yaani unafurahia kutimiza maamuzi ya kijinga namna hiyo?yeye hana akili mpaka ashupalie kutimiza ujinga kama huo ambao hauwezekani?Wewe Kenge kweli, Maamuzi yalifanyika wakati Mbowe ni Mwenyekiti ,na yalikubaliwa na Kamati Kuu.
LISSU anayasimamia .
Maamuzi yapi ya ujinga??yaani unafurahia kutimiza maamuzi ya kijinga namna hiyo?yeye hana akili mpaka ashupalie kutimiza ujinga kama huo ambao hauwezekani?
mjinga ni wewe mnaofurahia kitu kisichowezekana hivi wewe hapo kama unaakili tu hata za kuvukia barabara unaamini mtaweza kuzuia kufanyika kwa uchaguzi na huo ujinga mnaoushabikia?Maamuzi yapi ya ujinga??
Upuuzi uliopo kwenye Uchaguzi ,nao ni wakusema Upinzan waingie uchaguzini???.
Mjinga Mmoja wewe
Uko sahihi hataki ku own kama zigo lake alilobeba kwenye successionNimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mango kazi wowote wa "no reform no election".
Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.
Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.
Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
Mjinga Mmoja wewemjinga ni wewe mnaofurahia kitu kisichowezekana hivi wewe hapo kama unaakili tu hata za kuvukia barabara unaamini mtaweza kuzuia kufanyika kwa uchaguzi na huo ujinga mnaoushabikia?
Kwenye hajawahi kupata uwezo wa kujua kusoma na kuchangia mada JF!Wewe Kenge kweli, Maamuzi yalifanyika wakati Mbowe ni Mwenyekiti ,na yalikubaliwa na Kamati Kuu.
LISSU anayasimamia .
sasa si bora aseme atasusia uchaguzi ujinga anaousema wa kuzuia uchaguzi ndiyo nakuambia na wewe mjinga mmoja kuwa ni kitu hakiwezekani yaaani humo mmekutana pipa na mfuniko wewe jinga na lissu jinga mnateteana majinga matupuMjinga Mmoja wewe
Kwahiyo unataka LISSU àingize chama uchaguzini ,ili wakatwe majina, wauwawe, waumizwe, waibiwe kura ?
kwahiyo anarithi ujinga na kuuendeleza ujinga ?maana ya kubadiri uongozi ni pamoja na kutoa mambo ya kijinga yaliyokuwa yanafannyika sasa kama anaendeleza ujinga wa mtangulkizi wake na yeye ni mjinga ssasa hafai kuwa mwenyekiti huyoSasa kasema urongo? Ni kweli liliamuliwa na kamati kuu ya mh. Mbowe au we hutaki?
CHADEMA iliwahi kuwa na Kamati Kuu moja tu siyo mbili wakati wa Mbowe na Lissu akiwa ni mjumbe.Sasa kasema urongo? Ni kweli liliamuliwa na kamati kuu ya mh. Mbowe au we hutaki?
ameanza kuona makengeza ya kisiasa na kuja na visingizio vilevile vya kusmsingizia mzee mbowe mambo mbalimabali kama alivyokua akifanya kabla ya uchaguzi waoNimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".
Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.
Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.
Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi
Kwann aseme atasusia? Uchaguzi bila Mabadiliko yalopendekezwa Toka Tume ya Jaji Nyalali, ni Bora uzuiliwesasa si bora aseme atasusia uchaguzi ujinga anaousema wa kuzuia uchaguzi ndiyo nakuambia na wewe mjinga mmoja kuwa ni kitu hakiwezekani yaaani humo mmekutana pipa na mfuniko wewe jinga na lissu jinga mnateteana majinga matupu
Pumbavu wewe . Ndo mana mkaahirisha mechi ili lisu asisikile? Kwani kwenye uongozi uliopita lisu hakuwepo sehemu yake????Nimesikia hotuba ya Lissu katika sherehe za siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na BAWACHA. Hotuba hiyo ilidhihirisha kwamba hakuna mpango kazi wowote wa "no reform no election".
Tundu Lissu alionekana kujivua lawama kuhusu kauli hiyo na kusema iliasisiwa na uongozi uliotangulia.
Kwa hakika kabisa, very soon chadema wataitema kauli hiyo au kuanza kuibumba kwa maneno tofauti.
Hakika kiatu cha Mbowe ni kikubwa kwa mrithi