Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Kwani wewe kada wa CCM, wakati huo wanapokelewa akina Halima Mdee, ulikuwa hujui kuwa Spika wa Bunge alikuwa Ndugai na wala hakuwa Tulia Ackson?[emoji28]
Sasa hapo anahojiwa kama Ndugai au ofisi ya spika wa bunge?.
Je Ndugai angekuwa amekufa, ndio ingekuwa mwisho wa kithibitisha uhalali wa ofisi?. Kesho wanaifanya ichukue muda CDM wenyewe. Ofisi ya spika si ipo kuthibitisha? Au hakuna kumbukumbu za kiofisi
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Safi sana.
 
... miongoni mwa kesi nyingine tamu katika historia ya Tanganyika. Tunaisubiria kwa hamu.
Kesi nzuri sana hii kama itakubaliwa na kufuatwa barabara ndipo tutajua umuhimu wa utawala bora katika Taifa huru.
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Na ndugai keshatemwa na system ataachwa apambane na hali yake.
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Hizi zinaweza kuwa dalili za chadema kushindwa kwenye hii kesi sasa Ndugai na Mahera wanahusika vipi wakati majina walipeleka wenyewe? wakina mdee sio wajinga kupeleka kesi yao mahakamani hao chadema wanachezeana michezo ya kuhuni wenyewe kwa wenyewe
 
Kuna kazi alijiwekea Kinga kutoshtakiwa,kwa kuwa Ni kuhojiwa tu labda atakuja.
 
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.

Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.

Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.

Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.

Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.

Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Sasa katika hatua hii ni wakati muafaka kesi hii ifutwe kabla haijadhalilisha serikali na baadhi ya watendaji wakuu wanaosimamia haki na sheria!
 
Back
Top Bottom