Kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa Lissu? "No refom, No election" fupa gumu kwa Lissu, aanza kujitoa na kusema liliamuliwa na uongozi uliopita wa chadema

Kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa Lissu? "No refom, No election" fupa gumu kwa Lissu, aanza kujitoa na kusema liliamuliwa na uongozi uliopita wa chadema

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
 
Wewe Kenge kweli, Maamuzi yalifanyika wakati Mbowe ni Mwenyekiti ,na yalikubaliwa na Kamati Kuu.


LISSU anayasimamia .
 
Wewe Kenge kweli, Maamuzi yalifanyika wakati Mbowe ni Mwenyekiti ,na yalikubaliwa na Kamati Kuu.


LISSU anayasimamia .
yaani unafurahia kutimiza maamuzi ya kijinga namna hiyo?yeye hana akili mpaka ashupalie kutimiza ujinga kama huo ambao hauwezekani?
 
Maamuzi yapi ya ujinga??

Upuuzi uliopo kwenye Uchaguzi ,nao ni wakusema Upinzan waingie uchaguzini???.

Mjinga Mmoja wewe
mjinga ni wewe mnaofurahia kitu kisichowezekana hivi wewe hapo kama unaakili tu hata za kuvukia barabara unaamini mtaweza kuzuia kufanyika kwa uchaguzi na huo ujinga mnaoushabikia?
 
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
Uko sahihi hataki ku own kama zigo lake alilobeba kwenye succession

Lisu yuko weak mno kisiasa

Mfano katandikwa swali mkutano wa Bawacha kwa nini hakuna uwiano wa kijinsia kwenye kamati kuu kapiga porojo za ooh way forward linatakiwa kuangaliwa kama vile hilo halikuwa lakr hilo lilikuwa past linamhusu Mbowe !!!

Mwongo mkubwa mbona wale wajumbe sita wa kamati kuu alioteua hakubalance gender? Eti ohh way forward alipokuwa akifanya teuzi hakujua hilo ? Kuwa kuna issue za gender equality?
 
mjinga ni wewe mnaofurahia kitu kisichowezekana hivi wewe hapo kama unaakili tu hata za kuvukia barabara unaamini mtaweza kuzuia kufanyika kwa uchaguzi na huo ujinga mnaoushabikia?
Mjinga Mmoja wewe

Kwahiyo unataka LISSU àingize chama uchaguzini ,ili wakatwe majina, wauwawe, waumizwe, waibiwe kura ?
 
Sasa kasema urongo? Ni kweli liliamuliwa na kamati kuu ya mh. Mbowe au we hutaki?
 
Mjinga Mmoja wewe

Kwahiyo unataka LISSU àingize chama uchaguzini ,ili wakatwe majina, wauwawe, waumizwe, waibiwe kura ?
sasa si bora aseme atasusia uchaguzi ujinga anaousema wa kuzuia uchaguzi ndiyo nakuambia na wewe mjinga mmoja kuwa ni kitu hakiwezekani yaaani humo mmekutana pipa na mfuniko wewe jinga na lissu jinga mnateteana majinga matupu
 
Sasa kasema urongo? Ni kweli liliamuliwa na kamati kuu ya mh. Mbowe au we hutaki?
kwahiyo anarithi ujinga na kuuendeleza ujinga ?maana ya kubadiri uongozi ni pamoja na kutoa mambo ya kijinga yaliyokuwa yanafannyika sasa kama anaendeleza ujinga wa mtangulkizi wake na yeye ni mjinga ssasa hafai kuwa mwenyekiti huyo
 
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
ameanza kuona makengeza ya kisiasa na kuja na visingizio vilevile vya kusmsingizia mzee mbowe mambo mbalimabali kama alivyokua akifanya kabla ya uchaguzi wao :pedroP:
 
sasa si bora aseme atasusia uchaguzi ujinga anaousema wa kuzuia uchaguzi ndiyo nakuambia na wewe mjinga mmoja kuwa ni kitu hakiwezekani yaaani humo mmekutana pipa na mfuniko wewe jinga na lissu jinga mnateteana majinga matupu
Kwann aseme atasusia? Uchaguzi bila Mabadiliko yalopendekezwa Toka Tume ya Jaji Nyalali, ni Bora uzuiliwe
 
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
Pumbavu wewe . Ndo mana mkaahirisha mechi ili lisu asisikile? Kwani kwenye uongozi uliopita lisu hakuwepo sehemu yake????
 
Chama sasa hivi kina FEDHA hakimtegemei Mbowe thanks to TONE TONE Hongereni CHADEMA tiutaendelea kuwachangia CHADEMA sasa hivi imechangamka mpaka Kile Kikongwe Babu Wassira na Makala kila siku ni CHADEMAA CHADEMAA...😂😆
 
Back
Top Bottom