Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Zanzibar 2020 Kibandamaiti, Zanzibar: Uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif usipime

Shukrani Wazanzibari Wazalendo kwa kuiwakilisha ACT Wazalendo leo Pemba kaeni ready mkao wa kula Juma4 asubuhi Uwanja wa Kibirinzi
1600019559546.png
 
Ni hivi , kama kuna Mwanaccm yeyote anayetegemea Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya sanduku la kura basi ni vema akaendelea na shughuli zingine , kwa hali ilivyo Zanzibar tangu asubuhi ya leo , ambayo ndio siku ya uzinduzi wa kampeni za Maalim Seif wa ACT WAZALENDO hakuna namna yoyote ya Hussein Mwinyi kushinda , Hakuna!

Labda kama atatumia njia alizotumia baba yake ambaye ni Rais mstaafu , ikumbukwe kwamba Mzee Mwinyi aliwahi kuwa Rais wa Zanzibar kwa njia ya kuteuliwa tu kwenye vikao vilivyofanyika Dodoma , hakuwahi kupigiwa kura na Wazanzibar.


Angalia hii hapa ya drone!
IMG-20200912-WA0051.jpg
 
Mlikatazwa kukodi nyinyi au??
Hatuna muda, watu waje kwa hiari sio kwa kulazimishwa wala kuwarubuni na show za wasanii uchwara

Wakitoka hapo hata ukiwauliza sera walizosikia watakwambia tumemwona Hamo
 
Tukiachana na ushabiki uchwara,jamm dr hussen hatoboi kwa wazanzibar,wazanzibar n watu wenye msimamo dr hawamfahamu sijui itakuwa vip
 
WENGI WAO HAPO NI WATANGANYIKA WATALII WA MIKUTANO YA CCM NA WAFANYAKAZI WA SEKTA ZA SERIKALI VIKOSI VYA ULINZI NA WANAFUNZI WA SHULE WANAOLAZIMISHWA SIO WAZANZIBARI WAZALENDO)🙂🙂:
ANGALIA SURA ZAO🙂 UNADHANIA HAWA NI WAZANZIBARI???
1600021307670.png
 
WENGI WAO HAPO NI WATANGANYIKA WATALII WA MIKUTANO YA CCM NA WAFANYAKAZI WA SEKTA ZA SERIKALI VIKOSI VYA ULINZI NA WANAFUNZI WA SHULE WANAOLAZIMISHWA SIO WAZANZIBARI WAZALENDO)🙂🙂:
ANGALIA SURA ZAO🙂 UNADHANIA HAWA NI WAZANZIBARI???
View attachment 1569014
Yani hata ukiangalia nyuso zao wote wanaonekana hawana furaha kabisa ni kama wamelazimishwa tu
 
Kama ambavyo alishinda mwaka 2o15 mchana kweupe, mwaka huu 2020 ni vilevile, USHINDI ACT - WAZALENDO ni LAZIMA...

Tofauti na mwaka 2015 Maalim kutotangazwa na matokeo ya uchaguzi wote kufutwa na kurudiwa , mwaka huu LAZIMA WATANGAZE mshindi halali....!!!
 
Maalim Seif ni kama Raila Odinga ataendelea kuota tu kwanza anahasara nyingi sana .
1.ni mmbaguzi wa kidini
2.Anasheria ambazo hazijengi nchi bali zinabomoa
3.Ni mzee tayari .
4.ukiangalia sera zake zoote niza kuwashawishi waislamu wawabague wakristo kwa kila hali .
Huyu nikama trump akishinda wakristo watakuwa wanapigwa mawe watapigwa marufuku zanzibar na watalazimishwa wavae nguo za kislamuu .
Hii miushungi na midira zao na makanzu .
Nakuwalazimisha wabadili dini.

Eti mtu akiiiba akatwe mkono hiki ndio nini.

Halafu nyie mnaomsifia ni wale watu wanaopenda udini basi .
Bora sio wa huku Bara mtadili na hali zenu ila ataharibu sana zanzibar tu .

Kweli kwangu mimi akapumzike .
Wanamchoraaa tu hapo .
Watu wasiowabaguzi hawatomchagua watampinga bali wapenda ubaguzi wa dini
 
Nitafurahi Tanganyika ikirudi, hawa wazanzibari wameimeza Tanganyika yetu hivi hivi.
 
Back
Top Bottom