Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Wenzenu walioendelea hawavuti kwenye misokoto ya magazeti ; hiyo bangi huvutwa kwenye pipe inayochuja uchafu wote kwahiyo unapata moshi mtupu!!!
Sawa lakini ikiwa genuine hata ukitumia karatasi uta enjoy tuu Kama unazungumzia Kiko ni kwa ajili ya kuweka kiasi kingi kuepuka usumbufu wa kunyonga Mara kwa mara na kumbuka kunyonga kunataka utalaam binafsi licha ya kuwa mvutaji kunyonga sijui.
 
Mkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
Mkuu nitakufuata PM tuyajenge.Unielekeze huko zinakopatikana.
 
Juzi nilikuwa namtafuta jamaa yangu mmoja hivi alikuwa amefikia lodge....katika kupitapita kwenye room za lodge nikasikia harufu ya bangi ikabidi nisogee nijue yaliyomo..ile kuchungulia tu nikacheki madada kama watano hivi wametandika godoro chini halafu wanavuta bangi..chumba kimejaa moshi balaa😁😁....kwa hali hii mwanamke hata angeingiziwa chupa yeye anaona yote sawa tu.
 
Kuna
Bangi bangi tu. Me majamaa zangu wangu wa mbezi wakivuta Sana skanka Ila sijaona jipya Zaid inaleta usingizi tu Tena ile ya purple ..Haina maajabu ya kushangaza ujanja TU wa watu
Mkuu kuna Bangi ukivuta stiki moja tuu unapata stata swafii😁 hizo za kuvuta sana utaishia kuchoka mwili na hata njaa na kuumwa na kichwa
 
Kuna mmoja huku anaichukua bangi anaifunga vizuri anaeda kwenye karo la choo anafunua karo anafunga kamba na mfuniko afu bangi inakuwa ina ning'inia nday ya karo ikibeba mvuke wa mavi[emoji23][emoji23][emoji23]

babu akivuta hiyo bangi hadi utamuonea hurumaaa[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu tujuze anakuwaje
 
Mkuu hiyo grade one ni Kali balaa Kuna kipindi nilikuwa nakaa masaki nikaenda kwa pusha alinipa bange moja tu aroo iliingia hadi kwenye mifupa wakati huku uswazi naweza vuta hata vijiti saba (koshabu) lakini ile moja tu sikutaka ingine nikatimua mbio..[emoji125][emoji125] Sasa unajua Kule masaki wanawauzia wazungu, mzungu ukimpa makapi anaweza akakuzaba makofi.
Hahahah kuna sadali mmoja kino hapo alituwasha na vijiti high grade aisee nilikula stiki moja tu nikasizi kinoma. Ilibidi nimwambie muhuni aisee hii tosha kmmmk.

Yani imagine nshakula Hennesy langu af nkajaladia na bia kuja kuwasha kijiti mzee niliamini kweli kuna watu wanakula raha duniani.
 
Mzigo wa king huo,,, sio uchafu wa arusha unaowatia vichaa machalii

20211014_203324.jpg
 
View attachment 2068813

Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Ni kama mabaki ya kaya baada ya kutoa grade ya kwanza ile yenyewe, Inakuaga ina vimbegu na vijiti vingi mno... haina stimu, kelele nyingi, ukivuta utaishia kuumiza kichwa, kuwa mkali, n.k.

Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa sana, sana, sana hapa nchini. Ni nadra sana kukuta sehemu wanauza high grade

Wengi wakivuta siku ya kwanza watalia ni vipofu kumbe wamesahau kuwasha taa, hukimbia mawingu, hubeba toroli badala ya kusukuma, hutukana ovyo ovyo, n.k. hii ndio gharama ya kuigiza uchafu kichwani

Ukizoea sana kushabu tayari wewe kichwa panzi, unaweza kuwa kichaa kabisa

Wanaokula kushabu ni masikini wanaoshindwa kupata grade one aidha hawana pesa au hawana maarifa ya kujua viwango wao wanavuta ilimradi iwe bangi tu.

Ukiishi sehemu zenye bangi iliyo na kiwango hata muuzaji anaojua bidhaa anayouza, uta enjoy sana bangi
Changamoto nyingine bongo,ni kutambua strain za bangi kama ni sativa(inayokufanya uwe active na huvutwa mara nyng asubuh/mchana) na indica ile inayokufanya usizi,unarelax, nzuri kuvuta baada ya mishe.
 
Back
Top Bottom