Kibaha: Watu wawili waliotoka jela kwa msamaha wauawa

Kibaha: Watu wawili waliotoka jela kwa msamaha wauawa

Si wote aliowasamehe wamekamatwa tena waliporudia kosa. Kuna wengine watatoka death row wataenda wataua tena na hawatakamatwa. Haya yanatokea nje ya nchi, hapa ni kwa vile press yetu na record keeping institutions ni mbovu, hakuna anaefuatilia vitu kama hivi.

Kwa wenzetu huwezi kufungulia jela nzima eti msamaha wa Rais. The Magufulis and the Samia Suluhus of the third world hawana exposure masikini ya Mungu, ya jinsi ya ku run a rule-based society.

Mama Samia atalaumiwa bure kwani yeye alichokifanya ni "Copy & paste"
 
Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewa
Naona yeye hakufuata vigezo ,zaidi ni kupunguza mrundikano magerezani. Kwenye hotuba alishasema wataangalia namna ya kubadili adhabu ili wafungwa watumikie vifungo vyao wakiwa nje.Ndio maana katumia nafasi hiyo lengo lake kupunguza mrundikano tu.
 
Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewa
YEYOTE anaweza kutolewa!

Wanatoka serial killers... wazee waliotolewa na Magufuli.

Wanatoka ma child sodomizers.... Babu Sea na Papii Kocha... na hao ni wachache tu tunaowajua...

Kama unamtoa serial killer nani sasa hatoki, genocide mastermind and war criminal ???

Ukishamsamehe armed robber and child rapist and serial killer maana yake HAKUNA VIGEZO!
 
Hahahaha mkuu ilikukuta au ulishuhudia?😂
Alisikika babu akimwambia konda wa daladala aliyetoa kichwa nje kupitia dirishani huku makalio yakiwa ndani, nahisi babu alisikia harufu akiwa ameketi kiti cha mlangoni
 
Kuna jamaa alikaa jela miaka mitano kwa kesi ya wizi wa kutumia bunduki. Baada ya hio miaka alitoka lakini kesi ikawa haijaisha, ikabaki ile ya bunduki.

Basi jamaa akawa anaenda kusikiliza kesi yake kule mahakama ya mwanzo Ilemela na mimi nikawa namuona pale (nilikuwa sitaki hata mazoea nae).

Jamaa msala wa kwanza ulikuwa umeisha kiaina maana hakuna aliekuwa anafuatilia, msala wa pili ikawa bunduki, nao ulikuwa unaelekea kuisha.

Cha ajabu huyu mwamba alirudi tena mzigoni, akaanza tena kuiba!

Wana nzengo walimkamata mchana kweupe wakapiga sana, alipoulizwa ni wa wapi akasema Igoma (alikamatiwa kisesa), hapo wakaona wampe nafasi awajulishe nduguze kwamba anakufa!

Na ikawa hivyo walimuua mchana kweupe.

Nadhan hawa vijana wanaotoka jela wanapaswa kuwekwa special quarantine kwa ajili ya life skills mpya na kuwekwa sawa kisaikolojia.

Matukio ya kutoka jela na kuuwawa yamekuwa mengi mno.
Hii ni kazi ya parole officer, tumuulize Lyatonga anatekelezaje majukumu yake.
 
Kuna dogo aliletwa mule mahabusu kapigwa mapanga.wenzio Wana mwambia hapo UMEPANDA VYEO.
alafu hakuna mwizi bonge wote wembamba.
Wakifungua turbo wakikata kona hauwaoni.
Aiseee kumbe ndio wanajisifu hivyo ngoja na sisi raia tukaze kamba tukikamata mwizi atumpigi wala nini tunamvisha tairi zima zima afurahie show
 
Ujambazi, wizi haulipi.

wahalifu ambao hawapaswi kabisa kuingizwa kwenye msamaha wa Rais ni:

Majambazi wazoefu, wezi wazoefu, wabakaji, wauza madawa ya kulevya,

ukiona wananchi wanachukua sheria mikononi ujue wamechoshwa!!
 
Watu wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko kwa Mathiasi mjini, Kibaha mkoani Pwani.

Watu hao walifungwa kwa makosa ya wizi katika kesi ya jinai namba 273/2020 na 260/2020 na walipata msamaha wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 12 mwaka huu kutoka katika gereza la Mkuza mjini Kibaha.

Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani Wankyo Nyigesa amesema leo Mei 10, 2021 kuwa watu hao wameuawa Mei 8 alfajiri kwa kupigwa na mawe, mapanga na fimbo na wananchi wenye hasira waliowatuhumu kuhusika kwenye tukio la wizi.

"Hawa watu wametambuliwa ni Ramadhani Mohamed maarufu kwa jina la Seven au Ali (28) mkazi wa kwa Mathiasi na Idd Hamisi maarufu Chuga (30) mkazi wa mtaa Jamaika, wote walikuwa wamerudi uraiani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais," amesema Nyigesa.

Hata hivyo, Kamanda Nyigesa ameshauri wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwa kisingizio cha hasira na badala yake watoe taarifa polisi inapotokea tukio la wizi kwenye maeneo yao, ili watuhumiwa wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.

Chanzo: Mwananchi
Sikio la kufa haliskii dawa.
 
Wewe kubwa jinga...
Raisi ana power ya kumtoa mfungwa yeyote aliyefungwa kwa kosa lolote.
We jinga kwel kwan tumezungumzia kutoa ama tunazungumzia msamahaa alioutoa juzi?
 
Pongezi ziwaendelee wananchi wenye hasira Kali.

Wezi wanarudisha sana nyuma maendeleo
Yaaqniimpwaaasioohawa

Wametokaa kumfanyaaambaya jirani Yangu nakaduka kakee ka mkopoojamani sioo watuu kabisa yaan msijalala kabisa nikisikia hata panya nawasha na kuzima taa wajue nikopoa dah
 
Back
Top Bottom