Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
 
Hii kesi wameitaka wenyewe sasa wanaenda kuumbuka tena mara ya pili, ile ya kwanza naona hawakujifunza.

Serikali kama inajitakia mema naiona ikiingia mitini na hapa, wale kina Mdee kuemdelea kwao kuwepo bungeni sasa ni sawa na kuwadhalilisha viongozi wa serikali.
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu

Ndugai​

 

Attachments

  • BBCB0464-4276-4025-8A91-D6DBD36ACD3E.jpeg
    BBCB0464-4276-4025-8A91-D6DBD36ACD3E.jpeg
    56.4 KB · Views: 8
Kinachoniumiza zaidi ni namna fedha za walipa kodi zinazotumika hovyo...mishahara waliyolipwa kwa kipindi chote hicho, gharama za uendeshaji kesi tena ya kijinga kabisa...hapa maamuzi yalikuwa simple tuu...
 
..msishangilie kabla ya wakati

..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?

..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.

..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.

Cc The Palm Beach. Erythrocyte
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Usianzishe mchezo wa kurusha mawe kama unaishi kwenye nyumba ya vioo
 
..msishangilie kabla ya wakati

..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?

..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.

..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.

Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Inategemea hoja ya mawakili itasukwa vipi...

Ikisukwa vyema kiasi cha kumbana Jaji engo zote, atalazimika kuruhusu hilo lifanyike..

Labda kuwe na sheria inayokataza hao wasiitwe mahakamani kama ambavyo Rais Mwinyi (The sitting president) haikuwezekana aje mahakamani kama yeye...
 
Inategemea hoja ya mawakili itasukwa vipi...

Ikisukwa vyema kiasi cha kumbana Jaji engo zote, atalazimika kuruhusu hilo lifanyike..

Labda kuwe na sheria inayokataza hao wasiitwe mahakamani kama ambavyo Rais Mwinyi (The sitting president) haikuwezekana aje mahakamani kama yeye...

..kesi ina lengo la ku-establish kama Chadema wamefuata katiba ya chama wakati wanawafukuza kina Halima.

..Jaji anaweza kukataa ushahidi wa Ndugai au Mahera kwamba hauthibitishi au kukanusha madai yaliyoko mbele ya mahakama.

..Pia Ndugai na Mahera wanaweza kukataa, kukwepa, au kutoa udhuru wa kufika mahakamani.

..Jambo lingine ni kwamba Nec na Bunge ni sehemu ya washtakiwa.

..Mawakili wa Cdm wanaweza kuomba ushirikiano wa Ofisi za Katibu wa Nec, na Katibu wa Bunge, kupata ushahidi wanaouhitaji toka kwa Dr.Mahera, na Mh.Ndugai.

..Swali la kujiuliza ni kama Nec na Bunge watatoa ushirikiano kwa mawakili wa Cdm.
 
Back
Top Bottom