Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #21
Hilo banda limechafua kaburi.na hayo mataji yaliyokauka hapo mbona imekuwa kama kichaka? Sasa hivi mchwa wanafanya yao hapoHivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa