Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Kibajaji amvaa vikali Zitto Kabwe kumsema Magufuli, amuita muoga kwani wakati yupo hakusema?

Kuelewa ni kazi sana
Hajasema anamuogopa kasema anamuheshimu marehemu kwa mujibu wa mafundisho ya dini.
Hamsemi Maalim sio kwamba anamuogopa
Hamsemi mama yake Zitto anamuogopa
Acheni huu upumbavu na kujifanya mnasahau.. Zitto huyuhuyu alitoa machozi wakati chadema wanamsema mama yake na akasema jamani mama yangu kafariki naomba mwacheni apumzike.. Huku anafuta machozi
Wakati huo alikuwa amejitapa kwa kusema CHACHA WANGWE died but I WONT... Akimaanisha Wange aliuawa yeye hawatomuweza ndipo yakazuka maneno kwamba mama yake alikuwaga mchawi sana
Sisi tuna fahamu jinsi yule mama alivokuwa kigagula je tuanze kutaja anaotuhumiwa kuwaloga na kuwaweka misukule? Nao akawaombe radhi nani? Zito ataenda kumuombea radhi mama yake?
Mtu akifa kitabu chake kinafungwa anasubiri hesabu kwa Muumba wake.
Tuache marehemu wapumzike jamani..
We jifariji tuu.magufuli hawezi pumzika ata siku Moja.kwani mama ya zito alikua rais?tumseme wa nini sasa??
 
We jifariji tuu.magufuli hawezi pumzika ata siku Moja.kwani mama ya zito alikua rais?tumseme wa nini sasa??
Kama mama yake alikuwa mchawi na alikuwa anadhuru watu kwa uchawi wake na Zitto kutwa anajisifu kwa uchawi(inawezekana karithishwa) unataka tusimzungumzia huyo Mama yake?

Unataka tuwe na viongozi waliyorithishwa uchawi usiku wanapaa na ungo?
 
Tusifikiri kumsema vibaya Magufuli kutasaidia kitu, hayupo na hawezi kujibu kitu, kama una tatizo naye maliza utakuja kukutana naye kwa Mungu.

Mtu akishatangulia kitabu chake kinafungwa, tunamuachia Mungu kuja kutoa hukumu.
Anasema pharaoh hadi leo sembuse Magufuli, cha msingi tutende yaliomema ili kuepuka kusema hapo mbele tukiwa wafu, kama mnaogopa kusemwa mkiwa wagu tendeni mema kabla ya kufa.
 
Kasoro kwenye utawala wa Samia ziweke ww, yeye kaamua kuweka za Magufuli, ni jambo ka kugawana majukumu tu.
Kweli Bavicha akili kisoda hahahahhah. Hivi kupambana na Hayati nako ni kugawana majukum?Ni wachawi na washirikina ndio huendelea kupambana na wafu.Wanasema ukifa basi kitabu chako kinafungwa, Kuendelea kupambana na Hayati ni upumbavu KIWANGO cha SGR. Na sio zito tu,hata wewe umejipa kibarua cha kupambana na Hayati, kwamba ya utawala huu we hayakuhusu sana.Kila jambo na wakati wake lkn ndugu zetu mnaopambana na Magufuli hii kanuni hamna hahahahhah. Zito,Wewe na genge la aina hiyo hamuoni ttz lolote utawala huu zaidi ya kupambana na Hayati. Kwamba huku kupambana na Hayati ndio kutafuta kura kwa wananchi na kuikosoa CCM na mwisho 2025 kutawaingiza ikulu?Chama cha SIASA na upinzani wowote dira yao ni kushika Dora, Na utaona shughuli zao nyingi huwa zinahakisi kushika Dora. Sasa wewe ndugu ukikesha kumponda Magufuli ndio mtashika Dora?Tukisema hakuna upinzani zaidi ya genge la wahuni tunakosea?
 
"Kibajaji" aka Living stone lusinde hilo jambo alipaswa kulizungumzia kwenye vikao vyao vya chama na sio bungeni labda kama bunge nalo ni kikao cha chama...
Kwani Zito alikua anamponda Magufuli kama Kiongoz wa chama?
 
Anachokifanya Kibajaji ni kujipendekeza kwa mama (Samia), Zitto hakuwa zwazwa hata kipindi cha Magufuli, Zitto kipindi cha Magufuli aliishupalia sana 1.5 T, ambayo kila mmoja alijua kuwa cha kutojulikana imetumika vipi ni Magufuli.

Sasa hapa uoga wa Zitto upo wapi, yeye ndio alikuwa muoga, Kibajaji ndio muoga tangu kipindi kile hadi Sasa na ni mtu wa kujipendekeza, watu wa namna hii ni wabaya sana kwa jamii.
Leo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.

Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.

========

Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.

Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.

Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.

Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.

Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.

Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.

Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.

Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
 
JPM alikuwa rais mkatili sana, unachopanda ndio unavuna. Ila Zitto hakuwa sahihi sana, watanzania tulishajua. Hakuna haja ya kusema
Aliyemweka Mbowe ndani mwaka jana hakua katiri?Aliyemuua Mwangosi hakua katiri?Aliyemwagia tindikari kubenea, mpiga Mwangosi, kibanda nk hakua katiri?Aliyemtoa uspika Ndugai sio roho mbaya na kuogopa kukosolewa?Au we katiri lzm mtu gani nje ya hayo matendo?
 
Aliyemweka Mbowe ndani mwaka jana hakua katiri?Aliyemuua Mwangosi hakua katiri?Aliyemwagia tindikari kubenea, mpiga Mwangosi, kibanda nk hakua katiri?Aliyemtoa uspika Ndugai sio roho mbaya na kuogopa kukosolewa?Au we katiri lzm mtu gani nje ya hayo matendo?
Sasa si ndo umeshawasema tayari?, Tatizo liko wapi? Au unataka wasemwe hao na sio Magufuli?
 
Leo bungeni mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde amemvaa vikali kiongozi mkuu wa ACT, Zitto Kabwe kwa kumsema Hayati Magufuli. Kibajaji amemuita Zitto muoga kupitiliza kwani wakati Magufuli yupo hai hakusema mpaka ameondoka.

Pia Kibajaji amesema wote wanaomsema Magufuli ni wanafki na hata Samia akiondoka nae watamsema vilvile. Amemsifu Nyalandu kwa kusema kwa vitendo hawezi kufanya kazi na Magufuli wakati yupo hai na kuachia nafasi yake ya ubunge.

========

Kibajaji: Nchi yetu imeweka vizuri sana masuala ya utawala bora kisheria lakini kuna baadhi ya vyama kwa mfano pale Zanzibar, ACT tunashirikiana nacho kwenye utawala bora, sisi tuna Rais, tuna Serikali wao wana makamu wa kwanza wa Rais lakini mmesikia kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto anamnanga mheshimiwa Magufuli kana kwamba Zitto hashiriki kwenye Serikali.

Magufuli aheshimiwe, Zitto aelewe kwamba suala la kufiwa ni suala kubwa. Haiwezekani kwenye utawala bora tuache suala la Magufuli kuzungumzwa vibaya na mimi sitaacha.

Leo nnapoongea Waislamu mmefunga, dini inawakataza kuwasema vibaya marehemu, Zitto ni muislamu anajua.

Mheshimiwa Zitto anatutaka tunaompenda mheshimiwa Magufuli tukazikwe nae. Zitto amewahi kufiwa na mama yake, mimi sitaki kufika huko, mama wa Zitto ni mama yangu mimi. Mimi nimewahi kufiwa na baba yangu lakini ACT wamewahi kufika na makamu wa kwanza wa Rais, Zitto anatulazimisha sisi tuanze kumsema vibaya Maalim Seif, hatuwezi.

Inakuwaje watu mnakuwa waoga, viongozi wakiwepo hamsemi wakiondoka ndio mnasema, huu ni uoga uliopitiliza. Mtu mmoja tu alisema kwa vitendo kwamba yeye hawezi kufanya kazi na Magufuli, Nyalandu.

Aliachia ubunge akaondoka lakini watu tuliobaki hapa ni watu wa Magufuli na tumefanya nae kazi na tulikuwa tunamsifu.

Hawa watu ambao sasa wanamsema Magufuli na kumsema Samia na wanafiki wakubwa, Samia akiondoka watamsema vibaya hivyohivyo, ni bora mimi Lusinde ambae niko wazi na siwezi kuacha.

Pia, soma=> Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Baada ya kuvujishwa sehemu ya maongezi ya Bernard Membe na Katibu katika kijiji Rondo kata ya Chiponda katika mkoa wa Lindi akijidai na kumwambia, ‘’tunagonja sijui watatufukuzwa, mbona hawatugusi? Wapendekeze watufukuze waone moto wake’’ na kumaliza maongezi kwa kusema ‘’tuna vita kati ya asilia na wahamiaji na huu ndio mwanzo na ajenda yenyewe’’.

Kwa sasa majibu aliyokuwa anayasubiri yamepatikana baada ya miezi ya miezi saba ambapo CCM imeamua kumfukuza uanachama wa CCM. Aliokuwa anadai ni wahamiaji wameamua kuchukua uanachama wake!

Ikumbukwe kuwa baada ya maongezi ya Membe kusikika, Mbunge wa Mtera (CCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Livingstone Lusinde alijitokeza mbele ya waandishi wa habari na kutoa maoni yake lakini pia aliomba CCM iwaite na kuwahoji wale wote waliosikika kwenye audio na alimaliza kwa kusema anamjua sana Membe na anamuweka kiporo mpaka atakaporudi kutoka China.

Baadaye Membe alijitokeza kupitia mtandao wa twitter na kumjibu Lusinde kwa maneno haya;

Leo hii Kibajaji ataongea nini?
 
Kweli Bavicha akili kisoda hahahahhah. Hivi kupambana na Hayati nako ni kugawana majukum?Ni wachawi na washirikina ndio huendelea kupambana na wafu.Wanasema ukifa basi kitabu chako kinafungwa, Kuendelea kupambana na Hayati ni upumbavu KIWANGO cha SGR. Na sio zito tu,hata wewe umejipa kibarua cha kupambana na Hayati, kwamba ya utawala huu we hayakuhusu sana.Kila jambo na wakati wake lkn ndugu zetu mnaopambana na Magufuli hii kanuni hamna hahahahhah. Zito,Wewe na genge la aina hiyo hamuoni ttz lolote utawala huu zaidi ya kupambana na Hayati. Kwamba huku kupambana na Hayati ndio kutafuta kura kwa wananchi na kuikosoa CCM na mwisho 2025 kutawaingiza ikulu?Chama cha SIASA na upinzani wowote dira yao ni kushika Dora, Na utaona shughuli zao nyingi huwa zinahakisi kushika Dora. Sasa wewe ndugu ukikesha kumponda Magufuli ndio mtashika Dora?Tukisema hakuna upinzani zaidi ya genge la wahuni tunakosea?
Kushika dola tumewaachia nyie wenye backup ya vyombo vya dola. Wakina Kubenea, Mwangosi nk walikutana na matendo ya kinyama na yote yalisemwa hadharani, je watu walikuwa wanathubutu hata kumuombea Lisu hadharani? Sio jukumu letu kuwakosoa viongozi kwa utashi wako, kila mtu anamsema anayetaka na kwa kiwango atakacho. Ukitaka hizo taarifa za kina Mwangosi fungua uzi wa kumsema kiongozi aliyekuwa madarakani, sisi wengine tulimsema Magufuli akiwa hai, na hata sasa huko jehenamu. Kwangu mimi magu alikuwa kiongozi muovu kuliko hao wote, hutaki hiyo ni juu yako fullstop.
 
Kasoro kwenye utawala wa Samia ziweke ww, yeye kaamua kuweka za Magufuli, ni jambo ka kugawana majukumu tu.
Hakujawahi kupatapo kuwa na hayo majukumu sijui wewe umeyatoa dunia gani aina hiyo ya majukumu? Kilichopo hapo ni kuamua nani umkosoe na yupi umfumbie macho kasoro zake usimkosoe si kusema et kugawana majukumu ya kukosoa hakuna kitu kama hicho ni kituko.

Zitto kaamua kufumbia macho kasoro za washirika wake maana wamemzibulia mirija ila anafanya mashambulizi kwa aliyekuwa mziba mirija yake, basi ni hivyo tu kama asingekuwa mshirikina huyu Zitto pengine ningeamini wasemavyo watu kuwa Zitto ni mdini ila Zitto hana hiyo dini kutwa kujisifu ushirikina.
 
Kushika dola tumewaachia nyie wenye backup ya vyombo vya dola. Wakina Kubenea, Mwangosi nk walikutana na matendo ya kinyama na yote yalisemwa hadharani, je watu walikuwa wanathubutu hata kumuombea Lisu hadharani? Sio jukumu letu kuwakosoa viongozi kwa utashi wako, kila mtu anamsema anayetaka na kwa kiwango atakacho. Ukitaka hizo taarifa za kina Mwangosi fungua uzi wa kumsema kiongozi aliyekuwa madarakani, sisi wengine tulimsema Magufuli akiwa hai, na hata sasa huko jehenamu. Kwangu mimi magu alikuwa kiongozi muovu kuliko hao wote, hutaki hiyo ni juu yako fullstop.
Umesema vizuri kwamba ni kwako wewe kama ambavyo leo hii Ulimboka akisema Kikwete ni kiongozi muovu kuliko wote, ni yeye na ana sababu ya kusema hivyo.
 
Aliyemweka Mbowe ndani mwaka jana sio mbambikiaji kesi?Anayejaza waislam huko serikalini now sio mbaguzi?Aliyemtoa Ndugai bungeni kisa kampinga sio roho mbaya?Au we matendo mabaya unayatafsiri vipi?
Hivi upo nchini hapa au tanganyika ambako vyombo vya habari havifiki?
Mpango wa kumweka ndani Mbowe ilianza kabla hata Magufuli hajaanza kuumwa, kina Kingai walithibitisha hilo mahakamani.
Na usiwe mjinga kama Ndigai kuchezea makali wakati mwenye panga yupo.
Halafu Mkristo wako mwenye roho mbaya, mtekaji, mtesaji, mwizi na mbaguzi kikabila na mwenye tabia za kirundi, wewe amekupendelea nini haswa?
 
Aliyemweka Mbowe ndani mwaka jana sio mbambikiaji kesi?Anayejaza waislam huko serikalini now sio mbaguzi?Aliyemtoa Ndugai bungeni kisa kampinga sio roho mbaya?Au we matendo mabaya unayatafsiri vipi?
Mangufai alikuwa hafai. Bora ameenda zake. Mama yupo safi sana hata Mbowe anajua.
 
Kweli Bavicha akili kisoda hahahahhah. Hivi kupambana na Hayati nako ni kugawana majukum?Ni wachawi na washirikina ndio huendelea kupambana na wafu.Wanasema ukifa basi kitabu chako kinafungwa, Kuendelea kupambana na Hayati ni upumbavu KIWANGO cha SGR. Na sio zito tu,hata wewe umejipa kibarua cha kupambana na Hayati, kwamba ya utawala huu we hayakuhusu sana.Kila jambo na wakati wake lkn ndugu zetu mnaopambana na Magufuli hii kanuni hamna hahahahhah. Zito,Wewe na genge la aina hiyo hamuoni ttz lolote utawala huu zaidi ya kupambana na Hayati. Kwamba huku kupambana na Hayati ndio kutafuta kura kwa wananchi na kuikosoa CCM na mwisho 2025 kutawaingiza ikulu?Chama cha SIASA na upinzani wowote dira yao ni kushika Dora, Na utaona shughuli zao nyingi huwa zinahakisi kushika Dora. Sasa wewe ndugu ukikesha kumponda Magufuli ndio mtashika Dora?Tukisema hakuna upinzani zaidi ya genge la wahuni tunakosea?
Hatumuachi, Jiwe alikuwa fala na Ufala wake unaendelea, agongwe na mchwa mpaka aseme poooo. Upuuzi wake aendeze huko aliko aone! Mpuuzi kabisa yule. Hata kwa shetani hakubariki.
 
Hayati aliwanyima watu haki ya kusema kipindi angali hai, wacha asemwe akiwa mfu. Ulikua ukimkosoa lazima ushughulikiwe.

Ukiwanyima watu haki ya kusema ukiwa hai, utasema ukiwa kaburini. Ili uwe binadamu sharti usemwe.

Ni wapumbavu pekee wasiotaka kusemwa.
Wangapi walimkosoa hawakushughulikiwa na mpaka leo wapo wanakosoa. Hivi huon aibu kusemea uongo maiti isiyoweza kujibu
 
Lissu alimsema Magufuli akiwa hai akaishia kupigwa risasi, mbona hakujitokeza kukemea Lisu kushambuliwa kwa kumkosoa Magufuli akiwa hai? Kama hutaki kukosolewa ukiwa madarakani tena ukiwa hai, jiandae kupokea ukweli nje ya madaraka au ukiwa kuzimu.
Alijitokeza. Lusinde aliongea bungeni. Na ni wangapi walimkosoa na bado wako hadi leo. Mnamkuzia mambo marehem
 
Yeye kibajaji kama inamuuma, akazikwe pembeni mwa Jiwe. Kibajaji anatoka kwenye jamii masikini sana ya kigogo, kabila linaloongoza kwa kuomba omba. Badala atetee ndugu zake, yeye kila siku Magufuli. Wafu wakawazike wafu wenzao. Akazikwe nae. Idiot!
 
Zitto ni mpumbavu sana. Kwa hiyo yeye hakumpenda mama yake! Jinga kabisa.
 
Back
Top Bottom