gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Kama huna familiaKuna mahala wakili alikosea katika malezi ya huyu mtoto.
Kaa kwa kutulia ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna familiaKuna mahala wakili alikosea katika malezi ya huyu mtoto.
Labda a pia alipataa ajali boda ubongo uka shske.....ndio chanzo.....hayo bangi na pombe sasa sijajua...ingawa aliraka pesa ya pombe.....( ana file hospital) dish limeyumbaKwani tatizo lake la afya ya akili limetokana na matumizi ya madawa?🤔
Lambardi tunaomba msaada kidogo hapa.
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Uko shallow sanaPoleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hili nimeshuhudia mzazi ana dekeza litoto mwisho wa siku linakua LIABILITY na mifano ya wazi ipo mingi Sanaa.Poleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Mbona wewe kuna uzi niliona umeandika wanao wanasoma OlimpioPoleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nina familia, naongea with experience.Kama huna familia
Kaa kwa kutulia ....
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Mtoto ana shida afya ya akili .....dish limeyumba....slways anataka pesa alanywe pombe.....shida iko hapo.....23yrs kijana akili Milembe caseWalikuwa ni familia bila mama!? Yuko wapi? Je ugomvi ulikuwa pesa tuu? Au kuna ziada?
Nina watoto 5 lakini sikai na mtoto hata mmoja. Kila mtu achakure chakure kama kuku jalalani kutafuta maisha. Shikamoo/heshima za kuamkiwa asubuhi na mchana kuombea chai na ugali sizihitaji kabisa. Nitakupa mtaji lakini sio hela ya matumizi. Nilitoka kwetu kusini kuja Dar kutafuta, nawe mtoto hangaika.Poleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tusi-jump in the conclusion. Maelezo yako yanatoa hukumu ya moja kwa moja kwa wazazi wa mtoto kumbe pengine haikuwa hivyo. Halafu mawazo yako kuhusu elimu yako primitive sana sana. Nadhani uwezo wako wa kusomesha watoto ni mdogo ndiyo maana unakuwa na inferiority complex kwa wenye uwezo wa kusomesha watoto wao vizuri au hukubahatika kupata elimu nzuri na umekulia kwenye familia chovu.Poleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻