Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Tetesi: Kibarua cha CAG kuota nyasi

Kwa hiyo kwa maoni yako wewe ulitaka CAG aseme au afanye nini asitumbuliwe?
Typical mindset ya waTanzania. Ukiona kitu kisichofaa kufanywa, nyamaza au piga makelele kukiunga mkono!

Tungepata watu jasiri 10 hivi waliomo ndani ya serikali hii wakasema bila kupepesa macho kwamba kuna mambo yanayofanywa ndani ya serikali wasiyoyaunga mkono, nina hakika kabisa tungeanza kuona mabadiliko ya tabia za hawa wanaofanya kazi bila kujali taratibu zilizowekwa.
 
Huyu prof Assad kawa auditor wapi? Kwa cv yake inaonyesha maisha yake yote alikuwa mwalimu wa book keeping hapo udsm, na tukimuuliza dr,shule anaweza tuambia kama hajawahi shika chuchu,

hivi unapofanya auditing ndo uanze kuropoka ooh yule kihiyo pale hela imepigwa, ni kazi yako?
 
Enzi za utawala wa mtoto wamjini, Jr J alimwambia Rais ni dhaifu, lakini hadi leo ni MP. Kipi kipya hapo CAG kusema bunge la ndugai ni dhaifu? Omba omba ajifunze PROPER SEPARATION OF POWER.
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu prof Assad kawa auditor wapi? Kwa cv yake inaonyesha maisha yake yote alikuwa mwalimu wa book keeping hapo udsm, na tukimuuliza dr,shule anaweza tuambia kama hajawahi shika chuchu,

hivi unapofanya auditing ndo uanze kuropoka ooh yule kihiyo pale hela imepigwa, ni kazi yako?
ungekaa kimya ungeonekana na busara ila sasa kila mtu anakuona mjinga kwa kupayuka ovyo. unadhani CPA ni nini katika CV yake? unadhani kufanya ' review and assessment of financial information' ni nini? siku nyingine uulize kwanza auditing ni nini na auditor ni nani
 
HAKUNA KITU |KAMA HICHO, KUTUMBULIWA WATUMBUANE HUKO WIZARANI NA MIKOANI, 1.5T lazima ijulikane iko wapi

Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
 
Peleka Ujinga wako huko! Umekaa kiumbea Sana. Nenda kasome ujiridhishe Kama CAG anatumbuliwa Kama vihiyo wenzako huko CCM! Assad is there to stay until 2021! Pasukeni, jichomeni vidole kwenye vinyeo vyenu, Hakuna wa Kumtumbua Assad, so better swallow your bitter pills!

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna kinacho shindikana kasome sheria na katiba vizuri kwa utulivu...
 
Kaa kimya, chutama ufiche utupu wako wa kichwa
Huyu prof Assad kawa auditor wapi? Kwa cv yake inaonyesha maisha yake yote alikuwa mwalimu wa book keeping hapo udsm, na tukimuuliza dr,shule anaweza tuambia kama hajawahi shika chuchu,

hivi unapofanya auditing ndo uanze kuropoka ooh yule kihiyo pale hela imepigwa, ni kazi yako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss VIVIANET Umejuaje kama CAG hataomba radhi kwa Kauli yake????!!!
Na CAG akiomba radhi je ???!!! Itakuwaje ???!!!
Tabiri zingine .... Buaaanaaa ...



Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa kushindwa kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
mimi naombea atumbuliwe tu (hata kwa kupindisha katiba) kwani tutakuwa tumepata uthibitisho 101% kuwa serekali ya awamu ya 5 ni ya kifisadi na hii itakuwa ndiyo ajenda maalumu na mujarab kuingia nayo 2020.

after all, prof Assad hana njaa.... kuondolewa kwenye u CAG hakutamyumbisha kiuchumi one iota!
 
Ndugu zangu mabibi na mabwana hakuna kichwa cha habari ambacho kingefaa ziaid ya hicho nilichochagua. Naomba usinihukumu kabla ya kusoma habari yote.

Hakuna aliyewahi kuikosoa serikali ya awamu ya tano na bunge hili la sasa akabaki salama. CAG amejiingiza kwenye msitu wenye giza nene ambao hatoweza kutoka salama.

Kama ni mfuatiliaji wa masuala mbalimbali hapa nchini utagundua kuwa kibarua cha CAG tayari kimeota mbawa.

Kauli za Ndugai siyo za bure kuna mpango na mkakati ambao umeshasukukwa kumuondoa, maana CAG amesema bunge ni dhaifu kwa ubinafsi a kusimamia serikali hii inayofanya mambo mengi bila idhini ya bunge.

Kununua ndege, Ujenzi wa kiwanja Chato, Ununuaji wa korosho nk bila bunge kujadili na kupitisha bajeti. Kwa maana nyingine CAG kusema bunge ni dhaifu amekosoa utendaji wa serikali pia.

Nawahakikishia CAG atotumbuliwa mapema January hii au mwanzoni mwa February.

Mh Ndugai asidanganye watanzania kuwa bunge lake lipo imara kuisimamia serikali, ebu awaambie wananchi ni lini bunge limewahi kujadili ununuzi wa ndege, ujenzi wa uwanja Chato, ununuzi wa korosho kwa pesa za umma?

Serikali ya awamu ya tano ikikusudia kufanya lolote bunge la Ndugai linasema ndiyooooo, ni aibu sana kuwa na bunge butuuuu kama hili
Siokuangalia kibarua hapo jambo kubwa nikuangalia nafasi ulionayo ambayo unajitumikia wewe pamoja na watanzania wa sasa nawabaadae unaitendea haki naitatoa makusudio chanya kama makusudio ilivyowekwa?pia hapa ndio kunacha gamoto kubwa sana kwa wabunge waliopitia ccm wengi wanashindwa kuwa wakweli nakushindwa kufanya kazi yakuisimamamia serekali kwa sababu kuu mbili moja kuwa nawasiwasi nikiismamamia serekali nitaombwa kadi nakupoteza nafasi yangu na yapili nikusaka nafasi za teuzi kama uwaziri naunapo kuwa simbunge kupata nafasi zingine nashauri wachukue nafasi hizi kutumikia watu kama walivyo omba kwani wakifanya hivyo watanufaika sana kwani huduma nyingi zitaboreshwa waache ubinafsi .nampongeza sana prof kwakuangalia nafasi alionayo nanini matarajio kwa watanzania juu ya nafasi anayoitumikia
 
Tatizo kwenye jukwaa hili wengi mnajifanya wachambuzi na wajuzi wa mambo.

Kama kitu hukijui ni bora ukauliza ukaeleweshwa kuliko kujifanya mjuzi kama mleta mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu prof Assad kawa auditor wapi? Kwa cv yake inaonyesha maisha yake yote alikuwa mwalimu wa book keeping hapo udsm, na tukimuuliza dr,shule anaweza tuambia kama hajawahi shika chuchu,

hivi unapofanya auditing ndo uanze kuropoka ooh yule kihiyo pale hela imepigwa, ni kazi yako?
Kioneni hiki kinajifanya kinajua kuliko mamlaka uliyomteua.

Yani hii nchi ina vijitu vya ajabu sana,yani wewe ni wa kuhoji umadhubuti wa Prof. Assad?
 
anaweza kushikiwa mtutu gizani akaamriwa atangaze kustaafu
Prof Assad ni mtu kweli kweli mkuu. Ukiona mtu pamoja na kuwa huru anaweza kutenda haki bila kujikombakomba awamu hii mpe heshima yake. Ni mtu na nusu!
 
Back
Top Bottom