Pre GE2025 Kibaigwa: Wananchi Wazuia Msafara wa Tundu Lissu, walazimisha awahutubie

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lkn tusitumie mihemuko ya vyama vyetu,tukubaliane kama nchi.
Ccm ndio wanalazimisha kuweka maslahi yao mbele kwenye katiba bila kujua hiki sio kizazi Cha ccm. Hapo mlimani ndio wamejua kuwa katiba mpya haikwepeki.
 
Popularity rating inaongezeka kwa speed ya supersonic......... Kila kona ya nchi ni maada ni kuhusu uhodari wa TL kuchambua hoja na kuzielezea kwa ufasaha.
 
Ccm ndio wanalazimisha kuweka maslahi yao mbele kwenye katiba bila kujua hiki sio kizazi Cha ccm. Hapo mlimani ndio wamejua kuwa katiba mpya haikwepeki.
Tunapambana kwa hoja na tutawagalagaza
 
Ujumbe makini sana huu unaofaa kuenezwa nchi nzima.
Ni wakati sasa wananchi wakatae ujinga wa kuchezewa kura zao wanapokwenda kuchagua viongozi wao.

Pasitokee mtu yeyote, wala kundi lolote, wawe polisi au UVCCM au hao waliopachikwa kwenye vyeo hivyo aruhusiwe kuchezea kura hizo.

Wakati ni sasa, wananchi wajue njia za kuzuia upumbavu huo.
 
Lucas atasema hawa ni TLO, chadema hapo ni 3 tu
 
Kuna nani tena huko CCM wa "...kupambana kwa hoja..." iwapo 'Master mind' wenu mkuu Kinana hajui aanzie wapi?

Nani mwingine huko CCM mwenye uwezo wa kujenga hoja zinazoweza kueleweka kwa wananchi?
Wassira,Bashiru,Makonda,Kunambi na wengi kibao
 
Haya baada ya kuhutubia wamepata maji!
kumamsenge wewe lissu ndo anakusanya kodi ya hao aliowahutubia? Lissu ndiye ile mijiz inayotajwa na CAG kila mwaka huko ccm? zaid ya miaka 60 ya uhuru ccm mko madarakan mmeshndwa kuwapa maji watz mpaka leo hii mnapga kampen kwa kuwalaghai mtapeleka maji kumamamae wewe na maccm yote.
 
Dalili ya kwanza ya mtu shoga ni matusi!
 
Ndo tuwape nchi nyinyi? Labda mtuue kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…