Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Hata ka ujenzi unaendelea wameshindwa kupiga hata marine bord wakapauwa vizuri kwa unadhifuLabda kuna ujenzi unaendelea kwa nje, mpiga picha alitakiwa kupiga picha kwa nje pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ka ujenzi unaendelea wameshindwa kupiga hata marine bord wakapauwa vizuri kwa unadhifuLabda kuna ujenzi unaendelea kwa nje, mpiga picha alitakiwa kupiga picha kwa nje pia
Hahaha mkuu tangia lini ujemzi ukawa kwa nje mabati yakawa ndani?Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
In the future watabadili ila hata yeye JPM hiko PEPONI hamaindi. Ni mtu simpo.Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
🤣🤣🤣Wewe ulidhani unaendelea ndani ya kaburi?!!
Best commentKaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.
Angalia kaburi la Baba wa taifaNaomba picha ya Majaliwa na Mpango wapo kwenye kaburi la Nyerere ama Mkapa.
Kwa roho yake ilivokua, kaburi linaweza tengeneza expansion joints....hata kama yapo mengi, lake tu likawa hivoKwani likiachwa wazi tu kuna shida gani maana naamini hilo kaburi lipo ndani ya fence ikijumuisha makaburi yote ya familia.. Au nasema uongo ndugu zangu..?
Je mmesubiri mpaka VP azuru kaburi hilo ndipo muone na kuchukizwa na mabati hayo? Kisha kwenye "keyboard na pads" mnaonesha kuwa na uchungu kwa mwendazake!Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali. Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia.
Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Bora angepotelea tu kusiko julikana kama Adolph Hitler! Hii ingewasaidia wafuasi wake kuacha kwenda kumuabudu/kuendelea kumtukuza.
Hahahaaaa hatari sanaKwa roho yake ilivokua, kaburi linaweza tengeza expansion joints....hata kama yapo mengi, lake tu likawa hivo
Chief, uyo aliyezikwa hapo alikua ni kiongozi wa nchi.. Ni kawaida kujengewa memorial (jengo/enclosure nje ya kaburi) kama kwa baba wa taifa kule Butiama.Hahaha mkuu tangia lini ujemzi ukawa kwa nje mabati yakawa ndani?
Pia tangu lini wakaezeka na juu ili ujenzi uendelee nje?Hahaha mkuu tangia lini ujemzi ukawa kwa nje mabati yakawa ndani?
Aisee nyie watu mnatoa hoja za maana katika style ya kuchekesha sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223]Pia tangu lini wakaezeka na juu ili ujenzi uendelee nje?
Swali gani hilo unauliza wewe unadhani kila mtu anakaa chato kwamba anaenda kila siku asubuhi kuangalia kaburi linaendeleaje.Je mmesubiri mpaka VP azuru kaburi hilo ndipo muone na kuchukizwa na mabati hayo? Kisha kwenye "keyboard na pads" mnaonesha kuwa na uchungu kwa mwendazake!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kaburi la familia ya watu inatuhusu nini sisi? Hebu tuwekee makaburi ya ndugu zako kama angalau hata yana fensi ya mabati,?! Achana na mambo yasiyokuhusu.
Kwa hiyo hapo kuna Majaliwa na Mpango hiyo picha uliyonitimia?
Sasa hap MWAMPOSA Ana usika vip ikiwa tunaongelea swal la kujenge kaburiMtu akisha kufa amekufa na marehemu rais alikuwa anajua Hilo,ndoo maana hata mwammposa alipokuwa kwenye mkutano naisi ilikuwa Moshi au Arusha,rais aliamuru asifungwe na aachwe aendee,au yule babu mwnye shule ya bweni na wale watoto,mtu akifa amekufa hakuna kingine tena
Je
Fikiria vema utaelewa maana ya swali langu... (aidha ikiwa tu mtu anashindwa kuzuru kaburi la mpendwa wake ambae anataka aaminishe dunia alikuwa akimpenda sana... je anawezaje kuitetea "legacy" aiimbayo kila uchao?"Swali gani hilo unauliza wewe unadhani kila mtu anakaa chato kwamba anaenda kila siku asubuhi kuangalia kaburi linaendeleaje.