii subiri sasa zipite dakika 10 ndio utajua hujui
Me hata sijamuelewa naona wabobezi mnatuwekea mafumbo tuu ...!!!Mkuu unachoma moto kambi futa hiyo
Wale mbona PT wamewaweka kwenye payroll. Nimefuta lakiniMkuu unachoma moto kambi futa hiyo
Payroll sio ya kudumu mkuu, kuna kipindi mwenye mkoa wake aliunguza kambi nyingi za uhakika kwa kisingizio cha vita...Wale mbona PT wamewaweka kwenye payroll.
Tuagizie tunapata wapi high grade mkuuView attachment 2068813
Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Inakuaga
Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa hapa nchini, katia wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. Ni nadra sana kukuta sehemu wanauza high grade
Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani
Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa
Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.
Usije kujidanganya kwamba bangi unayovuta hapa kwetu ni sawa ya wanayovuta huko Marekani, Jamaica, n.k. huko watu wanavuta bangi na sio uchafu ndio maana huji kusikia mtu kawehuka, sijui akili zimemtoka, ana ropoka ropoka, n.k. Kazi ipo huku ambako hata wakulima wa bangi kwenye uvunaji hawajui mbinu za kuvuna vizuri wao wanakurupuka tu, nae muuzaji anaenunua kwa wakulima hata hana elimu ya huu mmea yeye anauza tu ilimradi apate pesa, nao wanunuzi ndio wahanga wakubwa hawajui hata kama wanauziwa kushabu matokeo yake ndio haya mnayoyaona mtu akivuta bangi siku ya kwanza ha tofauti na mwehu, nadhani hata kina afande sele wanavuta kushabu wakijinadi kwamba wanavuta yenyewe matokeo yake ndio kuvua nguo kwenye steji na vituko vingine kibao ambavyo huwezi kuja kuvisikia huko nchi ambazo hawavuti kushabu.
kati ya wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. huyo mmoja aliebaki hadi kumpata ni mpaka connection, nadra sana kumpata kiukweli, ubora huwa ni wa juu na bei huwa zimechangamka, mzigo kidogo tu lakini unapata guarantee, starehe gharama.Kuna ukweli kiasi fulani kwenye huu uzi maana juzi tu nimepigwa na kitu kizito. ila napinga unaposema bongo hakuna jani halisi itakua haujakutana na vitu wewe.
Watu mnajua mpaka mmepitiliza. Wewe ni plant biologist?Changamoto nyingine bongo,ni kutambua strain za bangi kama ni sativa(inayokufanya uwe active na huvutwa mara nyng asubuh/mchana) na indica ile inayokufanya usizi,unarelax, nzuri kuvuta baada ya mishe.
Nimeanza kuvuta bange mwaka 1999 ila nahisi ni hiyo( kushabu)Bangi bangi tu. Me majamaa zangu wangu wa mbezi wakivuta Sana skanka Ila sijaona jipya Zaid inaleta usingizi tu Tena ile ya purple ..Haina maajabu ya kushangaza ujanja TU wa watu
Hivi fethibuku bado ipo?!Na me nakuambia mod akifuta huu uzi najitoa JF nahamia fethibuku
Kwa nyakati hizi unadhani kutakuwa na shidaPayroll sio ya kudumu mkuu, kuna kipindi mwenye mkoa wake aliunguza kambi nyingi za uhakika kwa kisingizio cha vita...