Kibatala awataka Ndugai na Mahera mahakamani

Ndugai: Mheshimiwa Hakimu naomba nikakojoe

Hakimu: Utasindikizwa na askari
 
Kupata ukweli wa jambo unahitaji kuwa na muono mpana na mpaka mbali (wide and long vision).
Haiwezekani kuangalia kitu kimoja tu kama mawazo ya kuku anayelinda yai moja.
Uamuzi wa haki hupatikana kwa mahakama kupata ushahidi wa namna hiyo.
 
Huna akili kwani Ndugai aliwapitisha kama watoto wake au kama Spika??

Kwani kahama na ofisi yake??

Si kuna spika mwingine??

Wakati mwingine utumie ubongo badala ya miguu kufikiri.
Stroke, usijifanye unajua wakati inaonekana unastahili kupelekwa darasa la awali katika masuala yakisheria.

Hata siku moja, ofisi haitoi ushahidi bali ni mtu. Mtu huyo anaweza kutoa ushahidi kama mtu binafsi au kama mwakilishi wa ofisi . Ndiyo maana Mkapa akiwa Rais Mstaafu alienda kutoa ushahidi kwenye kesi ya Prof. Mahalu. Hakwenda Kikwete.

Mahakama kwa ujumla hutaka kusikia ushahidi kutoka kwa mtu mhusika. Mtu aliyeshuhudia.
 
Aliwaapisha kama Ndugai au kama Spika??
Hoja yako hiyo ingekuwa na mantiki, hata kesi za kutumia madaraka au ogisi zisingekuwepo.

Basi uombe na Sabaya afutiwe kesi maana aliyafanya yale kama DC. Ashtakiwe DC wa Hai wa sasa.
 
Hoja yako hiyo ingekuwa na mantiki, hata kesi za kutumia madaraka au ogisi zisingekuwepo.

Basi uombe na Sabaya afutiwe kesi maana aliyafanya yale kama DC. Ashtakiwe DC wa Hai wa sasa.
Unarudia makosa yale yale ya wenzako waliopita.
 
Kwenye ushahidi, sheria inatamka wazi kuwa mtu yeyote anaweza kuitwa kutoa ushahidi na upande wowote alimradi upande uliomtaka huyo shahidi kama unaamini shahidi huyo atakuwa na msaada kwenye kesi iliyopo mahakamani.

Na pia inasema, shahidi unaweza kuulizwa swali lolote alimradi lisiwe la kutwezwa utu wako. Una uhuru wa kujibu au kukaa kimya, lakini huwezi kusema kuwa sijibu kwa sababu halihusiani na kesi iliyopo.

Mwisho wa kesi, mahakama ndiyo huamua kuchukua ushahidi wa nani kutegemeana na umuhimu wa ushahidi wenyewe na shahidi mwenyewe. Ndiyo maana mtu ameitwa kwenye ushahidi wa wizi, lakini anaulizwa elimu yake.
 
Mwanaccm mwenzangu kwani mwisho kesi ilifutwa na nani ?
 
Ubarikiwe sana ndugu kwa kuchukua muda wako na kunipa elimu hii kubwa.....uwe na wakati mwema....
 
Kupata ukweli wa jambo unahitaji kuwa na muono mpana na mpaka mbali (wide and long vision).
Haiwezekani kuangalia kitu kimoja tu kama mawazo ya kuku anayelinda yai moja.
Uamuzi wa haki hupatikana kwa mahakama kupata ushahidi wa namna hiyo.
Asante ndugu kwa ufafanuzi huu....
 
Hao ni waliotoa baraka za wizi wa kura 2020 kwa namna moja au nyingine wana uhusika wa moja kwa moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…