KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

Abdul Said Naumanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2024
Posts
673
Reaction score
1,318
IMG_7786.jpeg
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Pole kwa familia na wafiwa wote.
Mungu atujaalie mwisho mwema..amin
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Kizazi hiki kimekengeuka kabisa
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Kumdekeza mtoto sana kwa kumpa kila kitu ni TATIZO kubwa sana, ila sioni tatizo katika kumsomesha EMs​
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

Well said mkuu, wakitoka wanasubiri ajira, wwakizikosa wanawageukia wazazi wapewe urithi kabla hawajafa
 
Well said mkuu, wakitoka wanasubiri ajira, wwakizikosa wanawageukia wazazi wapewe urithi kabla hawajafa
Kwamba kumsomesha mtoto EMs kunasababisha awe na maadili yasiyofaa ikiwemo kutaka kuua??🤔🤔

Mimi siamini kabisa katika hilo, angalia tu ata kikawaida ni wanafunzi gani wanaongoza kwa tabia za HOVYO hata mitaani kati ya wanaosoma EMs na wanaosoma Kayumba.

Utagundua panya road wengi na wavuta bangi wanatokea kayumba zaidi kuliko EMs. Mimi nadhani TATIZO ni kumpa mtoto kila kitu (especially akiwa bado mdogo) kwamaana akivikosa (hata ukubwani) ataona kama mzazi hampendi n.k na kisha kutengeneza chuki kwa mzazi.

NB: haya ni maoni yangu binafsi tu📌​
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mtoto wake ana shida kubwa afya akili.....tuiombee familia kipindi kigunu sana......RiP Riziki Majala
 
We ,jamaa
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Back
Top Bottom