JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Wewe unayejifanya unafahamu unafahamu Nini!? Labda upuuzi tu.Huwezi kuwa unafahamu ndio maana ukaleta huo mfano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unayejifanya unafahamu unafahamu Nini!? Labda upuuzi tu.Huwezi kuwa unafahamu ndio maana ukaleta huo mfano.
Punguza kasiriko wewe!!Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Ningekuelemisha ila tayari umeshakosea tangu mwanzo.Wewe unayejifanya unafahamu unafahamu Nini!? Labda upuuzi tu.
Msamehe bure tu huyo mayunga kutoka nyanzenda!!We ndio jinga kabisa. Ni nani aliyewapitisha na kuwaapisha?
Ulichojaaliwa ni porojo tena kwa watoto.Ningekuelemisha ila tayari umeshakosea tangu mwanzo.
Ndugai: Mheshimiwa Hakimu naomba nikakojoeWakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Kupata ukweli wa jambo unahitaji kuwa na muono mpana na mpaka mbali (wide and long vision).Naomba niulize swali kwa manguli wa sheria hapa jukwaani......
Nadhani kesi ya msingi ni wakina Halima Mdee dhidi ya CHADEMA wakipinga kuvuliwa uanachama wao bila kufuata utaratibu wa chama.......madai ya Kibatala kwa Ndugai ni kwanini aliwaapisha kina Halima UBUNGE Hali ya kuwa hawakuwa halali.....na kuhusu mwenyekiti wa time ya uchaguzi ya kupokea barua ya majina ya akina Halima hali ya kuwa hayakuwa na baraka za chama...... nadhani hizi ni hoja mbili tofauti na hazihusiani na kesi ya msingi iliyopo mahakamani kwa sasa....Mimi si mjuzi wa masuala ya sheria bali ni mtazamo wangu.....ningependa manguli wa sheria hapa jukwaani wanifafanulie kwa faida ya wengi.....natanguliza shukrani zangu za dhati......
Stroke, usijifanye unajua wakati inaonekana unastahili kupelekwa darasa la awali katika masuala yakisheria.Huna akili kwani Ndugai aliwapitisha kama watoto wake au kama Spika??
Kwani kahama na ofisi yake??
Si kuna spika mwingine??
Wakati mwingine utumie ubongo badala ya miguu kufikiri.
Hoja yako hiyo ingekuwa na mantiki, hata kesi za kutumia madaraka au ogisi zisingekuwepo.Aliwaapisha kama Ndugai au kama Spika??
Unarudia makosa yale yale ya wenzako waliopita.Hoja yako hiyo ingekuwa na mantiki, hata kesi za kutumia madaraka au ogisi zisingekuwepo.
Basi uombe na Sabaya afutiwe kesi maana aliyafanya yale kama DC. Ashtakiwe DC wa Hai wa sasa.
Kwenye ushahidi, sheria inatamka wazi kuwa mtu yeyote anaweza kuitwa kutoa ushahidi na upande wowote alimradi upande uliomtaka huyo shahidi kama unaamini shahidi huyo atakuwa na msaada kwenye kesi iliyopo mahakamani.Naomba niulize swali kwa manguli wa sheria hapa jukwaani......
Nadhani kesi ya msingi ni wakina Halima Mdee dhidi ya CHADEMA wakipinga kuvuliwa uanachama wao bila kufuata utaratibu wa chama.......madai ya Kibatala kwa Ndugai ni kwanini aliwaapisha kina Halima UBUNGE Hali ya kuwa hawakuwa halali.....na kuhusu mwenyekiti wa time ya uchaguzi ya kupokea barua ya majina ya akina Halima hali ya kuwa hayakuwa na baraka za chama...... nadhani hizi ni hoja mbili tofauti na hazihusiani na kesi ya msingi iliyopo mahakamani kwa sasa....Mimi si mjuzi wa masuala ya sheria bali ni mtazamo wangu.....ningependa manguli wa sheria hapa jukwaani wanifafanulie kwa faida ya wengi.....natanguliza shukrani zangu za dhati......
Ajishajidhalilisha mwenyeweHii kesi kama haitafutwa basi ujue Ina lengo la kumdhalilisha bosi wa sukuma gang, Ndugai
Kweli wewe hamnazo kabisa. Anyway kuchagua ujinga pia ni chaguoUnarudia makosa yale yale ya wenzako waliopita.
Signature yake matters in all he endorsed akiwa kitini.Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Sahihi! Ila Wacha aitwe, alisigina sana Katiba ya nchi hii huyu tapeliHii kesi kama haitafutwa basi ujue Ina lengo la kumdhalilisha bosi wa sukuma gang, Ndugai
Mwanaccm mwenzangu kwani mwisho kesi ilifutwa na nani ?..msishangilie kabla ya wakati
..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?
..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.
..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.
Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Ubarikiwe sana ndugu kwa kuchukua muda wako na kunipa elimu hii kubwa.....uwe na wakati mwema....Kwenye ushahidi, sheria inatamka wazi kuwa mtu yeyote anaweza kuitwa kutoa ushahidi na upande wowote alimradi upande uliomtaka huyo shahidi kama unaamini shahidi huyo atakuwa na msaada kwenye kesi iliyopo mahakamani.
Na pia inasema, shahidi unaweza kuulizwa swali lolote alimradi lisiwe la kutwezwa utu wako. Una uhuru wa kujibu au kukaa kimya, lakini huwezi kusema kuwa sijibu kwa sababu halihusiani na kesi iliyopo.
Mwisho wa kesi, mahakama ndiyo huamua kuchukua ushahidi wa nani kutegemeana na umuhimu wa ushahidi wenyewe na shahidi mwenyewe. Ndiyo maana mtu ameitwa kwenye ushahidi wa wizi, lakini anaulizwa elimu yake.
Asante ndugu kwa ufafanuzi huu....Kupata ukweli wa jambo unahitaji kuwa na muono mpana na mpaka mbali (wide and long vision).
Haiwezekani kuangalia kitu kimoja tu kama mawazo ya kuku anayelinda yai moja.
Uamuzi wa haki hupatikana kwa mahakama kupata ushahidi wa namna hiyo.
Hivi kumbe misingi ya kufuta kesi ama kutokua na haja ya kuendelea nayo ni kuepuka kuidhalilisha jamuhuri ama bosses wa jamuhuri?Hii kesi kama haitafutwa basi ujue Ina lengo la kumdhalilisha bosi wa sukuma gang, Ndugai