macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Sidhani kama uko sahihi. Kna watoto wengi sana wanakuzwa kwenye mazingira kama haya na wanaishi vizuri na kuheshimu wazazi tu. Kumnyima mtoto wako matunzo mazuri kama una uwezo siyo sababu ya kumfanya awe mtii.Mtt akiwa mdg una mnunulia gari za watt
Akikua sec una mpa lako anaenda nalo shule
Anamaliza chuo anataka lake sasa harrier tako la nyani alafu dingilai pesa huna