Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema gomba lina balaa sana,upate maini moja safi kabsa iwe fupi fupi, kijasho chembamba lazima kikutoke
HahahaUnataka kiasi gani?? Tatizo humu nako kila mtu TSS
View attachment 2068813
Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Ni kama mabaki ya kaya baada ya kutoa grade ya kwanza ile yenyewe, Inakuaga ina vimbegu na vijiti vingi mno... haina stimu, kelele nyingi, ukivuta utaishia kuumiza kichwa, kuwa mkali, n.k.
Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa sana, sana, sana hapa nchini. Ni nadra sana kukuta sehemu wanauza high grade
Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani
Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa
Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.
Usije kujidanganya kwamba bangi unayovuta hapa kwetu ni sawa ya wanayovuta huko Marekani, Jamaica, n.k. huko watu wanavuta bangi na sio uchafu ndio maana huji kusikia mtu kawehuka, sijui akili zimemtoka, ana ropoka ropoka, n.k. Kazi ipo huku ambako hata wakulima wa bangi kwenye uvunaji hawajui mbinu za kuvuna vizuri wao wanakurupuka tu, nae muuzaji anaenunua kwa wakulima hata hana elimu ya huu mmea yeye anauza tu ilimradi apate pesa, nao wanunuzi ndio wahanga wakubwa hawajui hata kama wanauziwa kushabu matokeo yake ndio haya mnayoyaona mtu akivuta bangi siku ya kwanza ha tofauti na mwehu, nadhani hata kina afande sele wanavuta kushabu wakijinadi kwamba wanavuta yenyewe matokeo yake ndio kuvua nguo kwenye steji na vituko vingine kibao ambavyo huwezi kuja kuvisikia huko nchi ambazo hawavuti kushabu.
Bado unasaviv?Huu uzi uki survive najinyonga this night. Auone Modereta
Yeah mkuu,,, ila wale kaka zake mama/wajomba wakijua unayo skanka hata ya kuvuta tu mwenyewe wanakupa kesi ya uhujumu uchumi wakati hii ni starehe kama zilivyo starehe nyingineHahaha
Siku hizi madem wengi mjini wanavuta skanka
Wanasema wakipiga wanajisika burdan
Ova
Kwwli kabisaYeah mkuu,,, ila wale kaka zake mama/wajomba wakijua unayo skanka hata ya kuvuta tu mwenyewe wanakupa kesi ya uhujumu uchumi wakati hii ni starehe kama zilivyo starehe nyingine
Ova,,,
napataje hii kaya mwamba?
Mkuu unafaidi, kitu safii chakula ya roho
Ntaipataje grade one mkuuHuu uzi uki survive najinyonga this night. Auone Modereta
Tatizo humu kila mtu TSSnapataje hii kaya mwamba?
Mkuu huyo ni kuichepa tu,, shada tupu hakuna tunda humoMkuu unafaidi, kitu safii chakula ya roho
Umeshajinyonga????Huu uzi uki survive najinyonga this night. Auone Modereta