4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Pole mkuu,Alilenga kunisababishia matatizo hapa jf, na mimi kama unavyofahamu sipendi matatizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole mkuu,Alilenga kunisababishia matatizo hapa jf, na mimi kama unavyofahamu sipendi matatizo
Na huko CCM kwenyewe ndiko hovyo kabisa, imebaki kutapanya tu mali za nchi hii na kuzigawa kama hatuna akili vichwani mwetu!Ndio hawapo sasa,wapo bize kuchangishana pesa za magari
Hali ilikuwa hivi
Endelea kuchanga,utakombolewa na Lissu.Na huko CCM kwenyewe ndiko hovyo kabisa, imebaki kutapanya tu mali za nchi hii na kuzigawa kama hatuna akili vichwani mwetu!
Heri ya kuchangishana kuliko kulihujumu taifa letu kiasi hiki.
Siyo lazima awe Lissu. Lakini kinachojulikana wazi kabisa ni kwamba CCM sasa imefikia ukomo wake. Kuendelea kuwepo madarakani katika hali hii iliyo nayo sasa ni kuliumiza taifa hili.Endelea kuchanga,utakombolewa na Lissu.
Ccm haijafika ukomo, ukitaka kujua,subiri serikali za mitaa utajificha.Siyo lazima awe Lissu. Lakini kinachojulikana wazi kabisa ni kwamba CCM sasa imefikia ukomo wake. Kuendelea kuwepo madarakani katika hali hii iliyo nayo sasa ni kuliumiza taifa hili.
Huko huko CCM kwenyewe kunaweza kuwepo na watu wanaojali taifa hili; kwa hiyo Lissu ni sehemu moja tu ya matumaini yaliyopo.
Wakati wao wanauwana huko sisi tuendelee kutetea TaifaWatu wanataka watu wazuri wa kuwatumikia
CorrectSiyo lazima awe Lissu. Lakini kinachojulikana wazi kabisa ni kwamba CCM sasa imefikia ukomo wake. Kuendelea kuwepo madarakani katika hali hii iliyo nayo sasa ni kuliumiza taifa hili.
Huko huko CCM kwenyewe kunaweza kuwepo na watu wanaojali taifa hili; kwa hiyo Lissu ni sehemu moja tu ya matumaini yaliyopo.
Utachonganisha sana siasa zitakupeleka jehanamu.Kuaga kwa namna hii ni kuzuri sana
Joined 12 May 2024Utachonganisha sana siasa zitakupeleka jehanamu.
Hakuna namnaWakati wao wanauwana huko sisi tuendelee kutetea Taifa