Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

Kibanda cha Bati kwenye kaburi la Hayati Magufuli kinatia aibu

@Alexander The Great unasemaje hapa mkuu[emoji23]
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
This only happen in Afrika,
JPM alikuwa jambazi,muhongo,mkabila,the nature Did us good by getting rid of him.
 
Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Si waweke hema jeupe na red carpet
Banda bati na hilo vumbi kwa Hayati wetu inahusu??

binafsi haijanifurahisha pia
Wahusika wajitathmini
 
Hapa unawaambia wanafamilia au Nani? Kama ni wanafamilia ni sawa kwani walipewa pesa za rambirambi na mafao yake hivyo wawajibike! Wengine hawahusiki kwani walishaanua tanga la siku 21 na hawahusiki Tena kwa lolote! Tahadhari, usijekuta unataka Kodi zetu zikahudumie kukarabati mazingira ya kaburi?
Hujui unaloliwaza nyamaza.
 
Lakini kwa hili siyo sawa kabisa@ yaani watu wa ujenzi aliofanya nao kazi pamoja wameshindwa kumuenzi kiongozi wao hata kupaweka vizuri hapo kunako nyumba ya milele ya mwendazake!!! Ama kweli duniani tunapita.
 
Lakini kwa hili siyo sawa kabisa@ yaani watu wa ujenzi aliofanya nao kazi pamoja wameshindwa kumuenzi kiongozi wao hata kupaweka vizuri hapo kunako nyumba ya milele ya mwendazake!!! Ama kweli duniani tunapita.
Kabisa
 
Back
Top Bottom