Kibaha: Mwanafunzi atoroka nyumbani tangu August 18,2023. Inadaiwa kaenda kwa mpenzi wake

Binadamu anaakili sana na binadamu huyohuyo ni mvivu wa kufikiri
 
Duh! Dunia inaenda kasi sana,
Leo hii wazazi ndio wanjishusha kwa watoto,
Malezi gani haya hata kama hajulikani alipo?

Anyway maelezo ya mwisho kwa rafiki yake yanajieleza vizuri waondoe shaka!

Ila mama achukue number ilikohamishiwa hela aende nayo polisi akalalamike hao watamfatilia na kujiua alipo huyo aliyerushiwa hela aweza kuwa ndo boyfriend wa kadogoo just simple like that!
 
Mkisumbua boyfriend atatishia kumuua kabisa
 
...boyfriend wake na uyu mtoto jaman amrudishe... Najua umeshakula saiv unajuta juta... Mrudishe tu ata kama ushamtia mimba ili mama mkwe atulie atakufa na presha jamani mama atakuw anamkumbuka mwanae dah! Katoe bc ata taarifa tu uoe... Sio vizur bana... Na wew mtoto uliesepa fanya ata kutuma ujumbe nyumbn wapumue asee... Uchungu wa mwana aujuae mzazi/mlezi...
 
Picha?
 
Tunavuna ''mavuno" yatokanayo na mbegu tulizopanda enzi hizi za kidigitali. Kizazi hiki kimedekezwa vya kutosha na wazazi hasa wale waliolelewa na "House girls" na "Single mothers". Enzi zetu huyu angekula kipigo kitakatifu na akitudi ni kipigo cha jehanamu
 
Wasichana wa miaka hii wanachanganyikiwa haraka sana na mikuyati. Mimi mwenyewe hapa kuna toto la binamu yake na mke wangu limepagawa na dudu mpaka linatoka na watu wazima, miaka 17 tu lakini hatari! Shenzi type kabisa! Juzi nimelikamata na simu yenye mambo machafu kuliadhibu eti linatoroka, wiki moja linapuyanga mitaani njaa ilipolinyoosha ndipo likakumbuka kurudi! Ipo siku nitakosa uvumilivu nilipige mhogo wa Jang'ombe mpaka lichukie mihogo! Shenzy kabisa!
 
Huyo sada wamwache afurahie Maisha yake, dunia itamfunza hatarudi nyumbani kwa aibu na kuweka matako chini.
 
Yuko kwa bwana ake hiyo ilikuwa ya kuanzia maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…