Kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa Lissu? "No refom, No election" fupa gumu kwa Lissu, aanza kujitoa na kusema liliamuliwa na uongozi uliopita wa chadema

Kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa Lissu? "No refom, No election" fupa gumu kwa Lissu, aanza kujitoa na kusema liliamuliwa na uongozi uliopita wa chadema

Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
🚮🚮🚮
 
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
kiatu cha samia kina mubana sasa lucas mwanshamba na id zenu JF
 
Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".

Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.

Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.

Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
Lissu licha ya kuwa msanii, anaweza kuwa tapeli wa kawaida mwenye matatizo ya akili baada ya kunyeshewa mvua ya risasi. Asiwe kama kichaa Trump ambaye hata aking'atwa na mbu anasema katumwa na Biden. Mbowe si kiongozi wa Chadema tena. Lissu aonyeshe tofauti na kutimiza ahadi alizotoea.
 
Back
Top Bottom