KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Huko Kibaha kuna pepo mchafu mwezi huu
Si wamemuua mume wa mdaiwa wa OYA majuzi tu!!
Who is next?
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uko shallow sana

Watoto wangapi wa st Kayumba wameua wazazi au Walezi wao? Watoto wangapi wa EM hawana shida hizi?

It’s a mental health situation, abuse or even mob psychology

You can’t judge just like that

Anyways …. It seems like una chuki nyingi kidogo
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hili nimeshuhudia mzazi ana dekeza litoto mwisho wa siku linakua LIABILITY na mifano ya wazi ipo mingi Sanaa.

Yaan mzee analea mtoto wake wa kiume 30's ana mke na watoto wawili wote wanalelewa nyumbani mtoto hajishuhurishi kwa chochote zaidi ulevi wa bangi na pombe.

Mzee alikua na position nzurii ya kazi permanent & pensionable
Dogo akiomba pesa kwa mzee wake akanyimwa anamletea fujo mzee na mzee anampenda mtoto wake anaweza kopa hata ili ampe mtoto..

Wazazi tulee vijana wetu vyema kwenye maadili mema.
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Duuh
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Duh pesa za baba mtoto anazitaka🥱
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Hii taarifa mbona haitaji umri wa marehemu wala wa mtuhumiwa?
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mbona wewe kuna uzi niliona umeandika wanao wanasoma Olimpio

kwani sio English Medium hiyo...?
 
Walikuwa ni familia bila mama!? Yuko wapi? Je ugomvi ulikuwa pesa tuu? Au kuna ziada?
 
Kama huna familia
Kaa kwa kutulia ....
Nina familia, naongea with experience.

Mtoto unatakiwa umnyooshe awe na adabu hata kumwambia mzazi wake aahh, aogope, nimeona watoto wengi wanaodekezwa dekezwa wanavyobafilika haswa kipindi cha balehe.

Nimeyaona haya kwa familia nyingi sana.
 
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.


View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p

Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.

Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.

Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.


View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW

Nyendo ameandika uzi watoto wasio na Maadili.

Nadhani ameyapata bila kutumia nguvu.
 
Walikuwa ni familia bila mama!? Yuko wapi? Je ugomvi ulikuwa pesa tuu? Au kuna ziada?
Mtoto ana shida afya ya akili .....dish limeyumba....slways anataka pesa alanywe pombe.....shida iko hapo.....23yrs kijana akili Milembe case
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nina watoto 5 lakini sikai na mtoto hata mmoja. Kila mtu achakure chakure kama kuku jalalani kutafuta maisha. Shikamoo/heshima za kuamkiwa asubuhi na mchana kuombea chai na ugali sizihitaji kabisa. Nitakupa mtaji lakini sio hela ya matumizi. Nilitoka kwetu kusini kuja Dar kutafuta, nawe mtoto hangaika.
 
Poleni sana mawakili na wanasheria.

Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.

Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.

Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.

Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.

Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.

Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.

HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.

Utakuja kunishukuru.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tusi-jump in the conclusion. Maelezo yako yanatoa hukumu ya moja kwa moja kwa wazazi wa mtoto kumbe pengine haikuwa hivyo. Halafu mawazo yako kuhusu elimu yako primitive sana sana. Nadhani uwezo wako wa kusomesha watoto ni mdogo ndiyo maana unakuwa na inferiority complex kwa wenye uwezo wa kusomesha watoto wao vizuri au hukubahatika kupata elimu nzuri na umekulia kwenye familia chovu.
 
Back
Top Bottom