Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Nawe ni bomu tu! Unategemea ununuzi wa korosho ujadiliwe bungeni kweli? Iko siku utaomba ugawaji wa mahindi ya msaada kwa walio na njaa yajadiliwe Bungeni.
 
Peleka Ujinga wako huko! Umekaa kiumbea Sana. Nenda kasome ujiridhishe Kama CAG anatumbuliwa Kama vihiyo wenzako huko CCM! Assad is there to stay until 2021! Pasukeni, jichomeni vidole kwenye vinyeo vyenu, Hakuna wa Kumtumbua Assad, so better swallow your bitter pills!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza comrade..!!! Wanajitekenya zen wanacheka wenyewe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Hivi zile ndege zilinunuliwa na rais au serikali?

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
No hicho nilichoandika ndicho kinaenda kutokea, kwa hiyo sidhani kama nitabadilisha. subiri muda siku chache zijazo utashangaa
Ila mkuu ulichokiandika ni kuvuta views tuache na utani.

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Hivi unaota au umeshaamka? Tanzania ya sasa hakuna sheria inayoheshimiwa isipokuwa kauli za kisiasa na ndio zinazofanya kazi.
Kwako wewe mwenye mawazo/ fikra potofu/hasi/chafu ndio maana unakuwa sheikh Yahya ambao kwa wafuata dini ni dhambi sasa na mimi nisingependa kuwa sheik Yahya kusema wewe ni msafi au mchafu na kuacha na utabiri wako.
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Ataondolewa kwa Sheria ipi?
 
CAG angekua anatumbulika angeshakua bench siku nyingi.. Kwa sasa endeleeni kutulia tu dawa ifanye kazi vizuri!

Wanachoweza kufanya kwa sasa ni kumuundia zengwe ili wajustify kuunda tume ya majaji toka nchi za jumuiya ya madola ili kutafuta sababu za kumtoa.. Na hiyo tume labda waweke majaji wao waliowateua majuzi!

Prof Assad chapa Kazi, nasema chapa kaaazi! Wananchi tunaona utendaji wako uliotukuka
 
Umeonyesha ujinga wa hali ya juu sana, hivi unaujua utaratibu na sheria za vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na maandamano? havikufutwa? je ni taratibu na sheria ngapi za nchi ikiwemo katiba ambavyo vinanavunjwa kila siku? you should think before you defile me
Unatumia kinywaji gani cha kienyeji? Chimpumu ,mbege au wanzuki?? Au ndio wale wakimpata mtu wa kuwanunulia basi kinywaji kina badilika kuwa whisky, amarula, savanah etc
Maana naona unatiririka ki local au kilevilevi vile
 
Unatumia kinywaji gani cha kienyeji? Chimpumu ,mbege au wanzuki?? Au ndio wale wakimpata mtu wa kuwanunulia basi kinywaji kina badilika kuwa whisky, amarula, savanah etc

you guy be serious with issues being discussed here, don't try to insult your fellow brothers and sisters here.
 
you guy be serious with issues being discussed here, don't try to insult your fellow brothers and sisters here.
Wewe unataka watu wawe serious wakati wewe mwenyewe haupo serious au factual
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Kilicho kwenye ilani ya ccm tayari kimepitishwa na bunge.
Raisi ccm, spika ccm na ilani ni ya ccm
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Well spoken

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All option are under his table, ukute mpaka anasema hivyo alishajua kitatokea nn, wengine kusema ukweli ni bora zaidi ya hiyo ajira ambayo kwako ndio ndoto ya maisha yako,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humu kuna watu huwa wana tabia ya kuandika jambo fulani bila kuwa na ufahamu nalo. Inashangaza kumsikia au kuona watu wakiandika CAG anaweza kutumbuliwa au mwingine anatamka afukuzwe,,,,,!. Acheni ushabiki huyo magufuri hata ubavu wa kumtumbua huyu jamaa hana maana analindwa na sheria ngojeni astaafu au afariki


Wewe ndio hujielewi kabisa, tangu lini utawala huu umeheshimu katiba na sheria za nchi? ni mara ngapi katiba imevunjwa na sheria kutupiliwa mbali? pesa ya umma inatumika kufanya vitu ambavyo havijajadiliwa na bunge wala kuidhinishwa, acha kujiondoa ufahamu
 
Back
Top Bottom