Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Baba kichwa,toto ovyo kabisa!alikua mwalimu Kibaha secondary,advanced mathematics,BAM-----alikua referee,leo ndio nimejua kua kumbe alikua wakili pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba kichwa,toto ovyo kabisa!alikua mwalimu Kibaha secondary,advanced mathematics,BAM-----alikua referee,leo ndio nimejua kua kumbe alikua wakili pia
Duh aiseee huyu alikuwa wa kupeleka remand homeKuna mahali nimesoma huyo kijana alitaka hata kumbaka mama yake wa kufikia ikabidi mama akimbie nyumbani.
Inaonekana alishachanganyikiwa kitambo.
LORD DENNING alikuwa Mathematician piaAisee mwalimu wa Mathe na BAM😳, inawezekana akawa ni moja ya mawakili wachache sanaa wanaojua Hisabati aisee😂😂
Safi sanaNi mambo TU ya kuigana,maraisi wetu wote Hawakusoma hizo English medium,kuna rafiki yangu mmoja kiatu alivaa kuingia form one!,Hata kwenda shule ilipo alikuwa hajawifika,Hivi Sasa ni bonge la boss kwenye taasisi nyeti!Hajajisahu ! Watoto wake pia wamesoma kayumba na ni vichwa hasa,mmoja ni injinia makini sana.
Sure but ndo wachache wenyeweLORD DENNING alikuwa Mathematician pia
Tatizo la akili, sio bure RIP wakili.Kizazi hiki kimekengeuka kabisa
Kumsomesha mtoto shule nzuri haihusiani na kuwadekeza. Kuna matajiri wanawasomesha watoto shule nzuri ila ikifika likizo ni kazikazi.Poleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Poleni sana mawakili na wanasheria.
Anyways wazazi msisahau kuna tofauti kubwa sana kati ya kulea mtoto na kumtunza mtoto.
Hakuna kitu kibaya kama kumlea mtoto kwa kumdekeza kwa kumpa kila kitu.
Wafundisheni watoto wenu kuhusu maadili mema na namna ya kuishi.
Ndio maana kila siku nawaambia wazazi mnao somesha. Hakuna haja ya kujistress kulipa mamilioni kusomesha watoto shule za English Mediums.
Somesheni watoto wenu Kayumba inatosha. Pesa mnayopoteza huko EMs and Private Schools itumike kwenye mambo mengine.
Kwa issue ya Kifo cha wakili huyu on the prima facie inaonekana kabisa kijana alidekezwa tangu akiwa mtoto.
HAYA sasa twende kazi. Kimbia haraka sana toa watoto wako EMS warejeshe Kayumba haraka sana.
Utakuja kunishukuru.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Bangi tuMtoto wake ana shida kubwa afya akili.....tuiombee familia kipindi kigunu sana......RiP Riziki Majala
Katika tukio la kusikitisha lililotokea tarehe 18 Oktoba 2024, Juma Majalla, mtoto wa kwanza wa Wakili Riziki Majalla, amekamatwa na polisi wa Mkoa wa Pwani kwa tuhuma za kumuua baba yake baada ya mzozo wa kifedha. Inasemekana kuwa Juma alimua baba yake kwa makusudi baada ya baba yake huyo kumkatalia kumpa pesa alizokuwa akizihitaji.
View: https://youtu.be/B0CjY6jWcaU?si=kWNdHGBRQGNi_e3p
Taarifa zinaonyesha kuwa huu haukuwa mzozo wa kwanza kati ya Juma na marehemu baba yake, kwani Juma alishawahi kumtishia baba yake mara kadhaa, akisema siku moja atakuja kumuua. Hili sasa limekuwa kweli, kwani Juma ametekeleza kitendo hicho kibaya dhidi ya mzazi wake.
Wakili Riziki Majalla, aliyekuwa na namba ya usajili 8659 katika Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), alikuwa na watoto watatu, ambapo Juma ni wa kwanza. Tukio hili limewashtua wengi, kutokana na mazingira ya kutisha yaliyosababisha kifo cha Wakili Majallah.
Kwa sasa, Juma Majalla anashikiliwa na polisi huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kubaini undani wa tukio hili la kikatili. Heshima za mwisho kwa marehemu Wakili Riziki Majalla zinaendelea nyumbani kwake Kibaha kwa Mathias, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Nzega kwa ajili ya mazishi.
View: https://youtu.be/bLuML81SlFs?si=Zso_f6NPo-N1dRZW
Leading cause ya psychosis ni Bangi=MarijuanaMara nyingi watumiaji madawa ya kulevya, hasa cocaine na heroine, huwa hawako sawa kiakili