Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #21
Hilo banda limechafua kaburi.na hayo mataji yaliyokauka hapo mbona imekuwa kama kichaka? Sasa hivi mchwa wanafanya yao hapoHivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa
Hawawezi. Msije mkaona na "mahekalu" ya Rais wa wanyonge na "aliyechukia" rushwa na ufisadi.Labda kuna ujenzi unaendelea kwa nje, mpiga picha alitakiwa kupiga picha kwa nje pia
Nazungumzia kibanda siyo kaburi bwashee. Mmemtelekeza mzee.hayo mataji yaliyokauka chomeni moto yamekua uchafu kaburi limegeuka kichaka bwashee.Wewe ulidhani unaendelea ndani ya kaburi?!!
Huyo ni mstaafu lazima kaburi lake liheshimiwe.mbona mwalimu Nyerere limejengewa vizuri?Hapa unawaambia wanafamilia au Nani? Kama ni wanafamilia ni sawa kwani walipewa pesa za rambirambi na mafao yake hivyo wawajibike! Wengine hawahusiki kwani walishaanua tanga la siku 21 na hawahusiki Tena kwa lolote! Tahadhari, usijekuta unataka Kodi zetu zikahudumie kukarabati mazingira ya kaburi?
Wanaenda hija 😂😂😂Bora angepotelea tu kusiko julikana kama Adolph Hitler! Hii ingewasaidia wafuasi wake kuacha kwenda kumuabudu/kuendelea kumtukuza.
Achana na mambo yasiyokuhusu kwa afya ya ubongo wako! Unayemwongelea huenda hata hajawahi kukugusa wewe in person except as general public. Mambo ni mengi maishani, Streamline issues at your line then tekeleza kwa gharama zako, achana na tabia ya kuja kutulilia mitandaoni baada ya kufeli huko.[emoji1787][emoji1787] mmemtelekeza mzee. Bora mngeacha aisee
Acha kulia humu tumieni mafao na pesa za rambirambi kujenga! Ila Kodi zetu ni big no!Huyo ni mstaafu lazima kaburi lake liheshimiwe.mbona mwalimu Nyerere limejengewa vizuri?
Ujenzi unatakiwa uendelee ndani ya hizo bati,sio nje!Kwa uelewa wangu wa ujenzi ni kama kuna ujenzi unaendelea kwa nje na hizo bati zimejengewa ili ujenzi usiharibu wala kuchafua kaburi
Fuvu la aliyekuwa laughing Stock labda lije kuibiwa na ili wakalicheke zaidi.Hivi kuna ulazima gani kujengea bati?au bado wanagopa mabeberu wanaweza kuja iba lile fuvu la kichwa
Makamu wa Raisi kafanya kosa kubwa sana hapo..hakukua na ulazima wakuchua picha hapo!poor decisionHii ni aibu kubwa sana kwa serikali .Hivi mmeshindwa kujenga kibanda chenye Hadhi kulizunguka kaburi la Magufuli.?
Kwakweli japo sikufurahishwa na matendo mengi ya Marehemu magufuli lakini kumtendea haya sijafurahia. Wahusika mjitathmini.
View attachment 1784695
View attachment 1784754
Magufuli sio mstaafu!Huyo ni mstaafu lazima kaburi lake liheshimiwe.mbona mwalimu Nyerere limejengewa vizuri?