Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Hata ka' ni chuki zenyewe kama ni hizo basi wanaJf tunafeli pakubwa.

Hivi mazishi ya viongozi wa kitaifa Tz baada ya uhuru yameanza kwa Magufuli?

Kwa Nyerere baada ya maziko ilikuwaje, kwa Mkapa baada ya maziko ilikuwaje?

Ninavyofahamu, kutokana na mahitaji ya familia ama wosia, baada ya mazishi hufuatiwa na maandalizi ya ujenzi wa nyumba ya kudumu itakayolihifadhi kaburi ndani.

Kibanda cha bati ni maandalizi ya mwanzo yavujenzi wa nyumba ya kudumu.

Tuache kuanzisha thread kwa ajili ya kudhalilisha viongozi
 
Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Ukiangalia picha jamaa aliyevaa shati nyeupe nyuma ya makamu as Rais Tofali zinaonekana,

Hiyo Inasupport statement yako.
 
Hata ka' ni chuki zenyewe kama ni hizo basi wanaJf tunafeli pakubwa.

Hivi mazishi ya viongozi wa kitaifa Tz baada ya uhuru yameanza kwa Magufuli?

Kwa Nyerere baada ya maziko ilikuwaje, kwa Mkapa baada ya maziko ilikuwaje?

Ninavyofahamu, kutokana na mahitaji ya familia ama wosia, baada ya mazishi hufuatiwa na maandalizi ya ujenzi wa nyumba ya kudumu itakayolihifadhi kaburi ndani.

Kibanda cha bati ni maandalizi ya mwanzo yavujenzi wa nyumba ya kudumu.

Tuache kuanzisha thread kwa ajili ya kudhalilisha viongozi
Sijaona udhalilishaji huu ni uhalisia na picha zimepigwa sasa udhalilishaji uko wapi hapo?
 
Aliyepiga picha hana maadili.
Ndio maana ck ya mazishi hamukuona kitu kilichoendelea.
Si kila kitu chakurusha,Uhuru usio na mipaka.Nenda kwa mkwawa kapige picha bila Jodi then zirushe.
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Si kazikwa na ngozi za wanyama?? Na wanyama walikuwa wanakaa kwenye mabanda ya bati au mabanda gani....???
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Kaburi halieleweki, mashada yamekauka utunzanji hakuna kaburi la aliyekuwa mkuu wa nchi kweli wanaweka tuubao juu hii ni dharau bora lingekuwa wazi tu
 
Hapa unawaambia wanafamilia au Nani? Kama ni wanafamilia ni sawa kwani walipewa pesa za rambirambi na mafao yake hivyo wawajibike! Wengine hawahusiki kwani walishaanua tanga la siku 21 na hawahusiki Tena kwa lolote! Tahadhari, usijekuta unataka Kodi zetu zikahudumie kukarabati mazingira ya kaburi?
Zile tilioni mbili zinafanya Kazi gani
 
Yoote ya duniani hii ni kujilisha upepo laiti kama ungejua kesho yake ni heri umtumikie Mola wako kiburi, utajiri,majivuno yote ni upepo.
 
Back
Top Bottom