Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This only happen in Afrika,Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Si waweke hema jeupe na red carpetKwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Ujenzi wa nini wakati ameshafariki?!Ujenzi unaendelea bwashee!
Hema/turubai haviwezi zuia vitu vizito vikidondokaSi waweke hema jeupe na red carpet
Banda bati na hilo vumbi kwa Hayati wetu inahusu??
binafsi haijanifurahisha pia
Wahusika wajitathmini
Nje ndio ina make sense zaidi, inawezekana inajemgwa enclosure ya memorial ya mzeeUjenzi unatakiwa uendelee ndani ya hizo bati,sio nje!
Hapana kwa kweliHema/turubai haviwezi zuia vitu vizito vikidondoka
Kwenye "haters" weka "Victims"Wangeacha wazi kuna haters wanaweza ingia humo wakakojolea kaburi.
Hujui unaloliwaza nyamaza.Hapa unawaambia wanafamilia au Nani? Kama ni wanafamilia ni sawa kwani walipewa pesa za rambirambi na mafao yake hivyo wawajibike! Wengine hawahusiki kwani walishaanua tanga la siku 21 na hawahusiki Tena kwa lolote! Tahadhari, usijekuta unataka Kodi zetu zikahudumie kukarabati mazingira ya kaburi?
Ahadi yangu ya kunya kwenye kaburi la huyo fisadi na muuaji iko pale pale!
Hii ndiyo hadhi anayostahili. Ni mjinga sana anayeweza kufikiria kulipa hadhi kaburi lake.Hii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
KabisaLakini kwa hili siyo sawa kabisa@ yaani watu wa ujenzi aliofanya nao kazi pamoja wameshindwa kumuenzi kiongozi wao hata kupaweka vizuri hapo kunako nyumba ya milele ya mwendazake!!! Ama kweli duniani tunapita.
Hapana kwakweli hawamtendei Haki. Hao wanafamilia nao wameshindwa kujengea hata kama serikali imewasahau?Hii ndiyo hadhi anayostahili. Ni mjinga sana anayeweza kufikiria kulipa hadhi kaburi lake.
Nisaidie kushangaa aisee.Ama hata paving tu si ingewekwa kabisa.?