Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Mie si mhehe ila nimeishi uheheni nakijuaWahehe acheni kuharibu Uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie si mhehe ila nimeishi uheheni nakijuaWahehe acheni kuharibu Uzi
Hizo naona ni hadithi tu,mbona sijaona au kusikia kwenye vyombo vya habari Sheria hiyo inatekelezwa na nchi yoyote.Kama zingetumika sheria za uarabuni kosa moja la wizi linaenda na kidole, la pili kiganja.......n.k
Jeshi letu la Polisi linapaswa kuteketeza Vijiwe vyote vya Uvutaji na uuzaji wa Bangi ambavyo kimsingi mdio mazalia ya uhalifu wa kila aina.
kufanyike msako maalum seriously tutateketeza kabisa uhalifu mitaani.
Mamlaka zinazo toa mapendekezo ya Misamaha kwa wafungwa iwe makini sana ktk kupendekeza majina ya wanao paswa kupewa msamaha wa Rais. uadilifu na umakini ni muhimu sana wakati wa zoezi.
Hapo si ajabu wote wezi tu hao...Mmojawapo wa waliouliwa View attachment 1780051
Unauliza shanga kiuno cha demu wa kizaramoHapo si ajabu wote wezi tu hao...
Waliwasamehe mapema mno hawa si walifungwa 2020. Nadhani pia serikali irudi iangalie kama hawa walikidhi vigezo vya msamaha au kuna mtu alinufaika na kupendekeza haya majina.by the way bora wangekosa huo msamaha wangeendelea kuwa hai.Watu wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko kwa Mathiasi mjini, Kibaha mkoani Pwani.
Watu hao walifungwa kwa makosa ya wizi katika kesi ya jinai namba 273/2020 na 260/2020 na walipata msamaha wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 12 mwaka huu kutoka katika gereza la Mkuza mjini Kibaha.
Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani Wankyo Nyigesa amesema leo Mei 10, 2021 kuwa watu hao wameuawa Mei 8 alfajiri kwa kupigwa na mawe, mapanga na fimbo na wananchi wenye hasira waliowatuhumu kuhusika kwenye tukio la wizi.
"Hawa watu wametambuliwa ni Ramadhani Mohamed maarufu kwa jina la Seven au Ali (28) mkazi wa kwa Mathiasi na Idd Hamisi maarufu Chuga (30) mkazi wa mtaa Jamaika, wote walikuwa wamerudi uraiani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais," amesema Nyigesa.
Hata hivyo, Kamanda Nyigesa ameshauri wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwa kisingizio cha hasira na badala yake watoe taarifa polisi inapotokea tukio la wizi kwenye maeneo yao, ili watuhumiwa wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
Chanzo: Mwananchi
Sema LULIMUDANDA sio LULUMUDANDA.nafahamu kihehe kidogo wahehe husema LULUMUDANDA ,bila kifo/kuuawa hawaachagi ikishakua lulumudanda
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
... According to the National Institute of Justice (Marekani), almost 44 percent of the recently released return before the end of their first year out. About 68 percent of 405,000 prisoners released in 30 states in 2005 were arrested for a new crime within three years of their release from prison, and 77 percent were arrested within five years, and by year nine that number reaches 83 percent.Recidivism - the tendency of a convicted criminal to reoffend.
Ajakosea mbona. Anachofanya ni kupunguza wafungwa magerezan kwa kuwabadirishia adhabu( toka gerezan kwenda kaburini)Wanasema Samia kafanya kazi NGO za nje, ana exposure ya kutosha. Juzi pia kawakoga wazee wa D'Salaam kwamba kasoma nje, na kapanda sana mabasi na wazungu.
Ni wapi huko aliona wanatoa msamaha jumla jumla jela nzima unaachia ma armed robbers, serial killers and child rapists??
Tatizo tunaenda nje hatuigi mambo ya kuendesha nchi, tunaiga jinsi ya kufunga ribbons za zawadi ya benzi!
Tatizo wakitoka kule wao wanaona kama wamefuzu diploma ya wizi badala ya kujirekebisha.Kuna jamaa alikaa jela miaka mitano kwa kesi ya wizi wa kutumia bunduki. Baada ya hio miaka alitoka lakini kesi ikawa haijaisha, ikabaki ile ya bunduki.
Basi jamaa akawa anaenda kusikiliza kesi yake kule mahakama ya mwanzo Ilemela na mimi nikawa namuona pale (nilikuwa sitaki hata mazoea nae).
Jamaa msala wa kwanza ulikuwa umeisha kiaina maana hakuna aliekuwa anafuatilia, msala wa pili ikawa bunduki, nao ulikuwa unaelekea kuisha.
Cha ajabu huyu mwamba alirudi tena mzigoni, akaanza tena kuiba!
Wana nzengo walimkamata mchana kweupe wakapiga sana, alipoulizwa ni wa wapi akasema Igoma (alikamatiwa kisesa), hapo wakaona wampe nafasi awajulishe nduguze kwamba anakufa!
Na ikawa hivyo walimuua mchana kweupe.
Nadhan hawa vijana wanaotoka jela wanapaswa kuwekwa special quarantine kwa ajili ya life skills mpya na kuwekwa sawa kisaikolojia.
Matukio ya kutoka jela na kuuwawa yamekuwa mengi mno.
Unamkaribisha. Akilala usiku unamfungia kwa nje.Pede uyoo si munu ndaa!! na pewikalibisaa mkaye siwivasaa, ugona miho!!
Aliyeachia child rapists ni Samia?Wanasema Samia kafanya kazi NGO za nje, ana exposure ya kutosha. Juzi pia kawakoga wazee wa D'Salaam kwamba kasoma nje, na kapanda sana mabasi na wazungu.
Ni wapi huko aliona wanatoa msamaha jumla jumla jela nzima unaachia ma armed robbers, serial killers and child rapists??
Tatizo tunaenda nje hatuigi mambo ya kuendesha nchi, tunaiga jinsi ya kufunga ribbons za zawadi ya benzi kwa Rais mwenye magari mia moja.
igoma wanaishi watu wengi hatarishi sijui kwa sababu kunakaliwa sana na wakuryaKuna jamaa alikaa jela miaka mitano kwa kesi ya wizi wa kutumia bunduki. Baada ya hio miaka alitoka lakini kesi ikawa haijaisha, ikabaki ile ya bunduki.
Basi jamaa akawa anaenda kusikiliza kesi yake kule mahakama ya mwanzo Ilemela na mimi nikawa namuona pale (nilikuwa sitaki hata mazoea nae).
Jamaa msala wa kwanza ulikuwa umeisha kiaina maana hakuna aliekuwa anafuatilia, msala wa pili ikawa bunduki, nao ulikuwa unaelekea kuisha.
Cha ajabu huyu mwamba alirudi tena mzigoni, akaanza tena kuiba!
Wana nzengo walimkamata mchana kweupe wakapiga sana, alipoulizwa ni wa wapi akasema Igoma (alikamatiwa kisesa), hapo wakaona wampe nafasi awajulishe nduguze kwamba anakufa!
Na ikawa hivyo walimuua mchana kweupe.
Nadhan hawa vijana wanaotoka jela wanapaswa kuwekwa special quarantine kwa ajili ya life skills mpya na kuwekwa sawa kisaikolojia.
Matukio ya kutoka jela na kuuwawa yamekuwa mengi mno.
Watu wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko kwa Mathiasi mjini, Kibaha mkoani Pwani.
Watu hao walifungwa kwa makosa ya wizi katika kesi ya jinai namba 273/2020 na 260/2020 na walipata msamaha wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 12 mwaka huu kutoka katika gereza la Mkuza mjini Kibaha.
Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani Wankyo Nyigesa amesema leo Mei 10, 2021 kuwa watu hao wameuawa Mei 8 alfajiri kwa kupigwa na mawe, mapanga na fimbo na wananchi wenye hasira waliowatuhumu kuhusika kwenye tukio la wizi.
"Hawa watu wametambuliwa ni Ramadhani Mohamed maarufu kwa jina la Seven au Ali (28) mkazi wa kwa Mathiasi na Idd Hamisi maarufu Chuga (30) mkazi wa mtaa Jamaika, wote walikuwa wamerudi uraiani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais," amesema Nyigesa.
Hata hivyo, Kamanda Nyigesa ameshauri wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwa kisingizio cha hasira na badala yake watoe taarifa polisi inapotokea tukio la wizi kwenye maeneo yao, ili watuhumiwa wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
Chanzo: Mwananchi
Si wote aliowasamehe wamekamatwa tena waliporudia kosa. Kuna wengine watatoka death row wataenda wataua tena na hawatakamatwa. Haya yanatokea nje ya nchi, hapa ni kwa vile press yetu na record keeping institutions ni mbovu, hakuna anaefuatilia vitu kama hivi.Ajakosea mbona. Anachofanya ni kupunguza wafungwa magerezan kwa kuwabadirishia adhabu( toka gerezan kwenda kaburini)
Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewaSi wote aliowasamehe wamekamatwa tena waliporudia kosa. Kuna wengine watatoka death row wataenda wataua tena na hawatakamatwa. Haya yanatokea nje ya nchi, hapa ni kwa vile press yetu na record keeping institutions ni mbovu, hakuna anaefuatilia vitu kama hivi.
Kwa wenzetu huwezi kufungulia jela nzima eti msamaha wa Rais. The Magufulis and the Samia Suluhus of the third world hawana exposure masikini ya Mungu, ya jinsi ya ku run a rule-based society.
Kabisa...hawa watu wawili ni wa kufutika humu duniani maana mmh[emoji848]Hahahah nawe umeunga mkono juhudi za wananchi wenye hasira kali