Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti anamtaka ndugai nawaambiaga kibatala siyo mwema kwa chadema hata Sheria hazijui anatumia umaarufu tu ndiyo maana hata kesi ya mbowe ilimshinda ashukuru viongozi wa dini waliomuombea kwa mama akaachiwa angepata aibu ya mwaka na uwakili angeacha

..Sikiliza maelezo ya John Mnyika hapa.

 
Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti anamtaka ndugai nawaambiaga kibatala siyo mwema kwa chadema hata Sheria hazijui anatumia umaarufu tu ndiyo maana hata kesi ya mbowe ilimshinda ashukuru viongozi wa dini waliomuombea kwa mama akaachiwa angepata aibu ya mwaka na uwakili angeacha
Pole saana, hukujaaliwa stadi za uchambuzi.
 
nini Ndugai,hata Jiwe anaweza kuitwa
Sijuwi Kama Kuna jitu katili Kama jiwe najaribu tuu kuwaza toka nakua mpka umri huu sijawahi ona jitu katili Kama Lile dubwana. Matendo ambayo tulikuwa tunasimuliwa alikuwa anayafanya Dikteta Hitra na nduli Idd Amin ndio alikuwa likifanya lenyewe. Na ashukuriwe Mungu mkuu na hata Kama Kuna mkono wa mwanadamu basi unastahili tuzo kwa kazi nzur iliyo tukuka.
 
..msishangilie kabla ya wakati

..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?

..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.

..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.

Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Maamuzi ya Jaji au matakwa ya sheria?
 
Huna akili kwani Ndugai aliwapitisha kama watoto wake au kama Spika??

Kwani kahama na ofisi yake??

Si kuna spika mwingine??

Wakati mwingine utumie ubongo badala ya miguu kufikiri.
Kwa nafasi ileile aliyokuwa nayo na kwa matendo yale aliyofanya sasa anatakiwa akajibu
 
Hizi ni kesi tofauti.

Jaribu kwanza kuzifahamu ndio uzilinganishe.
Kesi tofauti ndio Nini!? Acha porojo. Rais mstaafu aliingia mahakama kama shahidi wa utetezi, itakuwa huyo spika aliyefukuzwa kazi! Endelea kujifanya mwehu.
 
Kesi tofauti ndio Nini!? Acha porojo. Rais mstaafu aliingia mahakama kama shahidi wa utetezi, itakuwa huyo spika aliyefukuzwa kazi! Endelea kujifanya mwehu.
Huwezi kuwa unafahamu ndio maana ukaleta huo mfano.
 
Kwani wewe kada wa CCM, wakati huo wanapokelewa akina Halima Mdee, ulikuwa hujui kuwa Spika wa Bunge alikuwa Ndugai na wala hakuwa Tulia Ackson?[emoji28]
Kibatala anatakiwa a deal na office ya Bunge na siyo Ndugai!!
 
Ni afadhari Serikali ingeiambia Mahakama kuipiga kalenda kwa muda mrefu hii kesi kuliko kuaibika!
 
Back
Top Bottom