Hizo ndo nchi tajiri zaid Afrika hivo hapo anakuwa kafaulu ila ashafanya show kubwa na kushika chati, nchi ndogo ndogo kama
Uganda, Rawnda, Burundi , Angola, Ivory Cost, Ghana, Congo Zimbabwe, kikwete ana kwambua alikuwa ethiopia huko akakuta watu wanasikilza my number 1
Domo Kasha shinda Tuzo ya
Channel 0
Mtv MAMA awards
Tuzo za Nigeria na SA Kibao
Kashakuwa nominated
BET(mara 2)
Mtv EUROPE
Jamani kweli kwa CV hii utamuweka sawa na msanii gani Bongo!!?
Labda tuwe tunamchukia tuu, hambi ambalo najua wewe hauko hivo huchukii watu bila sababu