Si wote aliowasamehe wamekamatwa tena waliporudia kosa. Kuna wengine watatoka death row wataenda wataua tena na hawatakamatwa. Haya yanatokea nje ya nchi, hapa ni kwa vile press yetu na record keeping institutions ni mbovu, hakuna anaefuatilia vitu kama hivi.
Kwa wenzetu huwezi kufungulia jela nzima eti msamaha wa Rais. The Magufulis and the Samia Suluhus of the third world hawana exposure masikini ya Mungu, ya jinsi ya ku run a rule-based society.
Halafu wote ni waislam na mwezi mtukufu huu[emoji848]Mmojawapo wa waliouliwa View attachment 1780051
Tabia haiwez jificha kwa kigezo cha imanHalafu wote ni waislam na mwezi mtukufu huu[emoji848]
Wewe kubwa jinga...Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewa
Mavazi sio dini.Halafu wote ni waislam na mwezi mtukufu huu[emoji848]
Naona yeye hakufuata vigezo ,zaidi ni kupunguza mrundikano magerezani. Kwenye hotuba alishasema wataangalia namna ya kubadili adhabu ili wafungwa watumikie vifungo vyao wakiwa nje.Ndio maana katumia nafasi hiyo lengo lake kupunguza mrundikano tu.Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewa
YEYOTE anaweza kutolewa!Kwan si kuna vigezo vya msamaha kwa wafungwa? Sio kuwa yeyote tu anaweza tolewa
Fikwamisi sifiikanza na kabudula kamugati ndaaUnamkaribisha. Akilala usiku unamfungia kwa nje.
Hahahaha mkuu ilikukuta au ulishuhudia?😂Fikwamisi sifiikanza na kabudula kamugati ndaa
Alisikika babu akimwambia konda wa daladala aliyetoa kichwa nje kupitia dirishani huku makalio yakiwa ndani, nahisi babu alisikia harufu akiwa ameketi kiti cha mlangoniHahahaha mkuu ilikukuta au ulishuhudia?😂
Hadi leo sijawahi kuona polisi imewakamata 'wananchi wenye hasira kali'...
Hii ni kazi ya parole officer, tumuulize Lyatonga anatekelezaje majukumu yake.Kuna jamaa alikaa jela miaka mitano kwa kesi ya wizi wa kutumia bunduki. Baada ya hio miaka alitoka lakini kesi ikawa haijaisha, ikabaki ile ya bunduki.
Basi jamaa akawa anaenda kusikiliza kesi yake kule mahakama ya mwanzo Ilemela na mimi nikawa namuona pale (nilikuwa sitaki hata mazoea nae).
Jamaa msala wa kwanza ulikuwa umeisha kiaina maana hakuna aliekuwa anafuatilia, msala wa pili ikawa bunduki, nao ulikuwa unaelekea kuisha.
Cha ajabu huyu mwamba alirudi tena mzigoni, akaanza tena kuiba!
Wana nzengo walimkamata mchana kweupe wakapiga sana, alipoulizwa ni wa wapi akasema Igoma (alikamatiwa kisesa), hapo wakaona wampe nafasi awajulishe nduguze kwamba anakufa!
Na ikawa hivyo walimuua mchana kweupe.
Nadhan hawa vijana wanaotoka jela wanapaswa kuwekwa special quarantine kwa ajili ya life skills mpya na kuwekwa sawa kisaikolojia.
Matukio ya kutoka jela na kuuwawa yamekuwa mengi mno.
Aiseee kumbe ndio wanajisifu hivyo ngoja na sisi raia tukaze kamba tukikamata mwizi atumpigi wala nini tunamvisha tairi zima zima afurahie show
Hata majina yaoMavazi sio dini.
Mtu akiwa kavaa kanzu utasema ni Kardinali au Sheikh?
Sikio la kufa haliskii dawa.Watu wawili waliotoka gerezani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais wameuawa baada ya kukamatwa wakidaiwa kuiba vitu mbalimbali huko kwa Mathiasi mjini, Kibaha mkoani Pwani.
Watu hao walifungwa kwa makosa ya wizi katika kesi ya jinai namba 273/2020 na 260/2020 na walipata msamaha wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aprili 12 mwaka huu kutoka katika gereza la Mkuza mjini Kibaha.
Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani Wankyo Nyigesa amesema leo Mei 10, 2021 kuwa watu hao wameuawa Mei 8 alfajiri kwa kupigwa na mawe, mapanga na fimbo na wananchi wenye hasira waliowatuhumu kuhusika kwenye tukio la wizi.
"Hawa watu wametambuliwa ni Ramadhani Mohamed maarufu kwa jina la Seven au Ali (28) mkazi wa kwa Mathiasi na Idd Hamisi maarufu Chuga (30) mkazi wa mtaa Jamaika, wote walikuwa wamerudi uraiani hivi karibuni kwa msamaha wa Rais," amesema Nyigesa.
Hata hivyo, Kamanda Nyigesa ameshauri wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwa kisingizio cha hasira na badala yake watoe taarifa polisi inapotokea tukio la wizi kwenye maeneo yao, ili watuhumiwa wakamatwe na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
Chanzo: Mwananchi
Kumbe mwendazake limetoka kenya!!!!Kapewa jina la mwendazake na wakenya
We jinga kwel kwan tumezungumzia kutoa ama tunazungumzia msamahaa alioutoa juzi?Wewe kubwa jinga...
Raisi ana power ya kumtoa mfungwa yeyote aliyefungwa kwa kosa lolote.
YaaqniimpwaaasioohawaPongezi ziwaendelee wananchi wenye hasira Kali.
Wezi wanarudisha sana nyuma maendeleo
SureOld habits die hard.