Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
mtajuaje kama alienda kuhiji...Makamu wa Raisi kafanya kosa kubwa sana hapo..hakukua na ulazima wakuchua picha hapo!poor decision
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtajuaje kama alienda kuhiji...Makamu wa Raisi kafanya kosa kubwa sana hapo..hakukua na ulazima wakuchua picha hapo!poor decision
Falsafa ya kubana matumizi inaendeleaHii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Wamhamishie ndani ya "Mfugale Tawa" pale airport maana soon patabakia gofu tu pale..Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Ukiangalia picha jamaa aliyevaa shati nyeupe nyuma ya makamu as Rais Tofali zinaonekana,Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Sijaona udhalilishaji huu ni uhalisia na picha zimepigwa sasa udhalilishaji uko wapi hapo?Hata ka' ni chuki zenyewe kama ni hizo basi wanaJf tunafeli pakubwa.
Hivi mazishi ya viongozi wa kitaifa Tz baada ya uhuru yameanza kwa Magufuli?
Kwa Nyerere baada ya maziko ilikuwaje, kwa Mkapa baada ya maziko ilikuwaje?
Ninavyofahamu, kutokana na mahitaji ya familia ama wosia, baada ya mazishi hufuatiwa na maandalizi ya ujenzi wa nyumba ya kudumu itakayolihifadhi kaburi ndani.
Kibanda cha bati ni maandalizi ya mwanzo yavujenzi wa nyumba ya kudumu.
Tuache kuanzisha thread kwa ajili ya kudhalilisha viongozi
Bora wangeliacha wazi too local hawajaona la Ruge mutahabaHii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Si kazikwa na ngozi za wanyama?? Na wanyama walikuwa wanakaa kwenye mabanda ya bati au mabanda gani....???Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Kaburi halieleweki, mashada yamekauka utunzanji hakuna kaburi la aliyekuwa mkuu wa nchi kweli wanaweka tuubao juu hii ni dharau bora lingekuwa wazi tuHii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Kiburi cha uzima kibaya sanaaa,.Maisha haya yani Jamaa kupita kote barabarani na mavifaru na magari yenye minara Leo ndio ameishia hapo??
Hasa kama umeaminishwa na mwanadamu mwenzako kwamba utaishi mileleKiburi cha uzima kibaya sanaaa,.
Ungeanza wewe kunyamaza kwani unalolitetea halina maslahi ya kiuchumi! Na Kama unaumia Sana kawajengee hujazuiliwa!Hujui unaloliwaza nyamaza.
Zile tilioni mbili zinafanya Kazi ganiHapa unawaambia wanafamilia au Nani? Kama ni wanafamilia ni sawa kwani walipewa pesa za rambirambi na mafao yake hivyo wawajibike! Wengine hawahusiki kwani walishaanua tanga la siku 21 na hawahusiki Tena kwa lolote! Tahadhari, usijekuta unataka Kodi zetu zikahudumie kukarabati mazingira ya kaburi?
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Wewe inakuhusu Nini...Janeth na Sundi wanajua kinachoendelea!Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754