Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi

Kushabu Ni tafrani tupu[emoji4][emoji116]
tapatalk_1589373748478.jpg
 
Hakuna mtu anaye grade bangi
Bangi inavyoota huko shambani ubora wake
Ndiyo unapatikana huko huko,wachumaji ndiyo
Huzi grade wanapozichuma...

Hizi kali...

Na za kawaida....

Ova
 
Umewananga tu lakini hujatoa walau njia mojawapo ya kuwanusuru, huoni utaongeza vichaa mtaani ilahli ujuzi unao mkuu.

Tujuze basi unagrade vipi!? Na hiyo first grade inapatikana wapi na kwa sh ngapi??
 
Mkuu kweli kuna muda unakula kitu unabembea tu hutaki stori, sometimes unakula unajikuta unaongea sana kumbe kuna aina 2
Changamoto nyingine bongo,ni kutambua strain za bangi kama ni sativa(inayokufanya uwe active na huvutwa mara nyng asubuh/mchana) na indica ile inayokufanya usizi,unarelax, nzuri kuvuta baada ya mishe.
 
Hakuna mtu anaye grade bangi
Bangi inavyoota huko shambani ubora wake
Ndiyo unapatikana huko huko,wachumaji ndiyo
Huzi grade wanapozichuma...

Hizi kali...

Na za kawaida....

Ova
Hakuna mtu anaye grade bangi

[emoji116]

wachumaji ndiyo
Huzi grade wanapozichuma...

HUONI KWAMBA UMEJICHANGANYA MWENYEWE..??
 
Hakuna mtu anaye grade bangi

[emoji116]

wachumaji ndiyo
Huzi grade wanapozichuma...

HUONI KWAMBA UMEJICHANGANYA MWENYEWE..??
Haha

Point yangu ndiyo hiyo hiyo

Wachumaji ndiyo wana grade bangi kwenye uchumaji,wao wanajua mmea gani ndiyo mkali

Ova
 
Katika biashara ninayotamani kuanza kuifsnya ni hii umeongea ukweli mtupu wengi tna asilimia 90 ya wavuta ngada hawavuti kitu halisi wanavuta makapi manaa bangi haitakiwi kukauka kabisa haitakiwi kuwa mbichi na kubwa zaidi haitakiwi kukomaa snaa Ila ndiyo ivyoo uelewa mdogo na ugumu WA pesa huwafanya watu kutozingatia ubora ndyo maana Kuna clip moja ilikuwa inasambaa padri mmoja alikuwa anaisifu bangi akasema hii kitu inaliwa na mabosi wenye pesa zao
 
Back
Top Bottom