Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kwani likiachwa wazi tu kuna shida gani maana naamini hilo kaburi lipo ndani ya fence ikijumuisha makaburi yote ya familia.. Au nasema uongo ndugu zangu..?
 
Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Hahaha mkuu tangia lini ujemzi ukawa kwa nje mabati yakawa ndani?
 
Naomba picha ya Majaliwa na Mpango wapo kwenye kaburi la Nyerere ama Mkapa.
Angalia kaburi la Baba wa taifa
images.jpg

View attachment 1785061
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?

Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.

Wahusika mjitathmini.

View attachment 1784695
View attachment 1784754
Je mmesubiri mpaka VP azuru kaburi hilo ndipo muone na kuchukizwa na mabati hayo? Kisha kwenye "keyboard na pads" mnaonesha kuwa na uchungu kwa mwendazake!
 
Hahaha mkuu tangia lini ujemzi ukawa kwa nje mabati yakawa ndani?
Chief, uyo aliyezikwa hapo alikua ni kiongozi wa nchi.. Ni kawaida kujengewa memorial (jengo/enclosure nje ya kaburi) kama kwa baba wa taifa kule Butiama.
 
Pia tangu lini wakaezeka na juu ili ujenzi uendelee nje?
Aisee nyie watu mnatoa hoja za maana katika style ya kuchekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223]
 
Je mmesubiri mpaka VP azuru kaburi hilo ndipo muone na kuchukizwa na mabati hayo? Kisha kwenye "keyboard na pads" mnaonesha kuwa na uchungu kwa mwendazake!
Swali gani hilo unauliza wewe unadhani kila mtu anakaa chato kwamba anaenda kila siku asubuhi kuangalia kaburi linaendeleaje.
 
Kaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hayo maua yenyewe yamekauka kaburi limekua kama kichaka.
 
Mtu akisha kufa amekufa na marehemu rais alikuwa anajua Hilo,ndoo maana hata mwammposa alipokuwa kwenye mkutano naisi ilikuwa Moshi au Arusha,rais aliamuru asifungwe na aachwe aendee,au yule babu mwnye shule ya bweni na wale watoto,mtu akifa amekufa hakuna kingine tena
Sasa hap MWAMPOSA Ana usika vip ikiwa tunaongelea swal la kujenge kaburi
 
Back
Top Bottom