KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

KIBAHA: Wakili Riziki Majallah auwawa na mwanaye wa kumzaa kisa kumnyima pesa

Mtt akiwa mdg una mnunulia gari za watt
Akikua sec una mpa lako anaenda nalo shule
Anamaliza chuo anataka lake sasa harrier tako la nyani alafu dingilai pesa huna
Sidhani kama uko sahihi. Kna watoto wengi sana wanakuzwa kwenye mazingira kama haya na wanaishi vizuri na kuheshimu wazazi tu. Kumnyima mtoto wako matunzo mazuri kama una uwezo siyo sababu ya kumfanya awe mtii.
 
Kuna mahala wakili alikosea katika malezi ya huyu mtoto.
Siyo lazima iwe hivyo. Kuna watoto wanalelewa vizuri tu baada ya kuwa wakubwa wanaingia kwenye vikundi vibaya eg vya madawa ya kulevya. japo nakubali kuwa malezi mazuri ni muhimu, lakini pia siyo hakikisho kuwa mtoto hatabadilika baada ya kuwa mkubwa.
 
Naunga mkono hoja,mawakili wanachukuwa sana pesa za wateja wao,na pia kuwadanganya kuhusu kesì,kesi wanachukuwa mamilioni ya pesa,bila kujali uwezo wa mteja wake.
Na muda mwingine wanakudouble cross, yani wao wanaigeuza kesi yako planned gam anaewekq dau kubwa ndo anashinda case wanagawana chao wanapita hivi unabaki unalialia.
 
Kumdekeza mtoto sana kwa kumpa kila kitu ni TATIZO kubwa sana, ila sioni tatizo katika kumsomesha EMs​
Inaweza pia kuwa mchoyo sana kwa mtoto na kumnyima kila anapokuomba kitu
Hii pia inaweza kuleta chuki kwa mtoto maana kila anapokuomba ukamwambia kwenda huko sina hela mimi na huku akiona kabisa uwezo unao wa kumpa, pia hili linaleta matatizo
Mali ni tatizo pia watoto
 
Inaweza pia kuwa mchoyo sana kwa mtoto na kumnyima kila anapokuomba kitu
Hii pia inaweza kuleta chuki kwa mtoto maana kila anapokuomba ukamwambia kwenda huko sina hela mimi na huku akiona kabisa uwezo unao wa kumpa, pia hili linaleta matatizo
Mali ni tatizo pia watoto
Hii ni kweli kabisa, ninacho pinga mimi ni ilo suala la kusema mtoto kusoma EMs anaharibikiwa.​
 
Tusi-jump in the conclusion. Maelezo yako yanatoa hukumu ya moja kwa moja kwa wazazi wa mtoto kumbe pengine haikuwa hivyo. Halafu mawazo yako kuhusu elimu yako primitive sana sana. Nadhani uwezo wako wa kusomesha watoto ni mdogo ndiyo maana unakuwa na inferiority complex kwa wenye uwezo wa kusomesha watoto wao vizuri au hukubahatika kupata elimu nzuri na umekulia kwenye familia chovu.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Hili nimeshuhudia mzazi ana dekeza litoto mwisho wa siku linakua LIABILITY na mifano ya wazi ipo mingi Sanaa.

Yaan mzee analea mtoto wake wa kiume 30's ana mke na watoto wawili wote wanalelewa nyumbani mtoto hajishuhurishi kwa chochote zaidi ulevi wa bangi na pombe.

Mzee alikua na position nzurii ya kazi permanent & pensionable
Dogo akiomba pesa kwa mzee wake akanyimwa anamletea fujo mzee na mzee anampenda mtoto wake anaweza kopa hata ili ampe mtoto..

Wazazi tulee vijana wetu vyema kwenye maadili mema.
100% Fact.
 
Hii ni kweli kabisa, ninacho pinga mimi ni ilo suala la kusema mtoto kusoma EMs anaharibikiwa.​
Sio kweli, na mimi naona jamaa hapendi tu shule hizo au ana lake tu
Kusomesha watoto mimi niwasomesha mpaka nje ya nchi na ni kawaida
Watoto wana maadili mazuri kwa kuwafundisha mema kila wakati
Wengi wa wazazi wanaongea na watoto kama watoto ila wengine tunaongea nao kama wakubwa na kuwagundisha kila kitu wangali wadogo
Jaza ubongo wao kwa mema wakiwa wadogo ili wasipate kushawishika na mabaya
 
Mbona wewe kuna uzi niliona umeandika wanao wanasoma Olimpio

kwani sio English Medium hiyo...?
Hawasomi Olympio wanangu. Walikuwa English Medium ya Private nikawatoa nimewaleta Kayumba. Mmoja ndio nilipoteza hela alisoma is kwanza hadi saba ENGLISH MEDIUM na sasa hivi yupo form four.
 
Uko shallow sana

Watoto wangapi wa st Kayumba wameua wazazi au Walezi wao? Watoto wangapi wa EM hawana shida hizi?

It’s a mental health situation, abuse or even mob psychology

You can’t judge just like that

Anyways …. It seems like una chuki nyingi kidogo
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Kwamba kumsomesha mtoto EMs kunasababisha awe na maadili yasiyofaa ikiwemo kutaka kuua??🤔🤔

Mimi siamini kabisa katika hilo, angalia tu ata kikawaida ni wanafunzi gani wanaongoza kwa tabia za HOVYO hata mitaani kati ya wanaosoma EMs na wanaosoma Kayumba.

Utagundua panya road wengi na wavuta bangi wanatokea kayumba zaidi kuliko EMs. Mimi nadhani TATIZO ni kumpa mtoto kila kitu (especially akiwa bado mdogo) kwamaana akivikosa (hata ukubwani) ataona kama mzazi hampendi n.k na kisha kutengeneza chuki kwa mzazi.

NB: haya ni maoni yangu binafsi tu📌​
sasa sample yako kati ya EMs na kayumba wapi kuna kundi kubwa la watu???
na hata hivyo tukizoa sample sawa kila pande bado utakuta EMs ni viazi zaidi.ndio vishoga vingi vinatoka huko,vinasagana sana,akili dhaifu zisizo na kasi a kutosha kupambana na changamoto,hata mapenzi tu mtu anachukua maamuzi magumu.

yote kwa yote sio sifa kusomesha mtoto shule duni,mengine ni matokeo tu.
 
sasa sample yako kati ya EMs na kayumba wapi kuna kundi kubwa la watu???
na hata hivyo tukizoa sample sawa kila pande bado utakuta EMs ni viazi zaidi.ndio vishoga vingi vinatoka huko,vinasagana sana,akili dhaifu zisizo na kasi a kutosha kupambana na changamoto,hata mapenzi tu mtu anachukua maamuzi magumu.

yote kwa yote sio sifa kusomesha mtoto shule duni,mengine ni matokeo tu.
Sawa, ni kweli usemayo but hayabadilishi fact kwamba watoto wengi wenye tabia za hovyo hutokea kayumba.

Labda kama haujawahi kusoma kayumba, mimi nimesoma EMs nursery (St. Home Nursery & Primary School) kayumba primary (Shule ya msingi Nkuhungu) , then EMs O level (DCT Mvumi), Advnc nikasoma kayumba (Shule ya sendondari ya Wavulana Tandahimba) na chuo nikamaliza cha private (Tumaini Makumira). Kwahiyo naweza sema nina Experiance kidogoo na mazingira haya yote (Ya kayumba na EMs). Kiukweli watu wa kayumba wamevurugwa mkuu kuliko wa EMs.​
 
Back
Top Bottom