Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Hiviz ile tirioni 1.5 majibu yenye mashiko yalipatikana?
 
Peleka Ujinga wako huko! Umekaa kiumbea Sana. Nenda kasome ujiridhishe Kama CAG anatumbuliwa Kama vihiyo wenzako huko CCM! Assad is there to stay until 2021! Pasukeni, jichomeni vidole kwenye vinyeo vyenu, Hakuna wa Kumtumbua Assad, so better swallow your bitter pills!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwa watu wasiojali katiba kama Magufuli hilo linawezekana. Mark my words. Kwani kashavunja katiba mara ngapi na hakuna kinachomtokea?
 
Shida so ununuzi wa korosho shida kuidhinisha fedha za kununua koroshl

Sent using Jamii Forums mobile app
Bunge letu linafuata mfumo wa westminister lakini, tofauti na waingereza vikao haviendelei mwaka mzima. Ikitokea dhalula hatuna kikao cha bunge cha dhalula kujadili pesa za korosho na hiyo ni kawaida ya tangu enzi.
 
Rais hana uwezo wa kumtoa CAG madarakani kwa mujibu wa sheria.

Ila kinachoweza kufanyika ni kumlazimisha kupitia mlango wa nyuma ili CAG ajiuzulu mwenyewe au wajifanye wanampa appointment na kumfanya Balozi somewhere ......... then anatumbuliwa kama alivyofanyiwa yule wa Canada!!

Awamu hii anything is possible ...!!
katiba hairuhusu CAG kuhudumu katika nafasi nyingine yeyote baada ya kushika nafasi.
 
Kumtumbua hawawezi ila wanaweza kumbugudhi bugudhi tu mpaka akimbie mwenyewe ila kumtoa kama anavyotoa wengine kila siku hana huo ubavu ila lolote linawezekana vile vile kwenye awamu hii, yetu macho na masikio.
 
wala siyo akiba that's what is going to happen soon, just take heed

Mkuu nakubaliana kabisa na ww. Hilo litatokea lakini hata huyo CAG hataki kufanya kazi anayoshuhudia wizi wa wazi kisha anaambiwa akae kimya. Kuna taasisi nyingi tu zinafanya kwa weledi ambazo anaweza kwenda kufanya kazi.
 
Ni
Proffessor yule haogopi kutenguliwa na kutenguliwa kwake ni kama ameshindwa kufanya kazi yak
Analindwa na sheria rais hawez kumtoa
 
Ni
Proffessor yule haogopi kutenguliwa na kutenguliwa kwake ni kama ameshindwa kufanya kazi yak
Analindwa na sheria rais hawez kumtoa


Tatizo watu hawaheshimu katiba na sheria za nchi
 
Rais hana uwezo wa kumtoa CAG madarakani kwa mujibu wa sheria.

Ila kinachoweza kufanyika ni kumlazimisha kupitia mlango wa nyuma ili CAG ajiuzulu mwenyewe au wajifanye wanampa appointment na kumfanya Balozi somewhere ......... then anatumbuliwa kama alivyofanyiwa yule wa Canada!!

Awamu hii anything is possible ...!!
Kwa.mujibu wa katiba mtu akishateuliwa CAG na kustaafu au kuacha hatastahili kuteuliwa kwenye nafasi yeyote nyingine katika utumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
......
Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Link Ludovick Utoh: Spika Ndugai kumwita CAG Assad ni jambo jipya, halijawai kutokea toka nchi kupata uhuru - JamiiForums


Magufuli ameshasema mara kadha kwamba serikalini kuna mambo ya hovyo hovyo, je ni sawa na kusema kwamba serikali yake ni ya hovyo hovyo?

Waliokurupuka kumrarua CAG wanajishitukia wenyewe tu lakini CAG hakusema "bunge ni dhaifu", alichokisema ni kuwa bunge lina udhaifu, ni sawa na kusema bunge lina kasoro ambayo inabidi irekebishwe.

Je huyu mdau anasema "Magufuli ni dhaifu"? Hapana. Amesema Magufuli ana udhaifu (kasoro) ambayo inampasa airekebishe.
Nampongeza sana Mheshimiwa Rais kwa kuwa na taarifa nyingi na za ndani ( Nyeti ) kabisa kuhusu mambo mbalimbali ya nchi.....
Sitaki kuamini kwamba Mheshimiwa Rais huwa hawezi Kutunza Siri labda ndiyo udhaifu wake mkubwa ila nimwombe tu sasa TISS DG Dkt. Kipilimba ajitahidi kadri awezavyo aweze ' Kumfunda ' Bosi wake hasa juu ya suala zima la Kunyamaza na kutopenda ' Kuropoka ' mambo mengine ya ndani ( Nyeti ) mbele ya Umma...


Nawasilisha.

Link Sishauri sana Rais Magufuli awe ana 'disclose' mara kwa mara 'findings' za TISS publicly kwani anawaharibia - JamiiForums
 
Sijawahi ona supika dhaifu kama huyu kutwa yupo kwenye hafla za jiwe
Kweli alichosema pro Assad bunge ni dhaifu sana tena sana
 
Rais hana uwezo wa kumtoa CAG madarakani kwa mujibu wa sheria.

Ila kinachoweza kufanyika ni kumlazimisha kupitia mlango wa nyuma ili CAG ajiuzulu mwenyewe au wajifanye wanampa appointment na kumfanya Balozi somewhere ......... then anatumbuliwa kama alivyofanyiwa yule wa Canada!!

Awamu hii anything is possible ...!!

Sheria hairuhusu Ukitoka Kwenye nafasi ya CAG kuhudumia Kwenye nafasi yoyote ya Uteuzi

Marehemu Mzee Aboud CAG 1969-1996 Baada ya kustaafu hakuhudumu kwny nafasi yoyote ile , The same to Ludovick

Assad akimalizana Na CAG Labda afungue ofisi yake Kama alivyofanya Uttoh
 
watanzania wajinga sana CAG hatumbuliwi.
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Umeandika ukweli sana , Ndugai soma hii. Mapungufu na udhaifu wa bunge kupitia wabunge wa ccm ni mkubwa sana. Bunge hadi leo hawajaibana serikali kueleza ziliko 1.5 trillions. CAG yupo sahihi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom