Spika anaweza kufanya maamuzi ya kukiuka Katiba. Je, naibu spika anaweza kumzuia!? Kwenye kesi ya yule Professor aliyekuwa balozi nchini Italia, mbona Marehemu Mkapa alipanda kizimbani makamani? Kwani Rais Kikwete hakuwepo au Marehemu Mkapa alihama na ofisi!?Huna akili kwani Ndugai aliwapitisha kama watoto wake au kama Spika??
Kwani kahama na ofisi yake??
Si kuna spika mwingine??
Wakati mwingine utumie ubongo badala ya miguu kufikiri.
Hizi ni kesi tofauti.Spika anaweza kufanya maamuzi ya kukiuka Katiba. Je, naibu spika anaweza kumzuia!? Kwenye kesi ya yule Professor aliyekuwa balozi nchini Italia, mbona Marehemu Mkapa alipanda kizimbani makamani? Kwani Rais Kikwete hakuwepo au Marehemu Mkapa alihama na ofisi!?
Spika wa sasa ndio aliwaapisha? Ndugai na kiherehere chake ili kumfurahisha yule shujaa wenu uchwara ndio anatakiwa akajibu maswali mahakamani.Ndugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.
Aliwaapisha kama Ndugai au kama Spika??Spika wa sasa ndio aliwaapisha? Ndugai na kiherehere chake ili kumfurahisha yule shujaa wenu uchwara ndio anatakiwa akajibu maswali mahakamani.
Aliwaapisha kama spikaAliwaapisha kama Ndugai au kama Spika??
Ndugai ni Spika sasa hivi??Aliwaapisha kama spika
Hayo Majinga ya uvccm hayajitambui hata uyafundishe vipi mkuu. Ndio maana Magu aliyapiga 20000/ kwa kuwapa vitambulisho feki vya machinga na bado alipo kufa wakamwita shujaa. Unaweza kuona tuna wajinga kiasi gani lakini pia Mkaguzi mkuu wa mahesabu alithitisha 1.5 tirioni zimepotelea Ofisini kwa Magu pia.Spika anaweza kufanya maamuzi ya kukiuka Katiba. Je, naibu spika anaweza kumzuia!? Kwenye kesi ya yule Professor aliyekuwa balozi nchini Italia, mbona Marehemu Mkapa alipanda kizimbani makamani? Kwani Rais Kikwete hakuwepo au Marehemu Mkapa alihama na ofisi!?
Kwani wale wabunge wa mchongo waliapishwa sasa hivi? Acha uboya wako.Ndugai ni Spika sasa hivi??
Ila hivi kwanini serikali haichukui hatua kwa Hawa wahuni watakopothibitika kuwa walifoji majina Ili iwe fundisho?
..msishangilie kabla ya wakati
..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?
..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.
..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.
Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Watoe majina kwenda kwenye bunge la majizi ya kura? Hiyo 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Waulize chadema, waliachaje kupeleka majina ya watu wao muda wote huo hadi leo hawajatoa orodha ya wabunge ambao hawakufoji majina.
Hii kesi inaenda kumuumbua mnyika na mbowe hivi unafikiri hao kina dada ni wajinga mpaka walazimieshe kesi? Mnyika ndiyo alipeleka majina angekuwa hajapeleka angeshaga fungua kesi muda mrefu ya kufojiwa kwa sahihi yake kwanini Yuko kimya? Kibatala kafichwa hajui anakuja kuropoka tu hapa eti anamtaka ndugai nawaambiaga kibatala siyo mwema kwa chadema hata Sheria hazijui anatumia umaarufu tu ndiyo maana hata kesi ya mbowe ilimshinda ashukuru viongozi wa dini waliomuombea kwa mama akaachiwa angepata aibu ya mwaka na uwakili angeachaWakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?Watoe majina kwenda kwenye bunge la majizi ya kura? Hiyo 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?
Wakili Peter Kibatala amesema atawahitaji aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai na aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Charles Mahera ili wahojiwe kuhusu wabunge 19 walioapishwa kwa tiketi ya CHADEMA.
Kibatala amesema ni lazima viongozi hao wahojiwe kwa kuwa ndio waliowapitisha na kutoa kaulinza kuwalinda kwa hali youote ili wabaki bungeni.
Kati ya maswali ambayo Kibatala atapenda kuuliza ni pamoja na mbunge mmoja kuapishwa japo hakupitia mchakato wa uchaguzi.
Dkt. Mahera atatakiwa kueleza alipoipata barua ya majina wakati katibu wa chadema aliikana barua hiyo.
Pia majina ya wabunge hayakutangazwa kama utaratibu unavyohitaji.
Wabunge 19 wamefungua mashtaka ya kufukuzwa uanachama bila kufuata itaratibu
Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?
Kama mbowe munaemuona kama Mungu wenu kakubali uchaguzi kuwa Halali wewe ni nani mpaka ubishe?
..msishangilie kabla ya wakati
..huwezi kujua maamuzi ya Jaji yatakuwa nini?
..upo uwezekano wa Jaji kukataa kuwaita Ndugai na Mahera kama mashahidi ktk kesi.
..kama mtakumbuka ktk kesi ya Mh.Mbowe Jaji alikataza jina la Mh.Hussein Mwinyi kutajwa mahakamani, au kumuita kama shahidi wa upande wa washtakiwa.
Cc The Palm Beach. Erythrocyte
Makaburi yatafukuliwaNdugai wa nini wakati kuna spika wa sasa??
Sifa za kijinga tu.